Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo wengi Kama wake Katoa angalizo Kama unajitambua hongeraBadala ya ku deal na zuzu lako, umekuja kutushambulia jf. Unatujua sisi ni akina Nani? Una uhakika sisi ni wapumbavu Kama mumeo? Acha kutujumuisha
mwanamke mwenzenu kaona mwaka wa 7 sasa akajisemea hata...hizi mb za leo hazimwagiki chiniManabii pia hamko mbali na uzi 🤣🤣🤣
Wewe umeolewa na zwazwa na sisi unatuunganisha huko!Nimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.
Kazi kulalamika mpelekewe maji bafuni kwenye ndoo hebu jengeni maji yatiririke kutoka juu au muoge mmelala!
Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto mnaotuzalisha wataenda wapi mkifa. Hebu badilikeni vitambi na kulipa Kodi sio maendeleo.
karibu kunijaribu mkuu.aisee 😃😃,, itabidi nikajaribu maana kama ndoa zenyewe ndo kama hizii mimi sitaweza🤣🤣🤣
Pole sana dada,Mungu akufanyie wepesiNimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.
Kazi kulalamika mpelekewe maji bafuni kwenye ndoo hebu jengeni maji yatiririke kutoka juu au muoge mmelala!
Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto mnaotuzalisha wataenda wapi mkifa. Hebu badilikeni vitambi na kulipa Kodi sio maendeleo.
Me nataka nikajaribu kuomba usista shirikani😃😃😃karibu kunijaribu mkuu.
[emoji23][emoji23][emoji23]umeolewa na mzee lomolomo[emoji23]
Matusi si ustaarabuWe mpuuzi umemsaidiaje mumeo kujikwamua hapo alipo maana nyie ni wasaidizi,mbali na huo mdomo wako mrefu uliorithi kwa mama Ako?
Kamwambie mumeo maneno haya akung'oe meno na praizi kuolewa si ulitaka mwenyewe au alikushikia fimbo ? UsituchosheKazi kulalamika mpelekewe maji bafuni kwenye ndoo hebu jengeni maji yatiririke kutoka juu au muoge mmelala!
Huwezi juaNiyatoe wapi watoto watatu ndani ya miaka saba na bado anamendea wa nne, nikizaa tena nipo pale, yaani anataka Kijiji kizima kwenye nyumba za kupanga!