Shida sio wanaume shida ni wanawake,haina kurushiana mawe hapa
mtoto ni baraka,atae ona hawezi kulea anipointie huyo mtoto nimlee
ila nalea kuanzia Mimba,ki ufupi anaehisi mimba inamlemeaa na sln
inayokuja kichwani mwake ni kutoa,Ajilete PM,issue sio MWANAUME bado
nasema shida ni WANAWAKE hamna excuse mwanamke atanipa niache
mshushia lawama za watoto wa mtaani,mashoga,watoto kulawitiwa,nk HAKUNA
Nasema hivi MAMA akijitambua tu,dunia itakua sawa sawia,ila nyie msiojitambua
mnataka toa hao viumbe,Kulea wala sio shida,Nifateni muhimu tu hakikisha
shida yako ni mimba (ndio mzigo unaona) means ukipata support kidogo tu,Utaitunza
am ready to help hata muwe kundi muhimu msizidi 20,Pale naona naweza nitafanya.
lakini bado nasema WANAWAKE motoni nyie moto wenu utakua special Version. "DEDICATED FIRE"