Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Na hao ndo wanatambaga kweli wakiwa kwenye viti virefu. 😂😂Yaani ukiacha furniture za ndani na corola yake ya zanani hatuna kitu, ila bia na nyama hakosi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hao ndo wanatambaga kweli wakiwa kwenye viti virefu. 😂😂Yaani ukiacha furniture za ndani na corola yake ya zanani hatuna kitu, ila bia na nyama hakosi
Njoo unipe kazi wwInamaana wewe huna kazi zaidi ya kutanua tu
😂😂😂Watakuponda mawe lakini bora umewaambia hawa nyumbu
Yeah!Mtaji wapi huyu jamaa alinikoleza nikakolea nikiwa nasoma PCB mpaka nikapata division 0. Hapo four Nina two yangu nzuri ya 21. Akaja kunioa Kwa ahadi ya kunipeleka clinical officer. Sasa naona nimekua officer wa watoto hata hamu ya shule sina tena.
Hujakaa sawa unapigwa mimba nyingine.Mtaji wapi huyu jamaa alinikoleza nikakolea nikiwa nasoma PCB mpaka nikapata division 0. Hapo four Nina two yangu nzuri ya 21. Akaja kunioa Kwa ahadi ya kunipeleka clinical officer. Sasa naona nimekua officer wa watoto hata hamu ya shule sina tena.
Thubutu!Hujakaa sawa unapigwa mimba nyingine.
Ananinisikiliza utekelezaji Sasa ni km nampigia mbuzi gitaaYeah!
Lea watoto hao ndiyo jicho lako la kesho ila kikubwa hasa masikilizano ndani ya nyumba unapotaka kuzungumzia ishu ya maendeleo yenu yawepo.
Kujenga sio lazima sana ka hela ya kuunga ungaVizuri zaidi ungemwambia amwambie wapunguze quality ya nyumba waende sehemu za kawaida ili kodi itakayobaki wajenge kwao.
Huyu mama anacholalamika yeye siyo anakaa nyumba mbaya anachotaka yeye wawe na nyumba yao kwa ajili yao na watoto wao
JingaTafuta mchepuko mwenye pesa akukune na akupe pesa.
Achana na huyo mfuga kitambi na malaya.
Acha akunyooshe we si ulimvwaga mwanangu Amasha kisa tamaa aisee umechakaa sana form four 2014 sahv watt watatu.Mtaji wapi huyu jamaa alinikoleza nikakolea nikiwa nasoma PCB mpaka nikapata division 0. Hapo four Nina two yangu nzuri ya 21. Akaja kunioa Kwa ahadi ya kunipeleka clinical officer. Sasa naona nimekua officer wa watoto hata hamu ya shule sina tena.
Na ana watoto watatu???Kujenga sio lazima sana ka hela ya kuunga unga
We ndo umenichakaza?Acha akunyooshe we si ulimvwaga mwanangu Amasha kisa tamaa aisee umechakaa sana form four 2014 sahv watt watatu.
Anaongea tuNa ana watoto watatu???
Umemaanisha kweli ulichoandika hapa?
Namaanisha kujenga kwa kujibana sana hakufai maana utaishia kuteseka na kujenga kibanda cha hovyo.Na ana watoto watatu???
Umemaanisha kweli ulichoandika hapa?
Hahaha jiandae Kwa kesi sisi Kuna muda pia hatueleweki! Badala ya kukusifu ataleta kisirani. Kwangu Mimi hapo upo vizuriMke wangu anawaza kubadilisha sofa zimechoka, mapazia mapya, aweke chini zuria na simu mpya maana simu yake katoto kalimpasulia hapo nitoe Hela,
Mimi badala ya kufanya hayo anayotaka nikamnunulia kiswaswadu halafu nikaenda kumwaga mawe Trip za kutosha kwenye kiwanja nilinunuaga halafu Hela zimeisha, hapa namskilizia sijui reaction yake sijui itakuwaje maana alijua napenda benki naleta Hela inatosha kufanya yote hayo.
Sasa utampangia mume pa kumwagia, au ujitie vitanzi au nunua kabisa box la p2Thubutu!
Unamuombea kifo mmeo,atakufa tuu utabaki na wanao.Nimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.
Kazi kulalamika apelekewe maji bafuni kwenye ndoo badali ajenge maji yatiririke kutoka juu au aoge amelala!
Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto anaonizalisha wataenda wapi akifa. Vitambi na kulipa kodi sio maendeleo.
N.b: Nimedit. Ila wenye hivyo vitabia acheni mpo humo humo msinitolee mapovu! Unaoa mwembamba kama fimbo halafu mnakuja kurelax na kusahau ahadi zote!