Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanaume kupambana . Huo ndo uanaume na kufa mkufe mapema.Sawa kama tunawahi kufa mjue nyie ndo mnachangia sana. Wanaume tunapambana sana wakati mwingine tunafanya kazi za hatari na ngumu ili tuwalishe, tuwavushe mkipendeza mkawavulie chupi bodaz
Mbona umejishtukia kwani nimekutaja? Utakuwa ni wale wanaume wanaoongelewa na mtoa mada. Kuku wewe nenda ukajenge.
Sikuwa nakujibu wewe. Niliyemjibu kakubali kwamba mnakufa mapema na mtaendelea kufa mapema ipo hivyo...hutaki jinyonge.Toka zako. Kwani wagane wangapi tunawaona mitaani? Wanaume wengi tu wamebaki ukiwa kwa kufiwa na wake zao
Kwani wanaume wamekufanya nini wewe Demi mbona makasiriko hivyo?Mwanaume kupambana . Huo ndo uanaume na kufa mkufe mapema.
Nimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.
Kazi kulalamika mpelekewe maji bafuni kwenye ndoo hebu jengeni maji yatiririke kutoka juu au muoge mmelala!
Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto mnaotuzalisha wataenda wapi mkifa. Hebu badilikeni vitambi na kulipa Kodi sio maendeleo.
Hivi kama huchangii hata mia kwenye kutunza familia unapata wapi nguvu ya kuhoji hela zangu zinaenda wapi.Kuongea ukweli ndo kuwachukia?😀😀 Sijasema uongo na unatambua hilo.
Wewe mwenyewe unajua jinsi unavyowachukulia wanawake sasa wakupende kwa lipi?
Kwakifupi mko bampa to bamba..bambi to bambi mnahama hama pamojaNa wewe huku unafanya nini kama sio kuhamahama😃😃😂😂😂
We jamaa upo😂😂😂😂Kwakifupi mko bampa to bamba..bambi to bambi mnahama hama pamoja
Haibadili ukweli kwamba utakufa tu mapema.Hivi kama huchangii hata mia kwenye kutunza familia unapata wapi nguvu ya kuhoji hela zangu zinaenda wapi.
Wewe kaa tulia hapo uwe kiburudisho changu nikirudi
Ahahaha nipo...nipo mshkaji wangu kumbe uli notice kupotea kwangu eeh!!? Amehlo anani keep busy "kweri kweri"We jamaa upo😂😂😂😂
Na tutawazalisha sana. Embu inamankuswekeHawajielewi kazi kuzalisha kama majogoo