Wanaume badilikeni fanyeni maendeleo, umri haurudi nyuma!

Wanaume badilikeni fanyeni maendeleo, umri haurudi nyuma!

Naona wote mmeshauri wengne mmeshushua..sio kesi.
Mleta mada unaweza ukajaribu kufanya haya. Najua mi ni junior kwako, na naweza nisiwe nayajua mengi, lakin kwa machache ninayoyafahamu..naona umeingia kwenye line isiyo ya kwako, na shetani anazidi kukutoa kwenye reli. Usitoke!!

Its time to work on yourself. Anza na toba. Toba huwa inarestore broken pieces haraka sana. Tengeneza mahusiano yako na Bwana. Then samehe. Mtangazie mume wako msamaha kutoka moyoni, usimuonee uchungu. Then after this, moyo ukiwa mweupe pee, anza sasa kujifanyia kazi. Jichunguze, jifanyie deep analysis, kuna sehemu gani ulikwama.wewe kama mama, mwanamke, mke?? Je ni attitude, mtazamo, fikra, usemi, nafsi, muonekano, matendo au ni nini?? Are you sure uko salama kote huko? Then its time, kujichukulia hatua. Anza kujiboresha wewe kwanza. Achana na kumwangalia huyo mwenza wako kama he is all. Well he is not.

Ndio ulikuwa mke, na umemzalia watatu, bibi yangu alimzalia babu mtu nane, na bado akaletewa pisi ingine, sikucheki, nakuambia ubadilishe mtazamo. Anza kuwa responsible for your own shits. Well dunia haina muda wa kumuonea mtu huruma. Get tough, ongeza value my dear dada. Ongeza thamani yako.

Amka mapema, anza siku na Bwana kila siku, funga kwa wiki mara tatu, anza kutoa sadaka kwa wahitaji..zisiwe kanisani tu, anza kutafuta njia za kujipatia kipato cha HALALI. Aim kuwafanya better watoto wako kila siku. Umiza akili, tafakari miradi ya kufanya kama familia, iandike, kama hupendi exercise, jaribu kufanya hata mara tatu kwa wiki, siku isiishe hujatembea hata lisaa limoja, toka nje, explore opportunities, yani hangaisha akili kiasi kwamba huyo kaka mkubwa aone huhangaiki nae tena, mwenyewe atajirudi (kama ana conscience anyways).

Unapoanza kuwa busy na maisha yako na ya watoto na ukamdismind mtu, kuna namna huwa wanajirudigi. Na wanatulia. Lakini hii ya kukasirika kila siku ni maattitude, ndo wanapata vichwa. Sijasema umdharau. Sijasema umuonyeshe kiburi. Mungu hatakutengenezea njia sasa. Just be the woman he wishes to never lose. Anyways maybe naandika theoritically sana. All the best.
 
Naona wote mmeshauri wengne mmeshushua..sio kesi.
Mleta mada unaweza ukajaribu kufanya haya. Najua mi ni junior kwako, na naweza nisiwe nayajua mengi, lakin kwa machache ninayoyafahamu..naona umeingia kwenye line isiyo ya kwako, na shetani anazidi kukutoa kwenye reli. Usitoke!!

Its time to work on yourself. Anza na toba. Toba huwa inarestore broken pieces haraka sana. Tengeneza mahusiano yako na Bwana. Then samehe. Mtangazie mume wako msamaha kutoka moyoni, usimuonee uchungu. Then after this, moyo ukiwa mweupe pee, anza sasa kujifanyia kazi. Jichunguze, jifanyie deep analysis, kuna sehemu gani ulikwama.wewe kama mama, mwanamke, mke?? Je ni attitude, mtazamo, fikra, usemi, nafsi, muonekano, matendo au ni nini?? Are you sure uko salama kote huko? Then its time, kujichukulia hatua. Anza kujiboresha wewe kwanza. Achana na kumwangalia huyo mwenza wako kama he is all. Well he is not.

Ndio ulikuwa mke, na umemzalia watatu, bibi yangu alimzalia babu mtu nane, na bado akaletewa pisi ingine, sikucheki, nakuambia ubadilishe mtazamo. Anza kuwa responsible for your own shits. Well dunia haina muda wa kumuonea mtu huruma. Get tough, ongeza value my dear dada. Ongeza thamani yako.

Amka mapema, anza siku na Bwana kila siku, funga kwa wiki mara tatu, anza kutoa sadaka kwa wahitaji..zisiwe kanisani tu, anza kutafuta njia za kujipatia kipato cha HALALI. Aim kuwafanya better watoto wako kila siku. Umiza akili, tafakari miradi ya kufanya kama familia, iandike, kama hupendi exercise, jaribu kufanya hata mara tatu kwa wiki, siku isiishe hujatembea hata lisaa limoja, toka nje, explore opportunities, yani hangaisha akili kiasi kwamba huyo kaka mkubwa aone huhangaiki nae tena, mwenyewe atajirudi (kama ana conscience anyways).

Unapoanza kuwa busy na maisha yako na ya watoto na ukamdismind mtu, kuna namna huwa wanajirudigi. Na wanatulia. Lakini hii ya kukasirika kila siku ni maattitude, ndo wanapata vichwa. Sijasema umdharau. Sijasema umuonyeshe kiburi. Mungu hatakutengenezea njia sasa. Just be the woman he wishes to never lose. Anyways maybe naandika theoritically sana. All the best.
Wewe nae unaemshauri ni walewale tu,hivi unajua mnajazanaga ujinga, mwanamke siku zote anapopambana ni anatoke kwa mwanaume lakini mwanaume anapambana akimuwazia mkewe na watoto wake,sasa wewe shetani mwekundu uliekuja kwa jina la utakatifu unaemshauri ajiangalie mwenyewe na watoto kwanini unatoa huyo mumewe,acha roho ya kibinafsi, nyinyi wanawake Tangu mama yenu Hawa arubuniwe ni nyoka na kuleta kizazi cha nyoka mna roho mbaya sana kwa waume zenu
 
Wewe nae unaemshauri ni walewale tu,hivi unajua mnajazanaga ujinga, mwanamke siku zote anapopambana ni anatoke kwa mwanaume lakini mwanaume anapambana akimuwazia mkewe na watoto wake,sasa wewe shetani mwekundu uliekuja kwa jina la utakatifu unaemshauri ajiangalie mwenyewe na watoto kwanini unatoa huyo mumewe,acha roho ya kibinafsi, nyinyi wanawake Tangu mama yenu Hawa arubuniwe ni nyoka na kuleta kizazi cha nyoka mna roho mbaya sana kwa waume zenu
Umeandika kwa uchungu sana
 
Usijumuishe wanaume wote ukamfananisha na huyo ZwaZwa wako wa Kisambaa... mwanaume asiye na Vision na kuhangaika kuzifikia basi huyo ana uwalakini wa akili. Vile asiyeipa priority familia ikaonekana matawi ya juu naye ni mulemule.

Rekebisha title ya uzi na umlenge mumeo sio "WANAUME"... Nakushauri tutake radhi
 
Nimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.

Kazi kulalamika mpelekewe maji bafuni kwenye ndoo hebu jengeni maji yatiririke kutoka juu au muoge mmelala!

Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto mnaotuzalisha wataenda wapi mkifa. Hebu badilikeni vitambi na kulipa Kodi sio maendeleo.
Yaani wanawake ni wabinafsi sana yaani anachowaza ni kufa kwa mwanaume tu
 
Nimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.

Kazi kulalamika mpelekewe maji bafuni kwenye ndoo hebu jengeni maji yatiririke kutoka juu au muoge mmelala!

Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto mnaotuzalisha wataenda wapi mkifa. Hebu badilikeni vitambi na kulipa Kodi sio maendeleo.
Mtaje kwa jina la ukoo....ujumbe umfikie....hizo nyumba anazolipia kodi ni wanaume wamejenga, pombe anazokunywa...zimezalishwa na wanaume, gari anazopanda asilimia kubwa ni za wanaume....so usipoteze muda kuongea na wanaume wapambanaji....bali ongea na mumeo ujumbe ufike ...huku utachelewa miaka mingine 10 ndio aje asome hapa.
 
Baadhi ya wanawake hamna shukrani na mnapenda kuishi maisha ya watu wengine , Unatakiwa kushukuru Mungu hata kwa maisha mnayoyaishi, kuna wanaume wametelekeza familia zao na hawajawahi kurudi nyuma kujua familia inaendeleaje , unachopaswa ni kumshauri mumeo kwa hekima, mpe ushauri kwa utulivu! Kama hatafanya wala usilazimishe, anza wewe kumuonesha hiyo njia na yeye ataona aibu kisha ataungana na wewe ! Mwisho wanawake muache tamaa ya kutamani mambo yaliyo nje ya uwezo wenu au nje ya uwezo wa mume wako ! Mtafanya wenza wenu wafanye mambo yasiyompendeza Mungu wala jamii kisa tu kuwaridhisha nyie.
 
Niyatoe wapi watoto watatu ndani ya miaka saba na bado anamendea wa nne, nikizaa tena nipo pale, yaani anataka Kijiji kizima kwenye nyumba za kupanga!
Sasa wewe kama mkewe unatakiwa kuplay part yako. Kuna dada yangu kwenye ukoo alikutana na mwanaume anafanya kazi kiwandani, jamaa alikuwa anapiga madili sana so pesa anapata.

Walikutana dukani tu na mshikaji, uhusiano wao ulianza hapo jamaa aliomba namba akamlipia vitu alivyokwenda kununua na kumpa hela kidogo.

Wakaanza mawasiliano, jamaa alikuwa amepanga chumba kimoja, yule binamu akamshawishi kuhamia sehemu mpya yenye chumba na sebule. Wakaanza kuishi pamoja na siku chache tukatambulishwa ikawa rasmi.

Jamaa akamuamini sana maana binamu alikuwa ananunua vitu anaweka ndani hapo so alikuwa anatumia pesa yake na akikwama anakopa anamjulisha jamaa vitu vya ndani vikaanza kuonekana. Akawa anampatia pesa apange matumizi. Akawa anasave pesa na akaenda jiunga vikoba, akawa amenunua kiwanja kibamba na akamjulisha mumewe na wakaenda wote kukilipia pesa ya kwanza hadi wakamaliza kabisa.

Muda si muda wakaanza ujenzi wa nyumba ya vyumba vitatu,bi dada alikuwa site na mafundi wasimuibie mali za ujenzi, wakati ikiwa inakaribia hatua ya kufanyiwa finishing wakaamia kwa nguvu, jamaa akaja na wenzake wa kazini wamtembelee washkaji wakaenda mchoma kazini kuwa amejenga haraka sana siku zote walikuwa wanajua anapoishi alipokuwa amepanga.

Jamaa akafukuzwa kazi ila kwasababu mkewe alikuwa majenga mazingira wakawa wana maisha.

Nachotaka kukwambia ni kuwa ondokana na fikra za utegemezi uliopiliza. Usiwe na fikra kuwa kupata watoto na kuwalea ndio umemaliza majukumu yako.

Wewe kama Mke umeshaona mwanaume wako anapwaya wapi, hapo ndipo umuhimu wako kama ubavu wa mwanaume unaonekana. Unamlaumu mwanaume as if maendeleo yenu ni yake pekee yake na sio yenu. Why usitafute kiwanja sehemu nzuri kisha mjulishe ili muanze kusave pesa kwaajiri ya kununua na kikishanunuliwa muanze ujenzi?

Usimzuie kwenda Bar kunywa ila mwambie badala ya kunywa chupa 200 kwa mwezi mwambie apunguze ziwe 50 ili pesa ya chupa 150 itumike kufanyia maendeleo yenu binafsi kama ujenzi.

Siku kazi ikienda kushoto utakaeteseka ni wewe na watoto wako.
 
Back
Top Bottom