Cr wa familia
JF-Expert Member
- Jun 18, 2023
- 1,064
- 1,442
Kulingana na plan zake ashaona mmewe atatangulia huwez sikia anasema siku tukitoweka duniani watoto wataishije anaanza na mme wake kwanzaWewe umefanya nini? Na kwanini uone wanaume ndio tutakufa kwanza?
HIzo ni baadhi ya sifaMnaota
Ha haaa nakujaWamepandksha bei ya cement. Wee kesho njoo unywe bia alafu tugegedane tuu naona wenye nchi hawataki nijenge
Unasemaje uliharibiwa maisha na wewe haukuharibu ya kwake? Kweni ulikua na faili Milembe kwamba ulifanya jambo pasipo kujua?Nilikuwa nae nikiwa na miaka 21. Ulitegemea nipate division one? Mbona form four nilipata division two. Aliniharibia maisha Sasa ajenge nyumba roho yangu itulie
Picha haioneshi.
Hahaaaa nimeyaona.....mbona mazuri kama ya Ben Paul
HaswaaaHahaaaa nimeyaona.....mbona mazuri kama ya Ben Paul
Hivi mtoto wa form five anaelewa Nini? Alikua senior si angesubiri nimalize chuo?Unasemaje uliharibiwa maisha na wewe haukuharibu ya kwake? Kweni ulikua na faili Milembe kwamba ulifanya jambo pasipo kujua?
Maji yashamwagika unasubiri nini hapo? Inuka simama pambana kama mwanamke mwisho wa siku utafika tu. Huyo atakulostisha na atakumaliza kabisaHivi mtoto wa form five anaelewa Nini? Alikua senior si angesubiri nimalize chuo?
Ungekua huelewi chochote usingefika hapo form five aisee, acha visingizio, mi natambua kweli wako watu hujiingiza kwenye mahusiano na mmoja kati yao mambo huharibika au hushindwana na kuishia kujuta, yako mawili kujuta au kufurahia, kama angekua sawa kimaisha na akakubeba ktk maisha yako ndo ungekuja na mada ya kumsifia? Kiufupi sioni hoja yako ya msingi hapa zaidi ya wewe kujipiga kifua na kusonga mbele, form five ulikua tayari unajua nini faida ya shule bhanaHivi mtoto wa form five anaelewa Nini? Alikua senior si angesubiri nimalize chuo?
Naijua ndio ila PCB haikutaka ujinga niliokua nafanya plus hela za hapa na pale. All in all ananipenda kosa lake ni hilo la matumizi ya pesa bila mpangilioUngekua huelewi chochote usingefika hapo form five aisee, acha visingizio, mi natambua kweli wako watu hujiingiza kwenye mahusiano na mmoja kati yao mambo huharibika au hushindwana na kuishia kujuta, yako mawili kujuta au kufurahia, kama angekua sawa kimaisha na akakubeba ktk maisha yako ndo ungekuja na mada ya kumsifia? Kiufupi sioni hoja yako ya msingi hapa zaidi ya wewe kujipiga kifua na kusonga mbele, form five ulikua tayari unajua nini faida ya shule bhana
HahahaDuniani tunapita weunataka tujenge njiani ili iweje
Hahahahaahah in most cases ni kweli"Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto anaonizalisha wataenda wapi akifa. Vitambi na kulipa kodi sio maendeleo." Wanawake wote ua wanaamini mwanaume ndo ua anaanza kufa
Wapo wanaofanya na still wanapasua! Sema tu wewe mwenyewe ni kiazi mbatataNilikuwa nae nikiwa na miaka 21. Ulitegemea nipate division one? Mbona form four nilipata division two. Aliniharibia maisha Sasa ajenge nyumba roho yangu itulie
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
SawaWapo wanaofanya na still wanapasua! Sema tu wewe mwenyewe ni kiazi mbatata
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app