makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Mungu amjaalie afike safari yake salama salmin
apakate mwanae shangazi nije kumfinya vishavu vyakeππ
mimi wangu naona atazimia mana ni muoga wa hizo habari vibaya sana
I think it can be a traumatizing experience...nahisi nawaelewa
Labda mtu ajiandae kiakili, tukiwa mwezini tu tunaficha yani si kitu unamuonyesha Mr waziii kbs
Anajua tu una hali hiyo, unabadilisha basi
Salama alhamdulillah zimefikaShemeji habari ya siku nyingi
Mpe salamu za kutosha boss wangu
Porn industry inadhalilisha wanawake kivipi?
Itakuwa lini sasa?[emoji1751][emoji1751]Mimi wangu nilishampa taarifa mapema kabisa kuwa nataka awe karibu yangu wakati najifungua
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aah! Kwangu hapana aisee.
Atakaa nje nikimaliza ataingia.
Kwanini mkuu Ili iwejeNi mwezi uliopita tu nilikuwa naangalia Vlog ya Wajesus during natural birth ya 2nd born wao...
Uwueeeeh!!!!.. Nilitamani kila Mwanamke angekuwa anaingia na Mwenzi wake Labor Room.
Hahahaaa. Wifi yangu ana akili sana. π[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndio maana wifi yako huwa nikimuuliza alihadithie jinsi alivyopambana kule labour huwa hataki kunisimulia.
Sasa aombe nisiipate hiyo nafasi next time, la sivyo sitamsumbua anihadithie tena
πππππHahahaaa. Wifi yangu ana akili sana. π
Samahani lakini mdogo wangu sasa hapo lengo linakuwa nini mpaka utamani kuingia humo sasa na wewe?
Kama Mtoto si anatoka naye. π€£π€£
Wewe unapotea sanaHv why hupiti piti mitaa ile?
Lol.πππππ
Mali ni yangu, kwanini nikatazwe, tukishaungana tunakuwa mwili mmoja, hakuna kufichana tena. Sasa kwanini tufichane hili? Halafu kwa wanaume wasio mume iwe sahihi hata kama wanatoa huduma?
Najua hawa wanaume(Wakunga, Manesi, Madaktari) wanakutana na mengi ambayo miiko ya kazi imewakaza vifua na hawawezi kuvujisha wanayokutana nayo huko, Mume na Mke pia ni watu ambao kamwe hawawezi kuvujisha madhaifu yao, tupewe nafasi na sisi tupate kujifunza na kupata uzoefu ili tuweze kuimarisha somo tutakalolipata ambalo tunaambia Huruma, Upendo, Heshima vitaimarika na kuongezeka.
Halafu hili jambo ni dakika chache tu sio kama kuuguza tena mgonjwa awe ni mwenye kuhitaji msaada wa kila kitu, huku mbona sioni wanaume waseme wanaogopaππ
NB: Nasimama na Mama(Prezidaa)ππππ
Hapana haiingilii miiko ya taaluma ya uuguziHilo nadhani liko kinyume na miiko ya taaluma ya Uuguzi.
Uzuri haya maamuzi ya kuingia huko yana baraka kutoka juu, maamuzi yenu hayatasaidia, na jinsi mnavyokuwaga kwenye hali ya kutaka msaada wa haraka kutokana na maumivu mbona itakuwa rahisi mimi kuingiaππππLol.
Nitamkalisha chini Wifi vile atakugomea hutaamini. ππ