Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Weeee tudanganye tu hapa!Unakosea kutujumlisha, nyoyo saa 6 ni watoto kidato cha 4.
Ksmwe age hiyo mimi hapana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weeee tudanganye tu hapa!Unakosea kutujumlisha, nyoyo saa 6 ni watoto kidato cha 4.
Ksmwe age hiyo mimi hapana
Nikudanye ili iweje?Weeee tudanganye tu hapa!
Nakazia mkuuTabasamu ni matokeo ya utoshelevu wa mahitaji ya mwili na nafsi.
Kama unadaiwa marejesho ni ngumu kutabasamu
Mnasemaga ivo Ila ukweli Ndio huo!Nikudanye ili iweje?
WEngine tumevuka huo ujinga.
Tunabishania nini lkn?Mnasemaga ivo Ila ukweli Ndio huo!
Hakuna cha kidato cha 4 kuna wadada tulimaliza nao akh nikama sijui alikuwa ananyonyesha wababa au vp yan bonge la mtiti alafu limelala hata lisetiwe alarm haliwez amkaUnakosea kutujumlisha, nyoyo saa 6 ni watoto kidato cha 4.
Ksmwe age hiyo mimi hapana
Ndio ikoje hio??? Hauna ka sampo hapo ??🤔Navutiwa sana na wanawake wenye GLOWING FACE[emoji4]
Kifupi uzuri na mvuto wa mwanamke sisi wanaume tunaujua akishavua nguo akiwa uchiHalafu wanaume mnanishangazaga sana hapo kwenye kifua!!
Mwanamke anaweza kuwa na dodo dodo kweli ila akishashusha tu ndio utajua hujui!! Yanalala ndala ikasome!!
Mtupendegee ivoivo nasie wake zenu wenye ndala jamani msitunyanyapae kihivo!( Mfano tu)
😁😁😁!Kifupi uzuri na mvuto wa mwanamke sisi wanaume tunaujua akishavua nguo akiwa uchi
Ila nguo zinawabeba sana baadhi ya wanawake
Sura Kama ya Angelina Jolie au Bantu Lady [emoji4]Ndio ikoje hio??? Hauna ka sampo hapo ??[emoji848]
Daaah 😂😂😂 heri lawama kuliko fedheha
Ahaaaa hapo nimekuelewa!!Sura Kama ya Angelina Jolie au Bantu Lady [emoji4]
Vipi mamaJ hajambo mkuu?Navutiwa sana na wanawake wenye GLOWING FACE[emoji4]
Hajambo mkuu[emoji28]Vipi mamaJ hajambo mkuu?
Hope mmeyajengaHajambo mkuu[emoji28]
hapo utakuwa umeyakanyaga😂😂Halafu wanaume mnanishangazaga sana hapo kwenye kifua!!
Mwanamke anaweza kuwa na dodo dodo chuchu chuchuu kweli ila akishashusha tu ndio utajua hujui!! Yanalala ndala ikasome!!
Mtupendegee ivoivo nasie wake zenu wenye ndala jamani msitunyanyapae kihivo!( Mfano tu)