Wanaume: Hivi hizi nywele za makalio hunyolewa?

Wanaume: Hivi hizi nywele za makalio hunyolewa?

Miaka yangu yote nimekuwa nikijiuliza sana hukusu hizi nywele sijawahi kuzinyoa ila sometime seems like zinakera ndo nauliza huwa mnazinyoa na mnazinyoaje wakuu staili gani mnakaa.

Pia kama hazitolewi tuelezane kwa wenye swali hili natumai leo tutapata majibu toka kwa baba na kaka zetu.

WANAOHUSISHA UZI HUU NA UPINDE WAAMBIE WAACHE KUWAZA UJINGA ALL THE TIME MIMI NIMEULIZA WANAUME WENZANGU NINGEKUWA NIMELEFT NINGEANZA NA KUSEMA MASHOTI ET NYWELE HUNYOLEWA MNAKUWA KAMA VIAZI VYA LUBUMBASHI KENYA
Unataka kunyoa hizo nywele ili umrahisishie nani kazi? Unataka kuzinyoa ili iweje au kuna mtu unataka kumvutia huko, mwanaume hutakiwa kunyoa hizo nywele... Na wakati wa kunyoa huwa mnakaa mikao gani?
 
images.jpeg
 
Usinyowe bana kama zimezid sana tumia maji mengi kujitwaza. Kama zinakusumbuwa basi tumia magic kama huna tumia mkasi kuziprone usinyoe zote ukijamba hata kidg ushuzi unatoka kwa sauti na zikianza upya zinakuchoma choma hautakuwa comfortable,
Ila hazinyolewi
 
Miaka yangu yote nimekuwa nikijiuliza sana hukusu hizi nywele sijawahi kuzinyoa ila sometime seems like zinakera ndo nauliza huwa mnazinyoa na mnazinyoaje wakuu staili gani mnakaa.

Pia kama hazitolewi tuelezane kwa wenye swali hili natumai leo tutapata majibu toka kwa baba na kaka zetu.

WANAOHUSISHA UZI HUU NA UPINDE WAAMBIE WAACHE KUWAZA UJINGA ALL THE TIME MIMI NIMEULIZA WANAUME WENZANGU NINGEKUWA NIMELEFT NINGEANZA NA KUSEMA MASHOTI ET NYWELE HUNYOLEWA MNAKUWA KAMA VIAZI VYA LUBUMBASHI KENYA
Maswali kama haya yana viwango vya kumuuliza mzazi hasa baba. Kama hayupo uliza nduguze.

Kuliweka hapa usije kujilaumu
 
Dah yan kuna vitu kwenye maisha sijawah kujishughlisha kuviwaza....
 
Miaka yangu yote nimekuwa nikijiuliza sana hukusu hizi nywele sijawahi kuzinyoa ila sometime seems like zinakera ndo nauliza huwa mnazinyoa na mnazinyoaje wakuu staili gani mnakaa.

Pia kama hazitolewi tuelezane kwa wenye swali hili natumai leo tutapata majibu toka kwa baba na kaka zetu.

WANAOHUSISHA UZI HUU NA UPINDE WAAMBIE WAACHE KUWAZA UJINGA ALL THE TIME MIMI NIMEULIZA WANAUME WENZANGU NINGEKUWA NIMELEFT NINGEANZA NA KUSEMA MASHOTI ET NYWELE HUNYOLEWA MNAKUWA KAMA VIAZI VYA LUBUMBASHI KENYA
Ziache tu zitakuwa ndefu kama ndevu za kalasinga.
 
Back
Top Bottom