Wanaume badilikeni fanyeni maendeleo, umri haurudi nyuma!

Wanaume badilikeni fanyeni maendeleo, umri haurudi nyuma!

Ndio maana nilianzaga na Nyumba kabla ya chochote.

Pumbavu zangu, hizi mbwa ukibugi step atakutangaza mpaka kijijini kwa bibi mzaa bibi yako.

N.B Hiyo Gari ndio uliyompendea kumbuka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.

Kazi kulalamika mpelekewe maji bafuni kwenye ndoo hebu jengeni maji yatiririke kutoka juu au muoge mmelala!

Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto mnaotuzalisha wataenda wapi mkifa. Hebu badilikeni vitambi na kulipa Kodi sio maendeleo.


Kwani wewe si mtu umekamilika? Na wewe tafuta hela kama yeye, unamtukana hapa huyo jamaa ako (ingawa sibishi huyo jamaa ni fala) ila na wewe pambana
 
Looh! alivyokuwa anakuhonga chips yai kabla ulijua umepata mume?
Kumbe ni balozi mitomingi.
 
Yan wanawake bhana mnawazaga sie tufe nyie mbaki nawatoto
 
Kuongea ukweli ndo kuwachukia?😀😀 Sijasema uongo na unatambua hilo.

Wewe mwenyewe unajua jinsi unavyowachukulia wanawake sasa wakupende kwa lipi?
Hivi kama huchangii hata mia kwenye kutunza familia unapata wapi nguvu ya kuhoji hela zangu zinaenda wapi.

Wewe kaa tulia hapo uwe kiburudisho changu nikirudi
 
Back
Top Bottom