Wanaume: Hivi hizi nywele za makalio hunyolewa?

Wanaume: Hivi hizi nywele za makalio hunyolewa?

Zinanyolewa kama kama, ukiwashwa unapaka poda....... vijana wanaowaza ushoga wao ndiyo wanapenda huo mchezo. Yaani sitaki nataka.
Usafi sehemu zote za mwili ni muhimu uwe Me au Ke....
Haswaaaaah!!! Usafi ni muhimu.
 
Najua dm kwako kumejaa watu fulani hivi wakiwa wameomba tenda ya kukunyoa buuure kabisa kwa kifupi unaenda kupoteza masega soon as possible
 
Miaka yangu yote nimekuwa nikijiuliza sana hukusu hizi nywele sijawahi kuzinyoa ila sometime seems like zinakera ndo nauliza huwa mnazinyoa na mnazinyoaje wakuu staili gani mnakaa.

Pia kama hazitolewi tuelezane kwa wenye swali hili natumai leo tutapata majibu toka kwa baba na kaka zetu.

WANAOHUSISHA UZI HUU NA UPINDE WAAMBIE WAACHE KUWAZA UJINGA ALL THE TIME MIMI NIMEULIZA WANAUME WENZANGU NINGEKUWA NIMELEFT NINGEANZA NA KUSEMA MASHOTI ET NYWELE HUNYOLEWA MNAKUWA KAMA VIAZI VYA LUBUMBASHI KENYA
MWANAUME UNAKERWA NA NYWELE ZA KWENYE MAKALIO? 🤔🤔 HEBU NGOJA NIRUDIE KUSOMA TENA
 
Mungu baba ametupa mitihani mingi ikiwemo mtihani huu wa ngazi ya Kata
 
Unanyoa "Makata Mavi" jamaa angu. Jeshini kwenye ukaguzi wanapokagua makina wanaangalia Marinda na Makata Mavi kama yapo au la.
Kama hauna Mataka Mavi na Marinda jeshini utapasikia tuu.
 
Unanyoa "Makata Mavi" jamaa angu. Jeshini kwenye ukaguzi wanapokagua makina wanaangalia Marinda na Makata Mavi kama yapo au la.
Kama hauna Mataka Mavi na Marinda jeshini utapasikia tuu.

[emoji23][emoji23][emoji23] dah kwahiyo huko una mpanulia mwanaume mwezio? Ili aone malinda
 
Back
Top Bottom