Wanaume badilikeni fanyeni maendeleo, umri haurudi nyuma!

Wanaume badilikeni fanyeni maendeleo, umri haurudi nyuma!

Ila wanaume tunakazi sana,.. yaani mwanamke anakwambia amekuzalia watoto lakini mda huohuo anayefaida matunda ya watoto ni mama na muda mwngn watoto na mama wanaweza wakamuisolate baba.
Hii point sana,
Hii kusema mtu kazaliwa watoto ni kauli yakisiasa sana...asilimia kubwa sana ya watoto wanaishia kubase kwa mama mwisho wa siku, sasa sijui anakua kakuzalia vp!
 
Usaidizi unaozungumziwa siyo wa mkeo kukusaidia kununua tofali na kusomeshea watoto,usaidizi ni kama hivi kukukumbusha kwamba kuna umuhimu wa kujenga nyumba kwa ajili ya familia yako na mengineyo ya msingi.

Wanaume sisi siyo wepesi wa kuweka akiba ukiwa na mke mwenye akili (naamini hata mleta mada yupo ktk position hiyo) mkapanga kudunduliza kwa ajili ya ujenzi wa nyumba yenu au chochote chenye manufaa kwenu ndani ya muda mfupi mnafanikiwa,shida ni ubishi kuamini mafanikio ya leo pia kesho yapo.

NB;hapo juu kwenye bold usije ukaowa ukategemea mkeo atakusaidia hela kujenga,msaada huo hakuna ulipoainishwa ktk sheria za ndoa take care utaangukia pua.
Uko vizuri sana
Kuna siku nilikutana na video za men's dinner YouTube walikuwa akina Chris mauki,Deo na wachumgaji akiwemo hananja pamoja na wanaume wengine waliongea kitu kama hiki hiki ulichosema Bora umewaambia ukweli
 
Nimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.

Kazi kulalamika mpelekewe maji bafuni kwenye ndoo hebu jengeni maji yatiririke kutoka juu au muoge mmelala!

Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto mnaotuzalisha wataenda wapi mkifa. Hebu badilikeni vitambi na kulipa Kodi sio maendeleo.
Sasa mpka leo unaongea maji ya ndoo?wewe ndio tatizo huna uwezo wa kuongoza familia yako kma bibi hangaya
 
Kabisa hatuwezi kubali kuchafuliwa kirahisi. Tumechoka aisee tumechokaaaaaa. Kila kitu kikiharibika ni mwanaume mambo yakienda vizuri oooh nyuma ya mwanaume mwenye mafanikio kuna mwanamke, hizo story hatuzitaki tena.
Yakienda vibaya...ya kwako pekeako
 
Hawajielewi kazi kuzalisha kama majogoo
Unayezalishwa ndiyo hujielewi. Mtoto wa kwanza hadi wa tatu bado unapanua paja tu.

Hapo wewe ndiyo tatizo na huenda huyo mwanaume ulimkuta hata pombe haonji ila baada ya mauzauza yako kumwanzishia ndiyo kaona bora pombe kuliko wewe.
 
Huyu dada hajakosea kabisa, kunamwanaume wajinga? kunajamaa angu alikua rafki yangu kipindi hicho, akamuoba mke, wake hela ya boga, sh 2000, akasema hana, lakini tukaenda senta, akaenda kuonga, hawala sh 10000.
Pole sana mkuu naona mafua yamekukaba balaa[emoji85][emoji85][emoji85]
 
Nimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.

Kazi kulalamika apelekewe maji bafuni kwenye ndoo badali ajenge maji yatiririke kutoka juu au aoge amelala!

Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto anaonilisha wataenda wapi akifa. Vitambi na kulipa kodi sio maendeleo.

N.b: Nimedit. Ila wenye hivyo vitabia acheni mpo humo humo msinitolee mapovu! Unaoa mwembamba kama fimbo halafu mnakuja kurelax na kusahau ahadi zote mnasahau
Shidaaa nawewe umeamua kumtegemea yeye tuu,😂😂
 
Vayolensi
Huyo mwanamama anataka kuharibu hali ya hewa...Akili zake ni za hovyo yani ameshindwa kumuongoza mmeo vyema anakuja kutoa povu huku aargh!

Anashindwa kijitambua kosa lake kuwa alikubali kuwa mather house lkn sio mama mpambanaji mpuuzi sana huyoo 🤣🤣🤣
Nimejitahidi mno kila siku mambo mazuri hayataki haraka
 
Atajua mwenyewe na serikali ya kichwa chake....Kwani kuna mtu aliemshikia akili hapa....Acha aendelee kuringishia majirani ana flat screen kubwa ila hata account bank yoyote hana shenzi type kabisa huyoooo na wadizaini hii ndio wale wakushindana kwa miziki mikubwa nyumba za kupanga pambafuuuu🤣🤣🤣🤣
Nyumba za kupanga nimependa Mimi siku ananioa ahadi kedekede kuingia ndani karelax na kulipa kodi
 
Back
Top Bottom