Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Nikasema nikuite hapaAtakuwa anawaongelea wale wanaotelekeza watoto
Maaana wale watoto wetu wa njee wasije kosa haki yao
Bhna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikasema nikuite hapaAtakuwa anawaongelea wale wanaotelekeza watoto
Deadly fire😅😅lakini bado nasema WANAWAKE motoni nyie moto wenu utakua special Version. "DEDICATED FIRE"
Asante kwa kumshtua.Nikasema nikuite hapa
Maaana wale watoto wetu wa njee wasije kosa haki yao
Bhna
Wajibu mkubwa anao mwanaumeKwanin walaume wanaume pekee as if wanazaa wenyewe lawama ziende both sides
Unanikumbusha enzi zileee....tulikua tunaitwa ma master wa vi buluu , aka pilau aka chondaView attachment 2592957
Solution ni nyeto au siyo
Wanawake wana akili za ajabu sana.Na hata serikali na baadhi ya wanajamii inawatetea bila kutafakari kwamba na wao wanapaswa kuchukua majukumu.Wanadhani kazi yao ni kuusikilizia utamu wa kupata mimba,kuzaa na kusubiri mwanaume abebe majukumu yote ya kutunza.Huu ni ujuha.Kwanin walaume wanaume pekee as if wanazaa wenyewe lawama ziende both sides
Unanikumbusha enzi zileee....tulikua tunaitwa ma master wa vi buluu , aka pilau aka chonda
Wale huwa wana vipaji maalumu; unaweza ukapishana na pesa ukiwatelekezaNikasema nikuite hapa
Maaana wale watoto wetu wa njee wasije kosa haki yao
Bhna
We jamaa mhuni sanaView attachment 2592957
Solution ni nyeto au siyo
Wakishapigwa ndio wanaanza kutafuta waseminary.....too late.Kuna wengine wanakomaa na maplayboy, wahuni (f*ckboy) wanawaacha vijana ambao hawana mambo mengi aka waseminari kisa wapole,mara hawana swaga,eti hawajui kuvaa,wakishapigwa mimba watu wanatambaa.
Acha ubishi usio kuwa na tija.Kumbe watoto walioko mtaani wametokana na kutelekezwa na baba zao? Chanzo cha takwimu yako ni kipi?
Hivi mtoto wa nje ni yupi, na wa ndani ni yupi?
Naomba ufafanuzi ndugu mwandishi.
Noma sana ukiwa na kazi tu inaingiza kipato unaweza ukazalisha mtaa mzima. Na hawana habariBila kusahau dada zangu siku hizi wanapenda hela mpaka kama wanaziabudu , kwake mwanaume wa MAANA ni mwenye fedha, hawajiulizi huyo mwenye fedha anagombaniwa na wanawake wangapi na utakuta anajua jamaa anamtu wake na yy naye anaunga kwenye foleni ili tu apate hela
Umeongea pointi tupu.Kuna lundo la mabinti kati ya 15-25,wamezalishwa tena na wanaume wa watu,unakaa chini unajifikiria huko mbele sijui itakuwaje na kuna wengine wapo tayari kudate na waume za watu,kuliko na mtu ambaye hana mke ila still anapambana kujiweka sawa.
Kuna wengine wanakomaa na maplayboy, wahuni (f*ckboy) wanawaacha vijana ambao hawana mambo mengi aka waseminari kisa wapole,mara hawana swaga,eti hawajui kuvaa,wakishapigwa mimba watu wanatambaa.
Bila kusahau dada zangu siku hizi wanapenda hela mpaka kama wanaziabudu , kwake mwanaume wa MAANA ni mwenye fedha, hawajiulizi huyo mwenye fedha anagombaniwa na wanawake wangapi na utakuta anajua jamaa anamtu wake na yy naye anaunga kwenye foleni ili tu apate hela.
Japo kuna lundo la vijana wa kiume siku hizi hawapendi majukumu yale ya kiasili ya mwanaume kula kwa jasho na kufanya kazi kwa bidii ili kulinda na kuitunza familia.Wameinvest mda wao kwa kuwavutia wanawake kwa kutengeneza miili yao,kupendeza na kuwakojoza kitandani na ndivyo vitu dada zangu wanavipenda,ambavyo baada kutiwa mimba huviona havina maana.
😆😆😆🤣🤣🤣🤣Na nyie wanawake punguzeni nyege muacha kuzaa hovyo hovyo na wanaume wasio na mwelekeo.
Jambo jingine ni kuwa je kwani hata mkitombana lazima mzae??