Wanaume badilikeni fanyeni maendeleo, umri haurudi nyuma!

Wanaume badilikeni fanyeni maendeleo, umri haurudi nyuma!

Comment ya hovyo kutoka kwa kijana wa hovyo.

Humu tupo kwa fake IDs ukute maneno haya umemwandikia dada yako au mama yako mdogo,nadhani humu upo umuhimu wa mada jadilifu kama hizi kufanyiwa mchujo wa wa member wanaopaswa kuzi-access.
Bora umemwambia
 
Mashemeji tunaelewana ila ndo hivyo Kila weekend wanafuatana kwenye starehe na hao mashemeji wote Wana nyumba zao! Yeye yupo yupo tu japo anasema mambo mazuri hayataki haraka sasa sijajua labda ana plan ya maana ngoja nijaribu kumdadisi nataka anishirikishe ikiwezekana nisikae roho juu juu
Ndiyo maana nikakwambia hao hao nduguze uwaambie wamkumbushe sometimes wanavyomuona anavyong'ang'ania ku-clear bills mbalimbali huko kwenye starehe wao wame-relax wanajua bro yuko safi wanasubiri siku atawapa mualiko anahamia kwake kumbe hamna kitu mwisho washangae msiba unakuja kuwekwa kwenye nyumba ya kupanga.

NB;nimeweka issue ya msiba simaanishi yeye inaweza hata kuwa ndugu akija kuuguliwa hapo kwake.
 
Ndiyo maana nikakwambia hao hao nduguze uwaambie wamkumbushe sometimes wanavyomuona anavyong'ang'ania ku-clear bills mbalimbali huko kwenye starehe wao wame-relax wanajua bro yuko safi wanasubiri siku atawapa mualiko anahamia kwake kumbe hamna kitu mwisho washangae msiba unakuja kuwekwa kwenye nyumba ya kupanga.

NB;nimeweka issue ya msiba simaanishi yeye inaweza hata kuwa ndugu akija kuuguliwa hapo kwake.
Asante sana
 
Ulimkataa MSUKUMA ukakimbilia kwa huyo Sharobaro. Pambana na hali yako. Ungekuwa na yule msukuma sasa hivi ungekuta una nyavu zako unaenda mwenyewe kuvua samaki. Hao watoto kila mmoja angenunuliwa jembe lake.... yaani full maendeleo kwenye ngazi ya kaya.
 
Ulimkataa MSUKUMA ukakimbilia kwa huyo Sharobaro. Pambana na hali yako. Ungekuwa na yule msukuma sasa hivi ungekuta una nyavu zako unaenda mwenyewe kuvua samaki. Hao watoto kila mmoja angenunuliwa jembe lake.... yaani full maendeleo kwenye ngazi ya kaya.
Hahaha,
 
Nimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.

Kazi kulalamika apelekewe maji bafuni kwenye ndoo badali ajenge maji yatiririke kutoka juu au aoge amelala!

Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto anaonizalisha wataenda wapi akifa. Vitambi na kulipa kodi sio maendeleo.

N.b: Nimedit. Ila wenye hivyo vitabia acheni mpo humo humo msinitolee mapovu! Unaoa mwembamba kama fimbo halafu mnakuja kurelax na kusahau ahadi zote!
Umeongea vizur na kwa hisia but, maisha ni haya haya
 
Mwanamke/mke ni sehemu ya maendeleo ya mume. Wewe ndio unapaswa kumuhimiza mumeo kuhusu maemdeleo, nini mfanye na kwa wakati gani. Inawezekana kabisa huna mawazo ya maendeleo, una matumizi mabaya ya pesa ndio maana mume hajali.

Muhimu jichunguze kwanza wewe jiuloze una msaada gani kwa mumeo ktk kuleta maendeleo? Kama huna basi chukua hatua. Maendeleo huanza na wewe
 
Hivi unajua what does it sound like kukaa na watoto wadogo watatu au unabwabwaja tu! Afu nimsaidie matako Kila miaka miwili anaonizalisha hebu tulia tu usiniguse sehemu mbaya
Yaani ikifika miaka miwili unazikinga, halafu baada ya muda unalalama hana maendeleo..!! Wallah watano utafikisha
 
Usaidizi unaozungumziwa siyo wa mkeo kukusaidia kununua tofali na kusomeshea watoto,usaidizi ni kama hivi kukukumbusha kwamba kuna umuhimu wa kujenga nyumba kwa ajili ya familia yako na mengineyo ya msingi.

Wanaume sisi siyo wepesi wa kuweka akiba ukiwa na mke mwenye akili (naamini hata mleta mada yupo ktk position hiyo) mkapanga kudunduliza kwa ajili ya ujenzi wa nyumba yenu au chochote chenye manufaa kwenu ndani ya muda mfupi mnafanikiwa,shida ni ubishi kuamini mafanikio ya leo pia kesho yapo.

NB;hapo juu kwenye bold usije ukaowa ukategemea mkeo atakusaidia hela kujenga,msaada huo hakuna ulipoainishwa ktk sheria za ndoa take care utaangukia pua.
Sawa mkuu
 
Ukiachana na mume wako kushindwa kufanya maendeleo. We umefanya maendeleo gani kwa hiyo miaka 7?
Kamtolea watoto watatu aliokuwa amewabeba kiunoni kwake unadhani hiyo ni kazi rahisi?

Wanawake wanaoamua ku-stick na sisi hata tukiwa hatu-desevre kuwa nao (imani yangu hata huyu huyo jamaa hamstahili kuwa nae bahati yake tu) kwa kufanya yale yanayopaswa kufanywa ktk tendo la ndoa ni wa kuwaheshimu sana.

Ama ulitaka maendeleo zaidi ya hayo,alimpa mtaji?labda aitwe aseme hapa!
 
Mwanamke/mke ni sehemu ya maendeleo ya mume. Wewe ndio unapaswa kumuhimiza mumeo kuhusu maemdeleo, nini mfanye na kwa wakati gani. Inawezekana kabisa huna mawazo ya maendeleo, una matumizi mabaya ya pesa ndio maana mume hajali.

Muhimu jichunguze kwanza wewe jiuloze una msaada gani kwa mumeo ktk kuleta maendeleo? Kama huna basi chukua hatua. Maendeleo huanza na wewe
Mkuu kuna wanaume wengine hawashauriki, akishapanga jambo hataki apingwe hata likiwa la maendeleo
 
Huwa nikiona uzi unagusa jinsia fulani halafu wale walengwa wanapovuka basi ujue wamefikiwa kwa % kubwa sana.

Mleta uzi hongera bila shaka kuna baadhi ujumbe umewafikia bila chenga chenga.

Nikazie tu kwamba wabadilike umri haurudi nyuma.
 
Mwambie mkapange sehemu nzuri
Vizuri zaidi ungemwambia amwambie wapunguze quality ya nyumba waende sehemu za kawaida ili kodi itakayobaki wajenge kwao.

Huyu mama anacholalamika yeye siyo anakaa nyumba mbaya anachotaka yeye wawe na nyumba yao kwa ajili yao na watoto wao
 
Kamtolea watoto watatu aliokuwa amewabeba kiunoni kwake unadhani hiyo ni kazi rahisi?

Wanawake wanaoamua ku-stick na sisi hata tukiwa hatu-desevre kuwa nao (imani yangu hata huyu huyo jamaa hamstahili kuwa nae bahati yake tu) kwa kufanya yale yanayopaswa kufanywa ktk tendo la ndoa ni wa kuwaheshimu sana.

Ama ulitaka maendeleo zaidi ya hayo,alimpa mtaji?labda aitwe aseme hapa!
Mtaji wapi huyu jamaa alinikoleza nikakolea nikiwa nasoma PCB mpaka nikapata division 0. Hapo four Nina two yangu nzuri ya 21. Akaja kunioa Kwa ahadi ya kunipeleka clinical officer. Sasa naona nimekua officer wa watoto hata hamu ya shule sina tena.
 
Nimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.

Kazi kulalamika apelekewe maji bafuni kwenye ndoo badali ajenge maji yatiririke kutoka juu au aoge amelala!

Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto anaonizalisha wataenda wapi akifa. Vitambi na kulipa kodi sio maendeleo.

N.b: Nimedit. Ila wenye hivyo vitabia acheni mpo humo humo msinitolee mapovu! Unaoa mwembamba kama fimbo halafu mnakuja kurelax na kusahau ahadi zote!
Inamaana wewe huna kazi zaidi ya kutanua tu
 
Mkuu kuna wanaume wengine hawashauriki, akishapanga jambo hataki apingwe hata likiwa la maendeleo
Kuna watu sikio la kufa. Lakini ni vizuri tujifunze kwa mifano iliyopo kwenye jamii. Kuna mzee alinunua hisa zake mara ya kwanza 2005, hiyo juzi may2023 nikashika statements za hisa zake. Aloooh!!! Kuna watu wanaona mbali jamani, lakini ajabu anasema yeye hizo mambo za investments ni yeye ndio aliamua mkewe alikua anakataa kabisa. Hizo hisa ni mzigo mnene kwa thamani ya sasa. Mi nadhani kitu cha faida kwa wote hakihitaji kusubiri, ni kwenda tuu!
 
Back
Top Bottom