Wanaume badilikeni fanyeni maendeleo, umri haurudi nyuma!

Wanaume badilikeni fanyeni maendeleo, umri haurudi nyuma!

Nimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika!

Kazi kulalamika mpelekewe maji bafuni kwenye ndoo hebu jengeni maji yatiririke kutoka juu au muoge mmelala! Kutwa pombe na mahawara , swaini nyie. Hawa watoto mnaotuzalisha wataenda wapi mkifa! Hebu badilikeni vitambi na kulipa Kodi sio maendeleo
Acha kuzungumza kwa hisia Kali ivi. Ongea na umshauri huyo mwanaume wako. Sio wote tuna huo upumbavu. Heshima ichukue nafasi yake. Kaa chini na ujiulize alichokosea kwako ni nini? Na ni kipi kinachokufanya ushindwe kumtreat mwanaume wako adi afikie hatua ya kuwa na mahawara? Ukipata majibu Kaa nae chini mrekebishane [emoji725]
 
sio wote wanaoweza kujiongeza my friend,,, ukute kashazoea keletewa tu kila kitu nyumbani yuko tu kulea watoto atanzia wapi kupambana😌😌
Inatakiwa aanze kutambua kosa lake lipo wapi...Labda anamnyima jamaa chezo au anampa kwa masharti sasa wewe unafikiri hapo ataziona hizo hela au hayo maendeleo....Tena usikute jamaa anahawara ambaye amempangia na kumwekea vitu sawa sawa na yeye na huyo hawara ndie anakula good time na akilemaa atajengewa na nyumba yeye ataishia kupanga na kufa na dhiki zake shenzi type kabisa huyooo....
 
Nimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika!

Kazi kulalamika mpelekewe maji bafuni kwenye ndoo hebu jengeni maji yatiririke kutoka juu au muoge mmelala! Kutwa pombe na mahawara , swaini nyie. Hawa watoto mnaotuzalisha wataenda wapi mkifa! Hebu badilikeni vitambi na kulipa Kodi sio maendeleo
Kwani hata hayo MAISHA akiyatengeneza si mnatuua KWA presha ,sukari,upweke,stress na ndumba ILI mbaki na watoto wenu!!

ACHA walewe,wanunue malaya coz ndio mali PEKEE wanazozimiliki hayo MAISHA mnayosema ni changa la macho kwetu na mwanzo wa matatizo SANA KWA sisi!!!

Unafikiri akikamilisha KILA kitu utampenda BASI!!?

Sisi ni SAWA na greda likishatengeneza Barabara linawekwa pembeni eti litaharibu Bara bara!!
 
bora kama anakunywa pombe anachangia pato la taifa kuliko kupoteza kwa mtu asiye na shukrani
 
Inatakiwa aanze kutambua kosa lake lipo wapi...Labda anamnyima jamaa chezo au anampa kwa masharti sasa wewe unafikiri hapo ataziona hizo hela au hayo maendeleo....Tena usikute jamaa anahawara ambaye amempangia na kumwekea vitu sawa sawa na yeye na huyo hawara ndie anakula good time na akilemaa atajengewa na nyumba yeye ataishia kupanga na kufa na dhiki zake shenzi type kabisa huyooo....
Ila maisha haya bhana 😂😂😂😂
 
Nimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika!

Kazi kulalamika mpelekewe maji bafuni kwenye ndoo hebu jengeni maji yatiririke kutoka juu au muoge mmelala! Kutwa pombe na mahawara , swaini nyie. Hawa watoto mnaotuzalisha wataenda wapi mkifa! Hebu badilikeni vitambi na kulipa Kodi sio maendeleo
Ila umeongea points muhimu sana mamaa,huu ni ukweli Mchungu

nakumbuka kuna mzee umri umeenda kapanga vyumba viwili uswahilini watoto 5 na wamekua mpk anawaombea kulala kwa jirani itatia huruma sana.
Ni fedheha

Ilinifikirisha sana anahama hama nyumba na mtaa kama mkimbizi,inafikia hatua hataa mke wake heshima ikapungua unawaona kabisa wanavokua wanajibizana

Wanaume Tujengeni mapema aisee.
Nyumba za kupanga ni fedheha
 
Ningekua ni mgeni na wanawake walio olewa ningekuelewa mleta mada, lakini wakati unamnyooshea kidole Mr wako kutafakari nawe usahihi wako.
 
Ila umeongea points muhimu sana mamaa,nakumbuka kuna mzee umri umeenda kapanga vyumba viwili uswahilini watoto 5 na wamekua mpk anawaombea kulala kwa jirani itatia huruma sana.
Ni fedheha

Ilinifikirisha sana anahama hama nyumba na mtaa kama mkimbizi,ikafikia hatua hataa mke wake heshima ikapungua.

Tujengeni mapema aisee
Watoto watano nyumba za uswazi heshima itoke wapi
 
Nimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika!

Kazi kulalamika mpelekewe maji bafuni kwenye ndoo hebu jengeni maji yatiririke kutoka juu au muoge mmelala! Kutwa pombe na mahawara , swaini nyie. Hawa watoto mnaotuzalisha wataenda wapi mkifa! Hebu badilikeni vitambi na kulipa Kodi sio maendeleo
Kwani mme wako na yeye akifiwa na baba yake na yeye ataenda wapi hizo hela ambazo wewe na watoto wako mnatekekeza kama mchwa kwa kula na mavazi unaziona ndogo?
 
Back
Top Bottom