Badala ya ku deal na zuzu lako, umekuja kutushambulia jf. Unatujua sisi ni akina Nani? Una uhakika sisi ni wapumbavu Kama mumeo? Acha kutujumuisha
Kama ana hawara hadi ukamjua wewe ndo mwenye matatizo. Amekushtukia kashaona unatamani kuwa mama mwenye nyumbaNimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika!
Kazi kulalamika mpelekewe maji bafuni kwenye ndoo hebu jengeni maji yatiririke kutoka juu au muoge mmelala! Kutwa pombe na mahawara , swaini nyie. Hawa watoto mnaotuzalisha wataenda wapi mkifa! Hebu badilikeni vitambi na kulipa Kodi sio maendeleo
anha,, basi sawa ๐๐คMi nilikuwa napita tu nikakuona
Mmeo ndio shwaini; dada na wewe uliekubali kuolewa na yeye ni gendaheka yani hekaheka na karaha za bolizozo lako unatuletea sisi kwani unahisi wote tunafanana akili shenzi type kabisa.....Kazi kulalamika mpelekewe maji bafuni kwenye ndoo hebu jengeni maji yatiririke kutoka juu au muoge mmelala! Kutwa pombe na mahawara , swaini nyie.
Ameanza MwenyeweVayolensi
Niyatoe wapi watoto watatu ndani ya miaka saba na bado anamendea wa nne, nikizaa tena nipo pale, yaani anataka Kijiji kizima kwenye nyumba za kupanga!Umeongea kwa hisia sana shogare
Vipi we una maendeleo yoyote?
Aah havinihusu๐๐
Ila pole
Taratibu jamani msimkaripie sasa๐๐๐Mmeo ndio shwaini; dada na wewe uliekubali kuolewa na yeye ni gendaheka yani hekaheka na karaha za bolizozo lako unatuletea sisi kwani unahisi wote tunafanana akili shenzi type kabisa.....
Yaani ukiacha furniture za ndani na corola yake ya zanani hatuna kitu, ila bia na nyama hakosiMiaka saba hamna maendeleo
Aiseeee nimecheka sana ๐ ๐ ๐Umeongea kwa hisia sana shogare
Vipi we una maendeleo yoyote?
Aah havinihusu๐๐
Ila pole
Sijasema mtakufa kwanza hata tukifa pamoja watoto inakuajeWewe umefanya nini? Na kwanini uone wanaume ndio tutakufa kwanza?
Hawajielewi kazi kuzalisha kama majogooWatakuponda mawe lakini bora umewaambia hawa nyumbu
Huyo mwanamama anataka kuharibu hali ya hewa...Akili zake ni za hovyo yani ameshindwa kumuongoza mmeo vyema anakuja kutoa povu huku aargh!Taratibu jamani msimkaripie sasa๐๐๐
Bora hata nimepunguza hasira maana Kila nikimpanga tujenge anadai kizuri hakitaki harakaAsa Mumeo atasikiaje umekuja kumchamba huku JF ,kazi kwelikweli !