Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahaha....ila atanitema sio muda maana kibunda kimeshakata..Nitarud mbio jukwaan utaniona tu fujo zanguhuonekani,,, kweli Amehlo anakukeep busy ๐๐๐
๐๐๐๐๐๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐Ahaha....ila atanitema sio muda maana kibunda kimeshakata..Nitarud mbio jukwaan utaniona tu fujo zangu
Inawezekana pia mshkaj anajua hayo ndio maana hamshirikishi anatindua kimya kimya isije yakaja ya kugawana Mali mapema[emoji38]Tulosoma cuba tushajua!!!, unataka afanye maendeleo afu umuue, umiliki kaya.
Ngoja kwanza kibunda kikate ndio nirud hukuNtapunguza ili uonekane na huku
Kweli kabisa unakuta friji baada ya kukaa matunda wanaweka makeki kibao Kama birthday na masoda mpaka mayonaiz[emoji51]Wanawake wote wanajua sisi ndo tutakufa kabla yao.
Ikute wanatuwekea vitu tufe mapema
Sasa kwenye hivyo huoni ni wewe kujiongeza kula au kutokulaKweli kabisa unakuta friji baada ya kukaa matunda wanaweka makeki kibao Kama birthday na masoda mpaka mayonaiz[emoji51]
Tupate visukari presha tufe mapema
Maendeleo yake si kuzalishwa, kumstarehesha mumewe na kulea watoto?Umeongea kwa hisia sana shogare
Vipi we una maendeleo yoyote?
Aah havinihusu๐๐
Ila pole
Dah..!! Heshima kwako Amehlo. This coment of yours, has made me to LOVE you more.!! USIKUTE YEYE MAENDELEO YAKE NI KUNYONYESHA WATOTO TU..!!Umeongea kwa hisia sana shogare
Vipi we una maendeleo yoyote?
Aah havinihusu๐๐
Ila pole
Siyo kasoro za mume wake, NI KASORO ZAKE..!! Kwani si alitongozwa na akakubali na baadaye akapewa mimba..!! Hakuwa na option ya kusema HAPANA?kasoro za mume wako unakuja kutulaumu sisi, kwa uzi huu we na mume wako mmeoana akili zinafanana
Sisi wenye vitambi tu comment wapi? ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐๐๐๐๐คฃ๐คฃVitambi na kulipa Kodi sio maendeleo !!
Nin wew kwani si mliambiwa mtakula Kwa jashoHivi kama huchangii hata mia kwenye kutunza familia unapata wapi nguvu ya kuhoji hela zangu zinaenda wapi.
Wewe kaa tulia hapo uwe kiburudisho changu nikirudi