scolastika
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,863
- 5,719
Mtu wa hivyo haitakiwi kuzidi watoto watatu tuAsante sana, yaani yeye anawaza tu watoto
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu wa hivyo haitakiwi kuzidi watoto watatu tuAsante sana, yaani yeye anawaza tu watoto
Kihitla kabisa, hii nzuri baba nanii....maendeleo kwanzaaMke wangu anawaza kubadilisha sofa zimechoka, mapazia mapya, aweke chini zuria na simu mpya maana simu yake katoto kalimpasulia hapo nitoe Hela,
Mimi badala ya kufanya hayo anayotaka nikamnunulia kiswaswadu halafu nikaenda kumwaga mawe Trip za kutosha kwenye kiwanja nilinunuaga halafu Hela zimeisha, hapa namskilizia sijui reaction yake sijui itakuwaje maana alijua naenda benki naleta Hela inatosha kufanya yote hayo anayotaka.
[emoji23][emoji23][emoji23]Umeongea kwa hisia sana shogare
Vipi we una maendeleo yoyote?
Aah havinihusu[emoji3][emoji3]
Ila pole
Kama unamsema mumeo unakosea, kwa kuwa bado upo naye unaanzaje kumsema? Wewe mpaka unamkubali ilikuwaje, hukumjua kabla? Alikulazimisha ndoa? Ukiwa unaishi naye ni ishara kuwa anakufurahisha, una maslahi naye, huna jeuri kwake au unacho kitu cha kujivunia kuhusu yeye... full stop!Nimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.
Kazi kulalamika apelekewe maji bafuni kwenye ndoo badali ajenge maji yatiririke kutoka juu au aoge amelala!
Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto anaonizalisha wataenda wapi akifa. Vitambi na kulipa kodi sio maendeleo.
N.b: Nimedit. Ila wenye hivyo vitabia acheni mpo humo humo msinitolee mapovu! Unaoa mwembamba kama fimbo halafu mnakuja kurelax na kusahau ahadi zote!
Yaani mtu anatumia muda wa kutumikia ndoa kwenye kazi, halafu akipata hela iwe yake peke yake..!!Maana yake mwanamke kama chake n chake c cha familia haina maana kufanya kaz yan atoke asbh arud usku kama mimi halafu mshahara akpata n wake bnafsi over my dead body atachagua moja kaz au ndoa kwsha.
Okay. Nakomaa nalo huku mitandaoni tunaondoa stress ila pia Kuna watu wamejibu vizuri.Acha kulalamika lamika,komaa na limwanaume lako si ulilipenda mwenyewe?
Vizuri ni vile unavyopenda kuvisikia? Au ahata kile usichokipenda?Okay. Nakomaa nalo huku mitandaoni tunaondoa stress ila pia Kuna watu wamejibu vizuri.
Vyote vinavyosaidia kubadilisha mtu kwenye uelekeo positiveVizuri ni vile unavyopenda kuvisikia? Au ahata kile usichokipenda?
Ulivyo zuzu umeshindwa kumchana unajiresi kutuambia sisi.Nimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.
Kazi kulalamika apelekewe maji bafuni kwenye ndoo badali ajenge maji yatiririke kutoka juu au aoge amelala!
Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto anaonizalisha wataenda wapi akifa. Vitambi na kulipa kodi sio maendeleo.
N.b: Nimedit. Ila wenye hivyo vitabia acheni mpo humo humo msinitolee mapovu! Unaoa mwembamba kama fimbo halafu mnakuja kurelax na kusahau ahadi zote!
It is not up to you to decide my fateNi haki mwanaume mwenzetu ajijali yeye tu,
No future in your brain.
Change your husband dear.It is not up to you to decide my fate
Mimi nimependa hapo kwenye paragraph ya tatu. Mke anajua jamaa atakufa kabla yake, kama kawaida wanaume ndio wa kwanza kurudisha namba.Nimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.
Kazi kulalamika apelekewe maji bafuni kwenye ndoo badali ajenge maji yatiririke kutoka juu au aoge amelala!
Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto anaonizalisha wataenda wapi akifa. Vitambi na kulipa kodi sio maendeleo.
N.b: Nimedit. Ila wenye hivyo vitabia acheni mpo humo humo msinitolee mapovu! Unaoa mwembamba kama fimbo halafu mnakuja kurelax na kusahau ahadi zote!
aisee tumekuwa nyumbu tena na sio mbwaWatakuponda mawe lakini bora umewaambia hawa nyumbu
Kabisa, ila tunawakumbusha tu, nyumbu anavutwa na nyumbu mwenzake, sumaku inavuta vitu vyenye asili yake, sumaku hauwezi kuvuta mbao au almasi, wanawake wanaopata wanaume wa hovyo ni kwa Sababu wao ndio wana attract wanaume wa hovyo na kuruhusu kuwa na mahusiano nao. Kwa lugha ya mtaani kimahusiano wanaitwa " bum magnet"Watakuponda mawe lakini bora umewaambia hawa nyumbu