Unajihami na kibabu?Mchepuko si mrithi wa mali zako, hata uk RIP ni nadra kwa mchepuko kupata chochote labda uwe umezaa nae nae napo pia hutegemea umuhimu wa huyo mtoto kwa familia ya mume.
Mnapo kula chakula kwa mchepuko kuna uwezekano maadaui wako kuulipa mchepuko hela ukuondoe duniani. Mfano wewe unampa mchepuko laki mbili kila mkikutana, wanakuja mahasimu wako ki biashara, wanampa milioni tano akuwekee sumu kwenye chakula. Aweke sumu kwenye chakula na sahani na kijiko ulicholia vitupwe mbali kupoteza ushahidi.
Mjomba wako hakujua kuishi nao kwa akili.mada moto sana!
lakini kweli michepuko ni smoking gun..
nikikumbuka mchepuko alivyosababisha mjomba akanywa ngao ya kidonge!
alimfanyia kila kitu ila kosa moja alifanya ni kwamba lazma arudi kulala nyumbani na kuacha mchepuko peke yake...
akitoka kwa mchepuko kurudi kwa mke wake huku mchepuko anaingiza jamaa wake.
siku vimeumana jamaa alishindwa kuvumilia akanywa ngao ya kidonge na kuacha mke na watoto wadogo!
lile jomba langu sijui lilikuwa linapewa nyoro!
daahh inaskitisha sana
Nifuate in box kwa kweli nimekuelewa sana. Na nitazidi kukuelewa kama tutakubalina unipokee kama Mariooo na unithamini kuliko pesa shost.Usiwatishe bwanaa... Mimi mume wetu nampenda siwezi kumuuza hata kwa pesa ngapi[emoji7][emoji7][emoji7]
Sent using Jamii Forums mobile app
halafu mke wake alivyokuw mpole very innocent na mwenye adabu na heshma.hapo wanaume ndio tunapofeli.Mjomba wako hakujua kuishi nao kwa akili.
Kwani ukiwa mwenyekiti wa jumuiya ukiingiza kwa mwajuma haiingii?Mimi mwenyekiti wa Jumuiya mambo ya michepuko yananihusuje?
G alikua class mate wangu, aliugua, mchepuko wa baba akaleta dawa ili G apewe, mama wa G hakuambiwa hata, yani ilikua ni maagizo from mchepuko hii dawa kampe G atapona baba akaileta akampa....Mambo yalikua mengi ila alifariki.Natamani kukuelewa ujue...
mambo ya wanaume tuachieni wanaume wenyewe! Mwaka wa kumi huu sijawahi kulishwa sumu usitutishe!!Mchepuko si mrithi wa mali zako, hata uk RIP ni nadra kwa mchepuko kupata chochote labda uwe umezaa nae nae napo pia hutegemea umuhimu wa huyo mtoto kwa familia ya mume.
Mnapo kula chakula kwa mchepuko kuna uwezekano maadaui wako kuulipa mchepuko hela ukuondoe duniani. Mfano wewe unampa mchepuko laki mbili kila mkikutana, wanakuja mahasimu wako ki biashara, wanampa milioni tano akuwekee sumu kwenye chakula. Aweke sumu kwenye chakula na sahani na kijiko ulicholia vitupwe mbali kupoteza ushahidi.
dole gumba kwako lisilo na ukucha.Mume/mke wako wa ndoa ndio mahusiano sahihi na salama, sio rahisi mume wako au mke wako akudhuru hata kama mmetofautiana au kugombana
Kuanzisha mahusiano nje ni gharama, usumbufu, hatari na pia ni kujitafutia mikosi tu isiyo na sababu
Management ya mahusiano ya nje ni ngumu, huwezi kuwaridhisha wapenzi wawili, wakati mwingine utaona mmoja anakukera tu na hata kumjibu msg unaona kero
Bakini njia kuuπ
Mpaka nimepaliwa na biaMwaka wa kumi na moja ndipo unabii wangu utatimia
Duniani hapa ni kumwomba mungu akuepushe na mabalaaMchepuko si mrithi wa mali zako, hata uk RIP ni nadra kwa mchepuko kupata chochote labda uwe umezaa nae nae napo pia hutegemea umuhimu wa huyo mtoto kwa familia ya mume.
Mnapo kula chakula kwa mchepuko kuna uwezekano maadaui wako kuulipa mchepuko hela ukuondoe duniani. Mfano wewe unampa mchepuko laki mbili kila mkikutana, wanakuja mahasimu wako ki biashara, wanampa milioni tano akuwekee sumu kwenye chakula. Aweke sumu kwenye chakula na sahani na kijiko ulicholia vitupwe mbali kupoteza ushahidi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hizo ratios za mchepuko ni hatariKwa mke risk is 20:80 lakini kwa mchepuko ni 80:20
She is not happy ndaniNami naomba niulize hivi KE wanapochepuka huwa wanawaza nini? Hufanya hivyo na kupata mimba huku wakijua mimba siyo ya hubby lakini wanambambikia kwanini lakini wanafanya hivyo? Na wakati mwingine kuokota magonjwa ya zinaa na kuyaleta nyumbani. πππ
Basi hampendi huyo mwanaumeSasa Best mimi nakwambia si kweli. KE anaweza kuwa yuko ndani ya ndoa yenye kila starehe mume anamjali mwanzo mwisho ukiwa hujui utasema ndoa yao wale bomba sana wanapendana sana kumbe KE anatombesha nje.
She is not happy ndani
Then sababu ipoZiko kesi za hilo na ziko kesi pia hakuna tatizo lolote ndani ya ndoa na bado anachepuka. Kwa mfano alikuwa chuo na ex wake mmoja anamtafuta mwenzie ili wapashe kiporo wengine wanachepuka for the sake tu ya kuchepuka.
Basi hampendi huyo mwanaume
Women cheat for love sio tamaa kama wanaume