Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.
Mshauri aanze kununua vitu vya nje...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.
Mwambie mkapange sehemu nzuriAjenge nyumba hatadai maji ya kuoga kama mtoto
Endeleeni kujifanya Wana harakati kwenye ndoa, mtaishia kuzaa na ma house boy au magardener maana hamtaolekaNimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.
Kazi kulalamika mpelekewe maji bafuni kwenye ndoo hebu jengeni maji yatiririke kutoka juu au muoge mmelala!
Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto mnaotuzalisha wataenda wapi mkifa. Hebu badilikeni vitambi na kulipa Kodi sio maendeleo.
Kweli kabisa anunue vya nje labda atakua anajiona hajafikaMshauri aanze kununua vitu vya nje...
Wewe kwa mdomo huo mchafu sio wakujengewa kabisa na huyo mtu wako ameshastuka akijenga tu umemuua kwani unaonekana ni mwanamke mwenye upeo mfupi sana kimawazo na unapenda kujibizana hovyo na mume wako heshima mbele zake huna shenzi wewe utaishia kwenye nyumba za kupanga tena huku mkendelea kuishi kwa dhiki sana pumbafuuu ona wivu tu kwa wenzio wenye busara wakiendelea na kuishi maisha mazuri na kuwa na familia bora ila sio bora familia kama yako fedhuliiii wa akili wewe.Pumbavu mwenyewe ndo maana nataka ajenge
Yeah,inawezekana stress anazo lakini comments zinachekesha kinyama 🤣Hahah huu uzi niliuona lakini title ikanifanya niupotezee, lakini naona Jo umenimention...
Hapa Jo mdada mwenzenu ana stress ujue...sijui kama ataweza kusoma comments zote za aliowavuruga 🤣
Wanawake wote wanajua sisi ndo tutakufa kabla yao.Kwa nini kila siku mnawaza sisi ndio tunatangulia kufa nyie viumbe msio na shukrani
Halafu possibly huyu member mwenzetu wa siku nyingi kaja na ID nyingine kutua mzigo wa mumemwanamke mwenzenu kaona mwaka wa 7 sasa akajisemea hata...hizi mb za leo hazimwagiki chini
YeahSina haja ya kukimbia wanaonitukana hapa ni wanaume wasiojielewa
Tofauti kubwa sana na ndio maana nimekwambia usifikiri wanaume wote tunafanana akili pumbavu wewe, Huyo wako malaya, Mlevi na mwehu kama ulivyo wewe na hii yote ni wewe mwenyewe ndio umesababisha kupotea kwa huyo Mumeo....Nikuombe kitu dada jaribu kurekebisha tabia yako maana unaonekana unapenda sana mambo ya kiswahili shenzi type kabisa wewe......Huyu wangu ni sikio la kufa labda mnafanana ndo maana unantetea
unambiwa new members wanapiga utosi tuh ngoja mod wanze kunganisha uzi tutatafutana humuHalafu possibly huyu member mwenzetu wa siku nyingi kaja na ID nyingine kutua mzigo wa mume
Amejoin jana tu hapo
Kuna madume sketi na brauzi kwani au madume skin tight na skin jeans wapo ?yeye ndio kaja kuwashauri madume suruali
Ati NiniNafikiri ni sawa ila DPP alitakiwa na yeye aseme lolote kuhusu huyu mwanafunzi kupatikana kwa mtu ambaye sio ndugu na alitoroka shule
Nikuulize wewe uliyetajaKuna madume sketi na brauzi kwani au madume skin tight na skin jeans wapo ?