Magdalene_joseph
JF-Expert Member
- Jun 26, 2023
- 231
- 617
Chukua maua yako mapemaββπ·βπ·βπ·βπ·βπ·πΉβπΉπΌπ₯π΅βπΌπ₯πΉπ·πΉπΌβπΉNimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika!
Kazi kulalamika mpelekewe maji bafuni kwenye ndoo hebu jengeni maji yatiririke kutoka juu au muoge mmelala! Kutwa pombe na mahawara , swaini nyie. Hawa watoto mnaotuzalisha wataenda wapi mkifa! Hebu badilikeni vitambi na kulipa Kodi sio maendeleo
Au havituhusuπππππ usintafute ubaya
We mpuuzi umemsaidiaje mumeo kujikwamua hapo alipo maana nyie ni wasaidizi,mbali na huo mdomo wako mrefu uliorithi kwa mama Ako?Nimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika!
Kazi kulalamika mpelekewe maji bafuni kwenye ndoo hebu jengeni maji yatiririke kutoka juu au muoge mmelala! Kutwa pombe na mahawara , swaini nyie. Hawa watoto mnaotuzalisha wataenda wapi mkifa! Hebu badilikeni vitambi na kulipa Kodi sio maendeleo
Havituhus shoga angu tuacheAu havituhusuππ
Wewe umefanya nini? Na kwanini uone wanaume ndio tutakufa kwanza?Nimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika!
Kazi kulalamika mpelekewe maji bafuni kwenye ndoo hebu jengeni maji yatiririke kutoka juu au muoge mmelala! Kutwa pombe na mahawara , swaini nyie. Hawa watoto mnaotuzalisha wataenda wapi mkifa! Hebu badilikeni vitambi na kulipa Kodi sio maendeleo
Sawa tuache π π π€πHavituhus shoga angu tuache
We nae mbona unahamahama nyuzi? Kweli nimeamini hujui unataka niniSawa tuache π π π€π
Na wewe huku unafanya nini kama sio kuhamahamaπππππWe nae mbona unahamahama nyuzi? Kweli nimeamini hujui unataka nini
Mi nilikuwa napita tu nikakuonaNa wewe huku unafanya nini kama sio kuhamahamaπππππ