Wanaume huvutiwa na tabasamu la mwanamke na sio mavazi

Wanaume huvutiwa na tabasamu la mwanamke na sio mavazi

Yeah wengine ni nature yao pia!! Yani hata azaejee walaaa hanenepi wala hawi na kitambi!!
Ila wote kifuani lazima kubadilikeโ˜บ๏ธ!
Kuna wale ambao walikuwa wembamba wakinenepa ile kiasi wasiwe mabonge huwa wanapendeza sana unaanza kuona hata shape na tako wananona kiutamu utamu๐Ÿ˜‹
 
mnanyonyesha vibaya watoto, we. mtoti unanyonyesha miaka miwili toto linanyonya mpaka linabembea, kwa kwl mm akatafute nyonyo ingine sio ya mke wangu๐Ÿ˜‚
๐Ÿค ๐Ÿค ๐Ÿค ๐Ÿค ๐Ÿค ๐Ÿคฃ!
Kwakweli Ndiomana wazungu hawataki hii mambo ya kunyonyesha kizembe kabisa!
 
Back
Top Bottom