Wanaume badilikeni fanyeni maendeleo, umri haurudi nyuma!

Wanaume badilikeni fanyeni maendeleo, umri haurudi nyuma!

Tofauti kubwa sana na ndio maana nimekwambia usifikiri wanaume wote tunafanana akili pumbavu wewe, Huyo wako malaya, Mlevi na mwehu kama ulivyo wewe na hii yote ni wewe mwenyewe ndio umesababisha kupotea kwa huyo Mumeo....Nikuombe kitu dada jaribu kurekebisha tabia yako maana unaonekana unapenda sana mambo ya kiswahili shenzi type kabisa wewe......
[emoji2960][emoji2960][emoji2960]
 
Nimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.

Kazi kulalamika mpelekewe maji bafuni kwenye ndoo hebu jengeni maji yatiririke kutoka juu au muoge mmelala!

Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto mnaotuzalisha wataenda wapi mkifa. Hebu badilikeni vitambi na kulipa Kodi sio maendeleo.
Pole sana mama angu
Muombee kwa Mwenyezi Mungu
Na uwe mwenye subira
Na usichoke kutafuta namna bora ya kuyajadili haya ndani ya nyumba hakika utafanikiwa🙏

Tunashukuru kwa ujumbe pia umetufikia na tunauchukua kwa kujifunza
Ubarikiwe🙏
 
Umeongea vizuri sana mkuu, POMBE na WANAWAKE ni vitu viwili vinavyoturudisha nyuma sana sana.

Ukiweza kuzishinda hizi tamaa mbili, ukajibidisha kutafuta pesa, uzee wako utakuwa wa raha na amani, short of that ni majuto..

Tatizo sasa, nyama moja inakifu balaa😁
 
Yeah,inawezekana stress anazo lakini comments zinachekesha kinyama 🤣

Lakini uzuri wa uzi wake hajaja kuomba ushauri...yeye ndio kaja kuwashauri madume suruali

Hahah...

Kungekuwa na namna ya kumtag "mai husband wake"...ningefanya hivyo 😊
 
Nimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.

Kazi kulalamika mpelekewe maji bafuni kwenye ndoo hebu jengeni maji yatiririke kutoka juu au muoge mmelala!

Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto mnaotuzalisha wataenda wapi mkifa. Hebu badilikeni vitambi na kulipa Kodi sio maendeleo.
Umepewa kifurushi cha kufanana nawe, na umekibeba for 7 good years acha kulialia kila mtu atauchua mzigo wake mwenyewe pambana.
Mbadilishe huyo mume wako kwanza, kabla hujawaza kubadilisha wanaume wa Jf maana charity siku zote it begins at your own home.
 
Mleta mada mimi nipo na wewe, sasa cha kufanya(kutegemeana na mnavoishi)
...kama kipo kiwanja tafuta laki tano, nenda ukanunue tofali 500 weka site then mwambie uone reaction yake.
 
Nimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.

Kazi kulalamika mpelekewe maji bafuni kwenye ndoo hebu jengeni maji yatiririke kutoka juu au muoge mmelala!

Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto mnaotuzalisha wataenda wapi mkifa. Hebu badilikeni vitambi na kulipa Kodi sio maendeleo.
"YAANI unaamini yeye atatangulia KUFA kabla yako"

Wanawake mnatukosea SANA!!😡😡😡😡😡
 
Back
Top Bottom