Wanaume badilikeni fanyeni maendeleo, umri haurudi nyuma!

Wanaume badilikeni fanyeni maendeleo, umri haurudi nyuma!

Huyo mwanamama anataka kuharibu hali ya hewa...Akili zake ni za hovyo yani ameshindwa kumuongoza mmeo vyema anakuja kutoa povu huku aargh!

Anashindwa kijitambua kosa lake kuwa alikubali kuwa mather house lkn sio mama mpambanaji mpuuzi sana huyoo 🤣🤣🤣
Ndo mumwambie kwa upole sasa😂😂😂
 
Huyo mwanamama anataka kuharibu hali ya hewa...Akili zake ni za hovyo yani ameshindwa kumuongoza mmeo vyema anakuja kutoa povu huku aargh!

Anashindwa kijitambua kosa lake kuwa alikubali kuwa mather house lkn sio mama mpambanaji mpuuzi sana huyoo 🤣🤣🤣
Huyu wangu ni sikio la kufa labda mnafanana ndo maana unantetea
 
Ndo mumwambie kwa upole sasa😂😂😂
Atajua mwenyewe na serikali ya kichwa chake....Kwani kuna mtu aliemshikia akili hapa....Acha aendelee kuringishia majirani ana flat screen kubwa ila hata account bank yoyote hana shenzi type kabisa huyoooo na wadizaini hii ndio wale wakushindana kwa miziki mikubwa nyumba za kupanga pambafuuuu🤣🤣🤣🤣
 
Nimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika!

Kazi kulalamika mpelekewe maji bafuni kwenye ndoo hebu jengeni maji yatiririke kutoka juu au muoge mmelala! Kutwa pombe na mahawara , swaini nyie. Hawa watoto mnaotuzalisha wataenda wapi mkifa! Hebu badilikeni vitambi na kulipa Kodi sio maendeleo
mume wako ni fundi ujenze bila shaka
 
Punguza kisirani Shemejii,,,Kama hutojali tubadilishane mawasiliano ya namba zetu za simu tuone namna ya mimi na wewe kuzungumza kiundani zaidi tuone namna ya kumnasua broo huko kwenye hayo maswahibu yanayomsibu!! Zingatia haya ninayo yasema,,,Na kuhakikishia huta juta shemeji yangu!!!
 
Atajua mwenyewe na serikali ya kichwa chake....Kwani kuna mtu aliemshikia akili hapa....Acha aendelee kuringishia majirani ana flat screen kubwa ila hata account bank yoyote hana shenzi type kabisa huyoooo na wadizaini hii ndio wale wakushindana kwa miziki mikubwa nyumba za kupanga pambafuuuu🤣🤣🤣🤣
Inategmea sasa,, labda hakuwezeshwa😃😃
 
Punguza kisirani Shemejii,,,Kama hutojali tubadilishane mawasiliano ya namba zetu za simu tuone namna ya mimi na wewe kuzungumza kiundani zaidi tuone namna ya kumnasua broo huko kwenye hayo maswahibu yanayomsibu!! Zingatia haya ninayo yasema,,,Na kuhakikishia huta juta shemeji yangu!!!
Shemu kama shemu😃😃🤣🤣
 
Screenshot_20230627_211814_Google.jpg
Mtoa mada apewe dk ngapi anywe maji pia tukimuombea mwamba huko mapambano mema au,
Ajiandae kwa shambulizi la kushtukiza la upweke.
 
Punguza kisirani Shemejii,,,Kama hutojali tubadilishane mawasiliano ya namba zetu za simu tuone namna ya mimi na wewe kuzungumza kiundani zaidi tuone namna ya kumnasua broo huko kwenye hayo maswahibu yanayomsibu!! Zingatia haya ninayo yasema,,,Na kuhakikishia huta juta shemeji yangu!!!
Kaenda kuliwa mtu kimasihara hapa 🤣🤣🤣🤣
 
Nimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika!

Kazi kulalamika mpelekewe maji bafuni kwenye ndoo hebu jengeni maji yatiririke kutoka juu au muoge mmelala! Kutwa pombe na mahawara , swaini nyie. Hawa watoto mnaotuzalisha wataenda wapi mkifa! Hebu badilikeni vitambi na kulipa Kodi sio maendeleo
Msaidie mumeo mfanye maendeleo kwa pamoja au wewe upo kwenye ndoa yako ku monitor maendeleo ya mumeo bila ww kuchangia kitu? Seems huchangii chochote hata mawazo hayo ya maendeleo hutoi kabisa kwenye maisha yenu ya ndoa.
 
Nguvu ya maendeleo ya familia yako ipo kwako wewe, wewe ndio mjenzi WA nyumba yako, kama mwanaume haoni loyalty yako kwake anaweza asifanye maendeleo ya maana akaamua kula maisha.
Jitulize na umtulize mmeo mtie moyo nmfungulie Dunia kwa kwa kipaji chako cha uvumilivu
 
Atajua mwenyewe na serikali ya kichwa chake....Kwani kuna mtu aliemshikia akili hapa....Acha aendelee kuringishia majirani ana flat screen kubwa ila hata account bank yoyote hana shenzi type kabisa huyoooo na wadizaini hii ndio wale wakushindana kwa miziki mikubwa nyumba za kupanga pambafuuuu🤣🤣🤣🤣
Pumbavu mwenyewe ndo maana nataka ajenge
 
Back
Top Bottom