Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Ni kweli ni wachache sana wanaoweza kumantain figure na shape zao baada ya kuzaa wengi hunenepa na kuwa na umbo la kimama nakupoteza ule mvuto walikuwa nao ππππ!
Wanawake wengi tukishazaa tunabadilika sana!
Miili haivutii kabisa βΊοΈ!!
π€ π€ π€ π!hapo utakuwa umeyakanyagaππ
Anatubless na picha za warembo kule kwenye uzi wa warembo wakali wa dunia, hapoi aisee yeye na Mideko nimewavulia kofia πAhaaaa hapo nimekuelewa!!
Very beautiful!!
Afu Mbantu ukimuona mwambie nimemmiso hadi naumwaa!!! Bantu Lady
Yeah wengine ni nature yao pia!! Yani hata azaejee walaaa hanenepi wala hawi na kitambi!!Ni kweli ni wachache sana wanaoweza kumantain figure na shape zao baada ya kuzaa wengi hunenepa na kuwa na umbo la kimama nakupoteza ule mvuto walikuwa nao π
Eeeeh DeepPond unasema?ππππ halafu umemisika. Twende ukanibless nini? ππππSura Kama ya Angelina Jolie au Bantu Lady [emoji4]
mnanyonyesha vibaya watoto, we. mtoti unanyonyesha miaka miwili toto linanyonya mpaka linabembea, kwa kwl mm akatafute nyonyo ingine sio ya mke wanguππ€ π€ π€ π!
Noumaaa sana mkuu! Watoto wawili tu hapa Titi lishalalaa mzee ana nafuu!!
Funguo ilipelekwa yakaishaHope mmeyajenga
Kifua hakina mpinzani lazima boobs zimwagike kwa anayenyonyeshaYeah wengine ni nature yao pia!! Yani hata azaejee walaaa hanenepi wala hawi na kitambi!!
Ila wote kifuani lazima kubadilikeβΊοΈ!
Kuna wale ambao walikuwa wembamba wakinenepa ile kiasi wasiwe mabonge huwa wanapendeza sana unaanza kuona hata shape na tako wananona kiutamu utamuπYeah wengine ni nature yao pia!! Yani hata azaejee walaaa hanenepi wala hawi na kitambi!!
Ila wote kifuani lazima kubadilikeβΊοΈ!
Salamu zimemfikia πWeee kumbe huko ndio chimbo lao doh!!
Msamilie sana kitrambo sijamtia machoniiβΊοΈ!!!
π€ π€ π€ π€ π€ π€£!mnanyonyesha vibaya watoto, we. mtoti unanyonyesha miaka miwili toto linanyonya mpaka linabembea, kwa kwl mm akatafute nyonyo ingine sio ya mke wanguπ
Santo sana mzeiya wa mbusu naona amefika nimefurahiijee kumwonaa! πΊ
Mimi nimekumiss zaidi πππ si kwa kutupana huku aaah vibaya hivi best.Ahaaaa hapo nimekuelewa!!
Very beautiful!!
Afu Mbantu ukimuona mwambie nimemmiso hadi naumwaa!!! Bantu Lady
Wengine wanayakamua kwa vifaa maalumuπ€ π€ π€ π€ π€ π€£!
Kwakweli Ndiomana wazungu hawataki hii mambo ya kunyonyesha kizembe kabisa!
Nipoo shougaaanguuuu!! Naanzaje kukutupa miee!! Nilitingwaaaa!!πMimi nimekumiss zaidi πππ si kwa kutupana huku aaah vibaya hivi best.
Asante Mzee wa kupambania nimezipokea π€π€π€
Yeahhh!! Wengine hufanya hivo!Wengine wanayakamua kwa vifaa maalumu