tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Unaweza kukuta yeye ndio amechangia yote hayo...inaonekana anastress kma kG 200,istoshe ni mlango wa 7 huyoHeee! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Apambane na zigo lake sio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza kukuta yeye ndio amechangia yote hayo...inaonekana anastress kma kG 200,istoshe ni mlango wa 7 huyoHeee! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Apambane na zigo lake sio
Una mawazo ya ajabuTulosoma cuba tushajua!!!, unataka afanye maendeleo afu umuue, umiliki kaya.
Kabisa hapa kashaanza kuongelea mambo ya mtoto yaani hata aibu hana, imagine watoto wadogo wanne nyumba ya kupanga!Hakikisha huongezi mtoto mwingine mpaka uone mweleleo wa mabadiliko unayoyataka😴😴😴😴😴
Asante Kwa ushauriAcha kuzungumza kwa hisia Kali ivi. Ongea na umshauri huyo mwanaume wako. Sio wote tuna huo upumbavu. Heshima ichukue nafasi yake. Kaa chini na ujiulize alichokosea kwako ni nini? Na ni kipi kinachokufanya ushindwe kumtreat mwanaume wako adi afikie hatua ya kuwa na mahawara? Ukipata majibu Kaa nae chini mrekebishane [emoji725]
Okay tukifa wote?Unavyo sema mumeo akifa kwani ww mwanamke hufi? Jipangeni na huyo mmeo
Dada usitujumlishe sisi wengine hatuko hivyo tunajua nini tunakifanya nakushauri bado mnao muda hamhachelewa sana sema na mmeo aanze kujipanga.Nawe nakushauri uwe na mradi hata wa duka baada ya miaka mitano baadaye mtakuwa mmeenda mbali.Miaka saba hamna maendeleo
Kosa kubwa bwana ako alilofanya ni kuoa liability badala ya asset, huna mchango wowote kwake zaidi ya masimango kwakeNimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.
Kazi kulalamika apelekewe maji bafuni kwenye ndoo badali ajenge maji yatiririke kutoka juu au aoge amelala!
Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto anaonizalisha wataenda wapi akifa. Vitambi na kulipa kodi sio maendeleo.
N.b: Nimedit. Ila wenye hivyo vitabia acheni mpo humo humo msinitolee mapovu! Unaoa mwembamba kama fimbo halafu mnakuja kurelax na kusahau ahadi zote!
Then kama siyo mwanaume lia lia mpe nafasi ya kuchagua.Maana yake mwanamke kama chake n chake c cha familia haina maana kufanya kaz yan atoke asbh arud usku kama mimi halafu mshahara akpata n wake bnafsi over my dead body atachagua moja kaz au ndoa kwsha.
😂😂😂😂😂Mshauri aanze kununua vitu vya nje...
Hivi unajua what does it sound like kukaa na watoto wadogo watatu au unabwabwaja tu! Afu nimsaidie matako Kila miaka miwili anaonizalisha hebu tulia tu usiniguse sehemu mbayaKosa kubwa bwana ako alilofanya ni kuoa liability badala ya asset, huna mchango wowote kwake zaidi ya masimango kwake
Yes mama wa nyumbani. Aliniahidi kuniendeleza ila ndo Kila leo majanga!Watoto wa3 kwenye nyumba ya kupanga? 🙄 na wewe ni mama wa nyumbani au
Asante
Asante sanaMleta mada mimi nipo na wewe, sasa cha kufanya(kutegemeana na mnavoishi)
...kama kipo kiwanja tafuta laki tano, nenda ukanunue tofali 500 weka site then mwambie uone reaction yake.
Kwani katika mshahara anaopata wewe ume add nini ambacho ni productive kwenye maendeleo yenu jamaa akaki crushHivi unajua what does it sound like kukaa na watoto wadogo watatu au unabwabwaja tu! Afu nimsaidie matako Kila miaka miwili anaonizalisha hebu tulia tu usiniguse sehemu mbaya
Kuniendekeza kulikopitilizaTatizo huna shukrani dada, hayo maisha ndio kapangiwa hivo wewe unataka ajikune mpaka wapi....hatuwezi kuwa wote matajiri na wala wote hatuwezi kuwa maskini.
Pole. Hongeraa piaPeleka makasiriko kwa mmeo.
Wengine hatulewi na tunajua majukumu yetu.
Si ujibane unachopewa ulete mabadiliko?
Pambana na fala wako usitujumlishe wote wengine tunabonyeza yanatiririka ya moto
Nimerudi naona nashambiliwa tu. Bia nyama na mpira nilisahau!Dada katupa bonus hlf kakimbia. Ila huo ndo ukweli. Kaongea ukweli na najua ana mengi ya kuongea sema hajataka. Ila huo ndo ukweli kwa baadhi yetu hatuna vision
Wakati mnatongoza ahadi kedekede kumbe umafia tuSiyo kasoro za mume wake, NI KASORO ZAKE..!! Kwani si alitongozwa na akakubali na baadaye akapewa mimba..!! Hakuwa na option ya kusema HAPANA?
Mara nyingine mtusamehe tuna hasira za DPW😂Pole. Hongeraa pia