Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Tangu lini kupigwa miti kwa raha zako na kwa akili zako ikawa ni udhalilishaji?Ila kweli usemalo...maana dah ata wanaume wanapigwa miti 🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangu lini kupigwa miti kwa raha zako na kwa akili zako ikawa ni udhalilishaji?Ila kweli usemalo...maana dah ata wanaume wanapigwa miti 🤣🤣🤣🤣
Sasa wale wanafanya kwa raha zao au kutafuta pesa....kwa wale wanaofanya kwa raha zao kweli full burudaniTangu lini kupigwa miti kwa raha zako na kwa akili zako ikawa ni udhalilishaji?
Wanatafuta pesa kwa namna waliyoichagua hawajalazimishwa na ni watu wazima ndio maana hawa human rights activists hawajawahi kuwateteaSasa wale wanafanya kwa raha zao au kutafuta pesa....kwa wale wanaofanya kwa raha zao kweli full burudani
Ukisoma tena, utanielewa..Daaah ushampga uyo Dada, Ngoja aipate mimba ndo ataisoma kumbukumbu la waongo 8;10
Tatzo unaamini katika 50/50 ukishindana matendo na Mwanaume hutoolewa Kamwe, Komaa utapata jibu.Nipe jibu kwanza, unaogopa nini? Iweje muone mwanamke anadhalilishwa wakati hayo yanayofanywa kwa wanawake na wanaume wamo? Je hao hawadhalilishwi?
Na iweje muone ni udhalilishaji wakati mtu kataka mwenyewe kwa akili zake? Nieleweshe
Njoo tucheze afu tupost uone kama tutatoka Dro maana huoni ajabu wewe[emoji849]Unaona kwa wanawake tu hujaona wanaume huko kwenye porn wakifanyiwa hicho hicho wanachofanyiwa wanawake? Hujawahi ona mwanaume akipigwa miti?
Halafu sijaelewa kwanini iwe ni udhalilishaji, nani kadhalilishwa?
Ila Mademu mna matatzo sana, Kwahyo asipokuepo mjuba huzai au utamzaa Yesu akiwepo? Ndo maana mnanyongo watoto siku hizi..Unadhani au ndivyo ilivyo? Pale aga khan na hospitali nyingine duniani wanaenda kinyume na miiko ya uuguzi?
50/50 inatoka wapi? Mimi sipo huko.Tatzo unaamini katika 50/50 ukishindana ma tendo na Mwanaume hutoolewa Kamwe, Komaa utapata jibu.
Hatimaye nimefanikisha, mpaka umenitonya uhalisia wa mambo nje ya jf.Ukisoma tena, utanielewa..
Nikupe za chini ya kapeti, mke wangu kwa sasa ni mjamzito, panapo majaaliwa akifika muda wa kujifungua salama, na nikapata nafasi ya kuingia nae leba, nitaingia pasina kusita,
tushazungumza mara nyingi hili, japo yeye huwa anahisi ni utani, japo pia huwa tunaongea kimasihara zaidi.
Anayecheza means ametaka kuonekana kwa matakwa yake haiwezi kuwa udhalilishaji.Njoo tucheze afu tupost uone kama tutatoka Dro maana huoni ajabu wewe[emoji849]
Woooow, Kumbe apo unatetea ile siku ya Labour usiwe mnyonge.50/50 inatoka wapi? Mimi sipo huko.
Yaani uniambie kuwa kuwa wanawake kwenye porn wanadhalilishwa lakini wale wanaume wanaowafanyia wenzo blowjob na kupigwa miti kisawasawa ni marijali? You are not serios.
Na inakuaje ni udhalilishaji?
Nimeolewa 18 yrs now na sioni dalili ya kuachika.
Madam tuna waheshimu sana wanawake.Itakuwa vizuri ili muheshimu wanawake
[emoji24][emoji24][emoji24] Allah nijaalie nisipate Mke wala binti kama Demi ataniharbia ukoo[emoji22]Anayecheza means ametaka kuonekana kwa matakwa yake haiwezi kuwa udhalilishaji.
Udhalilishaji ni kama mtu amepostiwa bila idhini yake. Sasa watu waamue kujirekodi kwa lengo la kujipatia pesa na kuifurahisha dunia useme amedhalilishwa. How?
Nije chini kivipi? Unafeel nipo juu yako?Woooow, Kumbe apo unatetea ile siku ya ? Labour usiwe mnyonge.
Kwanza hongera pia come down (ukuje chini) achana na hawa wanawake wa kisasa utakuja kunikumbuka siku ukiachika.
Amen🙏🙏[emoji24][emoji24][emoji24] Allah nijaalie nisipate Mke wala binti kama Demi ataniharbia ukoo[emoji22]
Shukrani saana ndugu yaangu, dua zako zikubaliwe,Hatimaye nimefanikisha, mpaka umenitonya uhalisia wa mambo nje ya jf.
Hongera sana nakuombea Upate Mwana mtulivu akuwe your Right helping hand.
Dah!...Jana niliulizwa swali hili na mke mtarajiwa, nikamjibu kuwa SITAWEZA.
Akauliza “Kwanini?” Nikamueleza kuwa ‘Nachelea nikikuona labor nitapoteza hamu ya kushiriki tendo nawe’.
Kimsingi ninaamini kuwa utamu wa penzi (kujamiiana) unaenda sawa na saikolojia, yani vile unavyomchukulia mtu unaeshiriki nae. Na Penzi huwa tamu zaidi pale unapokuwa hujui hasa cha kutegemea (being not familiar, not knowing it to the T). Hii inaeleweka vyema kabisa wakati wa penzi jipya.
Mbali na kuwa nitakuwa namjua mke ila bado sitakuwa naijua hasa tabia ya Uke wake mpaka nitakapoingia huko ‘Labor’.
Binafsi sitaingia kwa kuchelea nitapoteza hamu na mke wangu jambo litaloweza hatarisha ndoa yangu na ustawi wa mtoto wetu.
Hadi sijaachika hadi sasa ujue kaka yako kazikubali swaga zangu, wakati ananioa alijua nipo hiviutakuja kunikumbuka siku ukiachika.
Mkuu sina hakika na hilo!Unadhani au ndivyo ilivyo? Pale aga khan na hospitali nyingine duniani wanaenda kinyume na miiko ya uuguzi?