Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GoodSioni tabu, wangu naweza kumsindikiza Leba pasina tabu, mimi sio ambae nitakuwa namzalisha ila mimi nitakuwa huku juu nikimpa maneno ya morali na kumpa moyo.
Safiiii[emoji23][emoji23][emoji23]Mimi ni wa kwanza, nitaingia nikiipata hiyo nafasi
Wakunga wa kiume wanazalisha na hawaogopi, iweje wewe mwanaume uogope.
Vijijini mbona wanaume huitwa pindi mke anapotaka kujifungua ili wakatoe msaada, mara nyingine unakuta mwanaume pekee anamsaidia mke wake kujifungua japo inaweza kuwa ni sababu ya kukosa msaada kutoka kwa wengine.
Hii kitu kama vipi itungiwe sheria iwe ni lazima tuwe tunawashuhudia wake zetu wakiwa wanajifungua[emoji1751][emoji1751][emoji1751][emoji125][emoji125][emoji125]
Daaah ushampga uyo Dada, Ngoja aipate mimba ndo ataisoma kumbukumbu la waongo 8;10Sioni tabu, wangu naweza kumsindikiza Leba pasina tabu, mimi sio ambae nitakuwa namzalisha ila mimi nitakuwa huku juu nikimpa maneno ya morali na kumpa moyo.
Porn industry inadhalilisha wanawake kivipi?🤣🤣🤣🤣 Wanafanya hivyo ulaya lakini wao ndio nambari moja kutoheshimu wanawake, wee cheki porn industry tuu
[emoji849][emoji849][emoji849] We mama umeniogopesha, Kwema kwel?Porn industry inadhalilisha wanawake kivipi?
Kama kliniki nimepigiwa mpaka simu sijaenda, sembuse labour [emoji2][emoji2]
Naweza kwenda labour na bado nikampiga marufuku kupata contraceptives.
Uchungu na mambo kama hayo yanabaki kuwa ni sehemu ya safari ya maisha yake hakubadilishi uhalisia wake wa asili.
Ni sawa na mimi nimerudi nyumbani nimechoka hata asiponipa pole kesho asubuhi LAZIMA niache kodi ya meza
Si kama hivyo inavyoonekana kwenye porn ama wee unaonaje?Porn industry inadhalilisha wanawake kivipi?
Nipe jibu kwanza, unaogopa nini? Iweje muone mwanamke anadhalilishwa wakati hayo yanayofanywa kwa wanawake na wanaume wamo? Je hao hawadhalilishwi?[emoji849][emoji849][emoji849] We mama umeniogopesha, Kwema kwel?
Atakuitikia ndio ila siku ikifika atachomoka tu na huo uchungu wala hutowaza yuko wapiMimi wangu nilishampa taarifa mapema kabisa kuwa nataka awe karibu yangu wakati najifungua
Unaona kwa wanawake tu hujaona wanaume huko kwenye porn wakifanyiwa hicho hicho wanachofanyiwa wanawake? Hujawahi ona mwanaume akipigwa miti?Sii kama hivyo inavyoonekana kwenye porn ama wee unaonaje?
Ila kweli usemalo...maana dah ata wanaume wanapigwa miti 🤣🤣🤣🤣Unaona kwa wanawake tu hujaona wanaume huko kwenye porn wakifanyiwa hicho hicho wanachofanyiwa wanawake? Hujawahi ona mwanaume akipigwa miti?
Halafu sijaelewa kwanini iwe ni udhalilishaji, nani kadhalilishwa?
Unadhani au ndivyo ilivyo? Pale aga khan na hospitali nyingine duniani wanaenda kinyume na miiko ya uuguzi?Hilo nadhani liko kinyume na miiko ya taaluma ya Uuguzi.
Lakini kuna point nyingine nimewahi kuisikia kwenye dini ya ndugu zangu kuwa mume hupaswi kuutazama utupu wa mke wako😀