Wanaume acheni kuzaa watoto Nje ya Ndoa mnawatesa viumbe wasio na Hatia

Wanaume acheni kuzaa watoto Nje ya Ndoa mnawatesa viumbe wasio na Hatia

Shida sio wanaume shida ni wanawake,haina kurushiana mawe hapa

mtoto ni baraka,atae ona hawezi kulea anipointie huyo mtoto nimlee

ila nalea kuanzia Mimba,ki ufupi anaehisi mimba inamlemeaa na sln

inayokuja kichwani mwake ni kutoa,Ajilete PM,issue sio MWANAUME bado

nasema shida ni WANAWAKE hamna excuse mwanamke atanipa niache

mshushia lawama za watoto wa mtaani,mashoga,watoto kulawitiwa,nk HAKUNA

Nasema hivi MAMA akijitambua tu,dunia itakua sawa sawia,ila nyie msiojitambua

mnataka toa hao viumbe,Kulea wala sio shida,Nifateni muhimu tu hakikisha

shida yako ni mimba (ndio mzigo unaona) means ukipata support kidogo tu,Utaitunza

am ready to help hata muwe kundi muhimu msizidi 20,Pale naona naweza nitafanya.

lakini bado nasema WANAWAKE motoni nyie moto wenu utakua special Version. "DEDICATED FIRE"
 
Lengo kuu la Mungu
khs kutombaner Ni twende kuijaza dunia,
Hii Ni applied kwa viumbe wote duniani, Binadamu ndo mmegeuza sex starehe

NB: sisapoti kutelekeza watoto
 
Hi kesi iko upande mmoja,
Kuna wale wanawake wanajifanya superwoman
 
Baadhi ya wadada anaona kabisa akiomba elfu 5 nampiga kalenda labda hadi siku ya tatu ndiyo niipate nimpe akanunue rasta asukane lakini bado anabeba mimba yangu anategemea nini hapo
Walaumuwe wanawake
Mfumo wa kalenda ni rahisi sana

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom