Mpetde
JF-Expert Member
- Sep 5, 2022
- 3,955
- 6,546
Mimba 3 kashazaa nae » eti anakuja kulalamika leo,Mbadilishe huyo mume wako kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimba 3 kashazaa nae » eti anakuja kulalamika leo,Mbadilishe huyo mume wako kwanza
[emoji23][emoji23][emoji23]umeolewa na mzee lomolomo[emoji23]
Pole Bibiye kwa changamoto unazozipitia, achana na material things kama Amani na upendo upo basi wewe tulia tu.🤔Nimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.
Kazi kulalamika mpelekewe maji bafuni kwenye ndoo hebu jengeni maji yatiririke kutoka juu au muoge mmelala!
Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto mnaotuzalisha wataenda wapi mkifa. Hebu badilikeni vitambi na kulipa Kodi sio maendeleo.
Avatar yako hainivutii kwenye hivyo vimenoChukua maua yako mapema⚘⚘🌷⚘🌷⚘🌷⚘🌷⚘🌷🌹⚘🌹🌼🥀🏵⚘🌼🥀🌹🌷🌹🌼⚘🌹
Ndo meno yangu yalivyo mkuu..ipotezee tuAvatar yako hainivutii kwenye hivyo vimeno
Watoto ndio maendelea yenyewe wewe unataka maendeleo gani?Niyatoe wapi watoto watatu ndani ya miaka saba na bado anamendea wa nne, nikizaa tena nipo pale, yaani anataka Kijiji kizima kwenye nyumba za kupanga!
Sawa kama tunawahi kufa mjue nyie ndo mnachangia sana. Wanaume tunapambana sana wakati mwingine tunafanya kazi za hatari na ngumu ili tuwalishe, tuwavishe...mkipendeza mkawavulie chupi bodazKIkawaida huwa mnawahi kufa, hata wewe unajua hilo basi tu kichwa ngumu
Tunarogwa sana mkuuWanawake wote wanajua sisi ndo tutakufa kabla yao.
Ikute wanatuwekea vitu tufe mapema
Ujumbe mzuri ila uwasilishaji ni 0/100%. ZERO. Disco!.Nimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.
Kazi kulalamika mpelekewe maji bafuni kwenye ndoo hebu jengeni maji yatiririke kutoka juu au muoge mmelala!
Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto mnaotuzalisha wataenda wapi mkifa. Hebu badilikeni vitambi na kulipa Kodi sio maendeleo.
Umewaza mbaliTulosoma cuba tushajua!!!, unataka afanye maendeleo afu umuue, umiliki kaya.
Mumeo ana umri gani kwanza tuanzie hapoAjenge nyumba hatadai maji ya kuoga kama mtoto
Toka zako. Kwani wagane wangapi tunawaona mitaani? Wanaume wengi tu wamebaki ukiwa kwa kufiwa na wake zaoKIkawaida huwa mnawahi kufa, hata wewe unajua hilo basi tu kichwa ngumu
Bora umeongea mkuuUkiolewa kaz yako ni kutoa mbunye na kutotoa , Acha kulia Lia
Sasa si ni lofa? Why usiwekewe sumu ya panya? Badilika kakaWanawake wote wanajua sisi ndo tutakufa kabla yao.
Ikute wanatuwekea vitu tufe mapema
INatisha sanaYan tunaish na wanawake ndan ila kumbe wanaamini sisi ndo tutatangulia kufa...na kwa maana hyo wakiona tumechelewa wanatutanguliza mapema