Wanaume hii ni sawa?

Sijamzoea mkuu ,nimeahangaa sana
Wanawake wa aina yako mmebaki wachache sana,sikuhizi hakuna kuzoeana,kuchunguzana,kujuana n.k.mapenzi hayapo tena ,ni kutamaniana tu,sijui watu wako busy sana wanaona wanapoteza muda!mambo hayo ya kutaka kufahamiana yalikuwepo enzi za mwalimu...
 
So me nikikuita tupige story pale Azure utachukulia hivyo? Kwamba kila anaekuita anataka ku do? What if it's business issues nmeona kwako itakua simple wote kutoboa? [emoji16]
Point yangu ni kwamba ,hatufahamiani, then uniite kwako nyumbani, hiyo ni sawa? Itakuwa kashaita wanagapi kwenye magroup aliyopo?
 
Point yangu ni kwamba ,hatufahamiani, then uniite kwako nyumbani, hiyo ni sawa? Itakuwa kashaita wanagapi kwenye magroup aliyopo?
Nenda ukaongeze cv
Wenzako wana 20+

Kwani akikukula shida iko wapi
 
Wanawake wa aina yako mmebaki wachache sana,sikuhizi hakuna kuzoeana,kuchunguzana,kujuana n.k.mapenzi hayapo tena ,ni kutamaniana tu,sijui watu wako busy sana wanaona wanapoteza muda!mambo hayo ya kutaka kufahamiana yalikuwepo enzi za mwalimu...
Kabisaa mkuu, inashangaza saana
 
Daaah , jamaa kakosea kidogo saana aisee
 
Pole kwa hiloooooo, japo n matukio ya kawaida sana.
Then huyo mtu ako na kiburi cha fedha thats why anajua kivyovyote vile opposing power ya mwanamke mpenda ela n ndogo sana and sometymz negligible....

Hapo n ww tu kufanya maamuz. Kuliwa kimasihara or kuzikataa pesa.

Goodluck
 
Point yangu ni kwamba ,hatufahamiani, then uniite kwako nyumbani, hiyo ni sawa? Itakuwa kashaita wanagapi kwenye magroup aliyopo?
Sema jamaa mstaarabu sana, ingekua mimi ningesubiri siku ya hicho kikao tuondoke wote. Ndo nishakupenda tunajadili nini? Mapenzi yanatupotezea muda sana.
 
Anaonekana yuko na Speed ya kiwango cha Lami 🤣 🤣 🤣 🤣
 
vile anavichati mtoa analika kirahisi lugha kiashiria tosha kabsa
 
vile anavichati mtoa analika kirahisi lugha kiashiria tosha kabsa
 
Hata hivo huyo ni mstaarabu ....sisi wengine hamna hata salamu unaenda direct " naomba nikuto......b." na anakubali.
 
Hakuna formula maalumu ya mahusiano,unamchukulia jamaa kama bogus lakini inawezekana ni mtu poa na anayeweza kukufaa kuliko huyo ulie nae kwa sasa.
Msikilize,kuliwa au kutoliwa ni maamuzi yako
 
Sometimes lengo ni moja tu mtu kuliwa no mata njia gan inatumika
 
Sasa si ndo anataka mjuwane? Bila kuonana mtajuwana vipi wanawake mnanishangazaga hapo tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…