Wanaume badilikeni fanyeni maendeleo, umri haurudi nyuma!

Wanaume badilikeni fanyeni maendeleo, umri haurudi nyuma!

Post yako naifanyia Lamination.

LMN.jpg
 
Ushauri unaotokana na hiyo sentensi ya 'watoto wataenda wapi' ni ushauri mzuri zaidi.

Wanaume sio Swain! Halafu, ukiwa unazingatia kutunza mume wako, huwezi kulalamika kumuwekea maji bafuni. Epukeni vitu vinavyotenga upendo wenu.
 
Nimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.

Kazi kulalamika mpelekewe maji bafuni kwenye ndoo hebu jengeni maji yatiririke kutoka juu au muoge mmelala!

Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto mnaotuzalisha wataenda wapi mkifa. Hebu badilikeni vitambi na kulipa Kodi sio maendeleo.
Wewe umeolewa na zwazwa na sisi unatuunganisha huko!
 
Nimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.

Kazi kulalamika mpelekewe maji bafuni kwenye ndoo hebu jengeni maji yatiririke kutoka juu au muoge mmelala!

Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto mnaotuzalisha wataenda wapi mkifa. Hebu badilikeni vitambi na kulipa Kodi sio maendeleo.
Pole sana dada,Mungu akufanyie wepesi
 
Wewe nae usikae kwa kubweteka. Kubeba mimba na kunyonyesha watoto usione ndio umemaliza. Jichanganye kwenye Vicoba ununue hata ka kiwanja ka miguu kumi kwa kumi uswazi ndio umhamasishe mwenzako kuleta tofali.
 
Back
Top Bottom