Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Pamoja sana rafiki yetu mtu wangu wa nguvu ✌️😊Asante Mzee wa kupambania nimezipokea 🤗🤗🤗
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja sana rafiki yetu mtu wangu wa nguvu ✌️😊Asante Mzee wa kupambania nimezipokea 🤗🤗🤗
Kwa kweli mambo ni mengi, mwaka umeshafika katikati. Ni kupambana tu.Nipoo shougaaanguuuu!! Naanzaje kukutupa miee!! Nilitingwaaaa!!😁
Kabisa dear sasahivi Desemba hii hapa ukijiuliza mwakahuu nimefanya nini lol!Kwa kweli mambo ni mengi, mwaka umeshafika katikati. Ni kupambana tu.
Hahahaha asante kwa kuibariki jioni yangu nimechekaje........mnanyonyesha vibaya watoto, we. mtoti unanyonyesha miaka miwili toto linanyonya mpaka linabembea, kwa kwl mm akatafute nyonyo ingine sio ya mke wangu😂
Hasa la mbunge wa Segerea Mh Bona 🌹Wanaume huvutiwa na tabasamu la mwanamke na sio mavazi yake.
Hivyo hakikisha unalivaa tabasamu kama unahitaji kumvutia mwanaume yoyote umtakaye na sio kuvunja kabati, kazi bure.
karibu tena😃Hahahaha asante kwa kuibariki jioni yangu nimechekaje........
Wao waendelee kucheka cheka tu wakati vigwzo wanavijua 😁😁Umeeleweka mkuu wasijichanganye 😀😀
Naam ,yupo sahihi.ila tabasamu nlikote kwa mtu fulani hiviii!Kumbee!!!
Hajakutana na hii huyu