mimimnyenyekevu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 737
- 1,002
[emoji2960][emoji2960][emoji2960]Tofauti kubwa sana na ndio maana nimekwambia usifikiri wanaume wote tunafanana akili pumbavu wewe, Huyo wako malaya, Mlevi na mwehu kama ulivyo wewe na hii yote ni wewe mwenyewe ndio umesababisha kupotea kwa huyo Mumeo....Nikuombe kitu dada jaribu kurekebisha tabia yako maana unaonekana unapenda sana mambo ya kiswahili shenzi type kabisa wewe......