Wanaume gani watakubali kuingia na wanawake wao kwenye chumba cha kujifungulia?

Wanaume gani watakubali kuingia na wanawake wao kwenye chumba cha kujifungulia?

Ni mwezi uliopita tu nilikuwa naangalia Vlog ya Wajesus during natural birth ya 2nd born wao...

Uwueeeeh!!!!.. Nilitamani kila Mwanamke angekuwa anaingia na Mwenzi wake Labor Room.
 
Kama kliniki nimepigiwa mpaka simu sijaenda, sembuse labour 😃😃
Naweza kwenda labour na bado nikampiga marufuku kupata contraceptives.
Uchungu na mambo kama hayo yanabaki kuwa ni sehemu ya safari ya maisha yake hakubadilishi uhalisia wake wa asili.
Ni sawa na mimi nimerudi nyumbani nimechoka hata asiponipa pole kesho asubuhi LAZIMA niache kodi ya meza
Huu ndio mtazamo wa kiume
 
Mh ila kwenda kushuhudia inataka moyo. Nakumbuka mwanangu wa kwanza nimepelekwa bugando, naingia tu pale nikakutana na mama anajifungua nilipagawa na uchungu ukaisha mpka wiki mbili mbele ndo nikaja kujifungua mpka leo ile picha ipo akilini na ni zaidi ya miaka tisa sasa sijui kwa mwanaume itakuaje
Inategemea mbona wakunga wa kiume wanaenda labour na kuzalisha
Nakumbuka kwa mara ya kaanza kwenda labour nilikaa wiki mbili kula kwa shida na kila ikifika zamu yangu kwenda nilikuwa natafutwa mpaka nikazoea na wanaume akienda mara ya kwanza na ya pili atazoea mbona itakuwa kawaida

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kawaida tu, kuna pazia linapigwa wanafanya kazi yao huko ndani we umekaa kwenye stuli mtoto akitoka baada ya kumsalimia mama unapewa wewe ukamswafi nya mwilini na shaawa. Kwa mwongozo wa nesi then basi.mtoto anarudi kwa mama imeisha hiyo
 
Kutiana moyo sio lazima uwe naye karibu wakati wa kujifungua, vitu vingine tusiige wazungu jamani, hii inaweza kuwa na athari kubwa sana kiakili, haina tofauti na kumwangalia mwanamke huko akiwa kwenye siku zake, hii inaweza kukuvuruga sana ukapoteza muelekeo. Vitu vingine sisi wanaume hatupaswi kutizama isipokuwa tu vinapokuwa kwenye hali nzuri......
Vip wale manes wa kiume wanao zalisha??
 
ooh pole, ndio ukashindwa kumuongezea mwenzie.... Mungu ni mwema ongeza mwingine [emoji2]
Siwezi Anko,sipo tayari kumpoteza rafiki yangu kisa mtoto.
Ukitaka mwanaume afunge kwa lazima uzazi basi ahudhurie sehemu ya kujifungulia mwenzi wake.
Sishauri kabisa wanaume washuhudie mke akijifungua. Huruma inayo kuja pale nasema haki ya Mungu hauwezi kumtendea mabaya mke wako. Kama mwanaume anataka ampende mke wake, basi, ashuhudie anavyo jifungua.
 
Siwezi Anko,sipo tayari kumpoteza rafiki yangu kisa mtoto.
Ukitaka mwanaume afunge kwa lazima uzazi basi ahudhurie sehemu ya kujifungulia mwenzi wake.
Sishauri kabisa wanaume washuhudie mke akijifungua. Huruma inayo kuja pale nasema haki ya Mungu hauwezi kumtendea mabaya mke wako. Kama mwanaume anataka ampende mke wake, basi, ashuhudie anavyo jifungua.
Mkeo ana raha....mpe hongera zake 😃
 
Agizo na pendekezo lifuatalo ni wanaume wote nao waanze kubeba ujauzito [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Lakini kuna point nyingine nimewahi kuisikia kwenye dini ya ndugu zangu kuwa mume hupaswi kuutazama utupu wa mke wako😀😀
Mkuu fafanua kidogo hapa. Dini gani hiyo inayokataza Mume kutazama tupu ya mkewe? Kama uliambiwa ni Dini ya Uislam, basi aliyekuambia kakosea.
 
Uliyeandika huu uzi ni mwanaume au mwanamke?

Kama ni mwanaume, unakuaje muoga muoga hivyo!!
I think it can be a traumatizing experience...nahisi nawaelewa

Labda mtu ajiandae kiakili, tukiwa mwezini tu tunaficha yani si kitu unamuonyesha Mr waziii kbs
Anajua tu una hali hiyo, unabadilisha basi
 
Mh ila kwenda kushuhudia inataka moyo. Nakumbuka mwanangu wa kwanza nimepelekwa bugando, naingia tu pale nikakutana na mama anajifungua nilipagawa na uchungu ukaisha mpka wiki mbili mbele ndo nikaja kujifungua mpka leo ile picha ipo akilini na ni zaidi ya miaka tisa sasa sijui kwa mwanaume itakuaje
Kwa kweli nawaelewa

Yaweza kuwa stressful

Mtu asubirie feedback ya wakunga baas
 
Shukrani saana ndugu yaangu, dua zako zikubaliwe,
Ubarikiwe saana mkuu.

Nisingekutonya dua hizi ningezipata saa ngapi🔥
Mungu amjaalie afike safari yake salama salmin

apakate mwanae shangazi nije kumfinya vishavu vyake😃😃

mimi wangu naona atazimia mana ni muoga wa hizo habari vibaya sana
 
Mungu amjaalie afike safari yake salama salmin

apakate mwanae shangazi nije kumfinya vishavu vyake[emoji2][emoji2]

mimi wangu naona atazimia mana ni muoga wa hizo habari vibaya sana
Shemeji habari ya siku nyingi

Mpe salamu za kutosha boss wangu
 
Back
Top Bottom