Wanaume badilikeni fanyeni maendeleo, umri haurudi nyuma!

Wanaume badilikeni fanyeni maendeleo, umri haurudi nyuma!

Bamdogo ulipotelea wapi jamani

Maendeleo yake ana watoto wa3 😀😀😀
Mamdogo mi nipo..!! Hofu kwako uliye mbali na upeo wa macho yangu..!! Mamdogo, hayo maendeleo yake ya kupata watoto watatu, alikunywa maziwa?
 
Maendeleo yake si kuzalishwa, kumstarehesha mumewe na kulea watoto?

That's her primary duty as a wife (ma feminists msinirukie!)

Na ukimsoma vizuri (kama umesoma Cuba) ana hasira sana; na hasira hizi naamini zinasababishwa na mumewe kuwa k*tombi. Da woman is in pain!

Pulizi piga goti chini hapo ulipo umuombee mwanamke mwenzio ili mumewe apunguze akina Mama J. huko nje 😁😁😁

Maana badala ya kupambana na k*tombi wake huko amekuja kutubebesha msalaba wa lawama wanaume wote hapa duniani!

Not fair!
Sure, ameongea kwa hasira mnoo,

Namuombea Mungu amgange moyo, amuondolee uchungu na maumivu yote

Ila, Mke ni msaidizi, je yeye anafanya yanayompasa kumsaidia mumewe kupata hayo maendeleo?

Akasome mithali :1 aone mwanamke anatakiwa kuwaje alafu aje alalame tena
 
Nimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.

Kazi kulalamika mpelekewe maji bafuni kwenye ndoo hebu jengeni maji yatiririke kutoka juu au muoge mmelala!

Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto mnaotuzalisha wataenda wapi mkifa. Hebu badilikeni vitambi na kulipa Kodi sio maendeleo.
yaani mumeo kuwa juha basi unatukana wanaume wote. ujinga ulionao wa kukubali kuolewa na mwanaume zuzu unadhani wanawake wote wako kama wewe??
 
Aloo umeongea kwa jazba sana shoo, ebu kunywa maji kidogo... sasa si umwambie tu Shemeji 😀
 
Alipambana 😀😀😀😀😀kutegesha iingie sio kazi rahisi
Mamdogo, kwani anayeingiza si huyo anayemuona hana maendeleo..!!?? Mwamba amepambana kuisimamisha, pili akairengesha pa kutolea watoto na tatu akaipeleka ndani kwa nguvu zake ili watoto wamwagikie ndani...!! Yeye labda aliifinyia kwa ndani ikiwa ishafika ndani bila juhudi zake. Kuifikisha huko ndani ilikofinyiwa, ni juhusu za mwamba mamdogoooo..!!!!
 
Nguvu ya maendeleo ya familia yako ipo kwako wewe, wewe ndio mjenzi WA nyumba yako, kama mwanaume haoni loyalty yako kwake anaweza asifanye maendeleo ya maana akaamua kula maisha.
Jitulize na umtulize mmeo mtie moyo nmfungulie Dunia kwa kwa kipaji chako cha uvumilivu
Kama amekuja kumlaumu hivi it means anamtolea maneno ya dharau au kumkatisha tamaa hadi mwanaume anaamua kuwa mlevi na mtu wa mademu tu.
 
Sure, ameongea kwa hasira mnoo,

Namuombea Mungu amgange moyo, amuondolee uchungu na maumivu yote

Ila, Mke ni msaidizi, je yeye anafanya yanayompasa kumsaidia mumewe kupata hayo maendeleo?

Akasome mithali :1 aone mwanamke anatakiwa kuwaje alafu aje alalame tena
Labda usaidizi anaotakiwa kuwa nao mke, yeye kaona ni KUMWAGA UNO LA MAANA TU, ILI WATOTO WAPATIKE MKIWA MMEPATA RAHA..!!!
 
Kwani hata hayo MAISHA akiyatengeneza si mnatuua KWA presha ,sukari,upweke,stress na ndumba ILI mbaki na watoto wenu!!

ACHA walewe,wanunue malaya coz ndio mali PEKEE wanazozimiliki hayo MAISHA mnayosema ni changa la macho kwetu na mwanzo wa matatizo SANA KWA sisi!!!

Unafikiri akikamilisha KILA kitu utampenda BASI!!?

Sisi ni SAWA na greda likishatengeneza Barabara linawekwa pembeni eti litaharibu Bara bara!!
Ukweli mchungu ila ndio dawa.
 
Sure, ameongea kwa hasira mnoo,

Namuombea Mungu amgange moyo, amuondolee uchungu na maumivu yote

Ila, Mke ni msaidizi, je yeye anafanya yanayompasa kumsaidia mumewe kupata hayo maendeleo?

Akasome mithali :1 aone mwanamke anatakiwa kuwaje alafu aje alalame tena
Unanifurahishaga sana pamoja na "ukorofi" wako sometimes 😁😁😁

Complaining is easy...

Kutimiza majukumu na kubeba lawama husika hiyo ni habari nyingine...

Tuzidi kumuombea tu angalau akina Mama J wapungue katika ndoa yake 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
 
Wewe nae unaemshauri ni walewale tu,hivi unajua mnajazanaga ujinga, mwanamke siku zote anapopambana ni anatoke kwa mwanaume lakini mwanaume anapambana akimuwazia mkewe na watoto wake,sasa wewe shetani mwekundu uliekuja kwa jina la utakatifu unaemshauri ajiangalie mwenyewe na watoto kwanini unatoa huyo mumewe,acha roho ya kibinafsi, nyinyi wanawake Tangu mama yenu Hawa arubuniwe ni nyoka na kuleta kizazi cha nyoka mna roho mbaya sana kwa waume zenu
Umeniacha hoi. Ubarikiwe malaika wa yellow....😅😅😅😅😅🤸🤸
 
Nimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.

Kazi kulalamika mpelekewe maji bafuni kwenye ndoo hebu jengeni maji yatiririke kutoka juu au muoge mmelala!

Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto mnaotuzalisha wataenda wapi mkifa. Hebu badilikeni vitambi na kulipa Kodi sio maendeleo.
Pole sana dada naona umeongea kwa uchungu but kwa ushaur jaribu kuangalia kitu ambacho na ww unawza fanya kikakuongezea kipato
 
Back
Top Bottom