Wanaume huvutiwa na tabasamu la mwanamke na sio mavazi

Wanaume huvutiwa na tabasamu la mwanamke na sio mavazi

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Wanaume huvutiwa na tabasamu la mwanamke na sio mavazi yake.

Hivyo hakikisha unalivaa tabasamu kama unahitaji kumvutia mwanaume yoyote umtakaye na sio kuvunja kabati, kazi bure.

1689123925213.png

 
We wadanganye tu .

Tunavutiwa na matako na sura wengine matiti mviringo yaliyokuwa na pointed nipple sio yaliolala kama ndala

Sasa we endelea kutabasamu na pasi yako nyuma
Halafu wanaume mnanishangazaga sana hapo kwenye kifua!!

Mwanamke anaweza kuwa na dodo dodo chuchu chuchuu kweli ila akishashusha tu ndio utajua hujui!! Yanalala ndala ikasome!!
Mtupendegee ivoivo nasie wake zenu wenye ndala jamani msitunyanyapae kihivo!( Mfano tu)
 
Halafu wanaume mnanishangazaga sana hapo kwenye kifua!!

Mwanamke anaweza kuwa na dodo dodo kweli ila akishashusha tu ndio utajua hujui!! Yanalala ndala ikasome!!
Mtupendegee ivoivo nasie wake zenu wenye ndala jamani msitunyanyapae kihivo!( Mfano tu)
Ondoa hofu hapo anazungumzia wale wa kununua.
MAtiti haiwezi kuwa sifa ya kudumu, yaai umuoe zimesimama hadi uzeeni?

Isitoshe amesema MLEVi Mmoja
 
Ondoa hofu hapo anazungumzia wale wa kununua.
MAtiti haiwezi kuwa sifa ya kudumu, yaai umuoe zimesimama hadi uzeeni?

Isitoshe amesema MLEVi Mmoja
Weeee kila mwanaume anapenda matiti yahivo japokua wengine wana watoto lukuki!! Yani mkewe keshanyonyeshaaa weeee mpaka nyonyo limekua tepeeee afu anapenda saa 6 nyieee!!
Mungu anawaona!
 
Weeee kila mwanaume anapenda matiti yahivo japokua wengine wana watoto lukuki!! Yani mke keshanyonyeshaaa weeee mpaka nyonyo limekua tepeeee afu anapenda saa 6 nyieee!!
Mungu anawaona!
Unakosea kutujumlisha, nyonyo saa 6 ni watoto kidato cha 4.
Ksmwe age hiyo mimi hapana
 
Back
Top Bottom