Wanaume gani watakubali kuingia na wanawake wao kwenye chumba cha kujifungulia?

Wanaume gani watakubali kuingia na wanawake wao kwenye chumba cha kujifungulia?

Uliyeandika huu uzi ni mwanaume au mwanamke?

Kama ni mwanaume, unakuaje muoga muoga hivyo!!
 
Raha ya JF ni kwamba tunashare idea na Baba,Mama,SHANGAZI na viongozi wetu bila hata kujua wala kuhofia na tunawatania Vzuuur tu.
 
Shukrani saana ndugu yaangu, dua zako zikubaliwe,
Ubarikiwe saana mkuu.

Nisingekutonya dua hizi ningezipata saa ngapi[emoji91]
Amin, Na ndo maana tunawasih msiwe wasili kama Uncle, Utaskia tu nmepata mtoto wa kiume. Tutataka kujua umempatapataje. Dua nene.
 
Sishauri wanaume waingie labour room mke wake anapojifungua. Inabidi muwe mnawaombea zaidi mke na mtoto muda huo, maana ni kipindi kigumu sana muda ule.

Pia majukumu yenu myafanye kwa ufanisi sana hasa malezi ya watoto na familia kwa ujumla maana nyie ni vichwa vya ffam
Uliyeandika huu uzi ni mwanaume au mwanamke?

Kama ni mwanaume, unakuaje muoga muoga hivyo!!
Jamaa unanionea 😀😀 mimi sijaonyesha uoga ni mtazamo wangu,siunaona trends za wachangiaji zinavyokatika?Yes na No za kutosha na ushauri wa aina mbalimbali tunapata.
 
Sishauri wanaume waingie labour room mke wake anapojifungua. Inabidi muwe mnawaombea zaidi mke na mtoto muda huo, maana ni kipindi kigumu sana muda ule.

Pia majukumu yenu myafanye kwa ufanisi sana hasa malezi ya watoto na familia kwa ujumla maana nyie ni vichwa vya familia.
Dada unaushauri mzuri sana pale mwisho ulivyomalizia,nahisi wewe ni mke bora kwa mume wako kama huna Mungu akujalie nakuombea.
 
Sh
Mimi ni wa kwanza, nitaingia nikiipata hiyo nafasi

Wakunga wa kiume wanazalisha na hawaogopi, iweje wewe mwanaume uogope.

Vijijini mbona wanaume huitwa pindi mke anapotaka kujifungua ili wakatoe msaada, mara nyingine unakuta mwanaume pekee anamsaidia mke wake kujifungua japo inaweza kuwa ni sababu ya kukosa msaada kutoka kwa wengine.

Hii kitu kama vipi itungiwe sheria iwe ni lazima tuwe tunawashuhudia wake zetu wakiwa wanajifungua[emoji1751][emoji1751][emoji1751][emoji125][emoji125][emoji125]
Sheria bro?😀😀😀 watu watalala juu ya miti.
 
Mi mniuwe siendi, yani ni shuhudie kile kichwa kinapotoka aise naweza poteza hisia.
[emoji23][emoji23]Sasa wee si ndo mhusika si mnasemaga hebu tujazie jazie miguu ya mtoto[emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23]Sasa wee si ndo mhusika si mnasemaga hebu tujazie jazie miguu ya mtoto[emoji1787][emoji1787]
Hapo ndo siku unashuhudia mdogo wqko anazaliwa Maana wewe ni 1st born.
 
Nipo nahesabu watakao ingia labour na wake zao Hadi Sasa wamefika 50 mwitikio mzuri
 
Jana niliulizwa swali hili na mke mtarajiwa, nikamjibu kuwa SITAWEZA.

Akauliza “Kwanini?” Nikamueleza kuwa ‘Nachelea nikikuona labor nitapoteza hamu ya kushiriki tendo nawe’.

Kimsingi ninaamini kuwa utamu wa penzi (kujamiiana) unaenda sawa na saikolojia, yani vile unavyomchukulia mtu unaeshiriki nae. Na Penzi huwa tamu zaidi pale unapokuwa hujui hasa cha kutegemea (being not familiar, not knowing it to the T). Hii inaeleweka vyema kabisa wakati wa penzi jipya.

Mbali na kuwa nitakuwa namjua mke ila bado sitakuwa naijua hasa tabia ya Uke wake mpaka nitakapoingia huko ‘Labor’.

Binafsi sitaingia kwa kuchelea nitapoteza hamu na mke wangu jambo litaloweza hatarisha ndoa yangu na ustawi wa mtoto wetu.
Mkuu, you spoke my mind.
Sometimes we are better-off not knowing some stuffs.
Labor inakuja na vitu vingi ambavyo ni embarrassing.
Imagine seeing mke wako anajinyea, anachanika, anatukana etc..
Utaendelea kuwa na sexual desire ileile kwake??? Maybe or maybe not..
Kitu ambacho nakubaliana nacho ni kuingia naye Theater kwa ajili ya C/S
 
Back
Top Bottom