DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Tabasam liendane na usafi , sio kutabasamu tu ulimi mweupe ,meno ya njano na yana chembe chembe za mboga kama mbuzi .Wanaume huvutiwa na tabasamu la mwanamke na sio mavazi yake.
Hivyo hakikisha unalivaa tabasamu kama unahitaji kumvutia mwanaume yoyote umtakaye na sio kuvunja kabati, kazi bure.
Hii ni kwako unayechipukia bwa mdogo🤣
Halafu wanaume mnanishangazaga sana hapo kwenye kifua!!We wadanganye tu .
Tunavutiwa na matako na sura wengine matiti mviringo yaliyokuwa na pointed nipple sio yaliolala kama ndala
Sasa we endelea kutabasamu na pasi yako nyuma
Ondoa hofu hapo anazungumzia wale wa kununua.Halafu wanaume mnanishangazaga sana hapo kwenye kifua!!
Mwanamke anaweza kuwa na dodo dodo kweli ila akishashusha tu ndio utajua hujui!! Yanalala ndala ikasome!!
Mtupendegee ivoivo nasie wake zenu wenye ndala jamani msitunyanyapae kihivo!( Mfano tu)
Weeee kila mwanaume anapenda matiti yahivo japokua wengine wana watoto lukuki!! Yani mkewe keshanyonyeshaaa weeee mpaka nyonyo limekua tepeeee afu anapenda saa 6 nyieee!!Ondoa hofu hapo anazungumzia wale wa kununua.
MAtiti haiwezi kuwa sifa ya kudumu, yaai umuoe zimesimama hadi uzeeni?
Isitoshe amesema MLEVi Mmoja
Unakosea kutujumlisha, nyonyo saa 6 ni watoto kidato cha 4.Weeee kila mwanaume anapenda matiti yahivo japokua wengine wana watoto lukuki!! Yani mke keshanyonyeshaaa weeee mpaka nyonyo limekua tepeeee afu anapenda saa 6 nyieee!!
Mungu anawaona!
Umeeleweka mkuu wasijichanganye 😀😀Mimi navutiwa na chura hata kama awe ana mapengo