Magdalene_joseph
JF-Expert Member
- Jun 26, 2023
- 231
- 617
- Thread starter
- #381
We nae jau tu Kwa hiyo nizae Kila mwaka mi sungura?Sasa utampangia mume pa kumwagia, au ujitie vitanzi au nunua kabisa box la p2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We nae jau tu Kwa hiyo nizae Kila mwaka mi sungura?Sasa utampangia mume pa kumwagia, au ujitie vitanzi au nunua kabisa box la p2
Wapi nimemuombea kifoUnamuombea kifo mmeo,atakufa tuu utabaki na wanao.
anakuja amelewa kila siku??? vipi huwa anahongaa na kununua malayaaaa???Yaani uhakika wa kulipa kodi na kula ndo basi wakati unaona kabisa ziada inachezewa
Umesema akifa,ukifa wewe he?Wapi nimemuombea kifo
Mara Kwa mara kalewa sio Kila siku. Kununua wanawake sina ushahidi; ila unamuona mtu ana milioni hata tatu mnakula mpaka zinaishaanakuja amelewa kila siku??? vipi huwa anahongaa na kununua malayaaaa???
Una lalamika Sana huku mitandaoni,je kwa mumeo unamlalamikiaje?.Tulia unazuia maendeleo ya mmeo.Mara Kwa mara kalewa sio Kila siku. Kununua wanawake sina ushahidi; ila unamuona mtu ana milioni hata tatu mnakula mpaka zinaisha
Hakuna anayekushambulia ila approach uliyokuja nayo ya kuona wanaume wote ni kama mume wako ndipo ulipo wakwaza wanaJamii, kingine wewe binafsi hujaonekana kuonesha jitihada zozote katika kumfanyia wepesi mume wako kuyatekeleza yale unayoyatamani katika familia yenu , umekuwa mtu wa kulaumu tu jambo ambalo haliwezi kubadili kitu pasipo kuchukua hatua.Na Kila siku kunishawishi nio
Wakati huo hata jf naijua basi, kushinda home na watoto kumenifanya niijue jf huwa nasoma tu Jana nimeona nifungue AC Cha ajabu mnanishambulia kama mwizi
ukimwambie mkanunue kiwanja anasemaje??? wew kuwa mkali mwambie akupe ushikeee..Mara Kwa mara kalewa sio Kila siku. Kununua wanawake sina ushahidi; ila unamuona mtu ana milioni hata tatu mnakula mpaka zinaisha
AsanteUna lalamika Sana huku mitandaoni,je kwa mumeo unamlalamikiaje?.Tulia unazuia maendeleo ya mmeo.
Anataka kiwanja mjini wakati kibaha huko viwanja vimejaa; anasubiri apate milioni 30 Sasa sijui Kwa mara Moja anaipata wapiukimwambie mkanunue kiwanja anasemaje??? wew kuwa mkali mwambie akupe ushikeee..
duuh msala sanaa mpeleke mpijii majoheeee uko mkajengeee... MWANAUME NI KICHWA ILA MWANAMKE NI NGUZO.. komaa mpe akili atafanyaa usiwe unalaumu tuuu mambo ya hela mwanaume kucontrol hela ni ngumu.Anataka kiwanja mjini wakati kibaha huko viwanja vimejaa; anasubiri apate milioni 30 Sasa sijui Kwa mara Moja anaipata wapi
Asante mpiji ni bei rahisi, maana yeye viwanja ndo mtaalam wakati hana hata kimoja, Kila siku kuongelea goba na madale.duuh msala sanaa mpeleke mpijii majoheeee uko mkajengeee... MWANAUME NI KICHWA ILA MWANAMKE NI NGUZO.. komaa mpe akili atafanyaa usiwe unalaumu tuuu mambo ya hela mwanaume kucontrol hela ni ngumu.
Kwa stage huyu brother yupo akubali tu kujenga hicho kibanda cha hovyo lakini wakati wa kusema ajenge nyumba ya ndoto zake haupo tena (though hatuujui uwezo wake so tusimsemee)Namaanisha kujenga kwa kujibana sana hakufai maana utaishia kuteseka na kujenga kibanda cha hovyo.
Watanzania wengi asilimia 90 wanaishi stooKwa stage huyu brother yupo akubali tu kujenga hicho kibanda cha hovyo lakini wakati wa kusema ajenge nyumba ya ndoto zake haupo tena (though hatuujui uwezo wake so tusimsemee)
Asante sana, yaani yeye anawaza tu watotoPole mamy inauma ila usiongeze watoto kama mtu unaona hajitambui,na kingine wewe unaweza kupambana kivyako maana ushamjua boy wako
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Sidhani kama Ni swala la kumkomoa yeyote yule ... After all watoto wanne wanatosha sana ...Asipoongeza anamkomoa nani,au anamzalia nani?
This makes a lot of sense unfortunately just for very few women 😴🤪Maana yake mwanamke kama chake n chake c cha familia haina maana kufanya kaz yan atoke asbh arud usku kama mimi halafu mshahara akpata n wake bnafsi over my dead body atachagua moja kaz au ndoa kwsha.
Mpaka atune akili ajue atapata vipi pesa na pia achague kufanya matumizi sahihi.Kuniendekeza kulikopitiliza