KateMiddleton
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 3,883
- 4,676
Abnormal women..It is more than that Mkuu. Nimeona kesi kama hizo na kuongea na KE husika na kudhibitisha hawana tatizo lolote ndani ya ndoa lakini kama unaweza kuchepuka bila kubambwa why not.
Abnormal women..
Few wanaofanya kwa hamu tu na sio hisia
In most cases.,women are emotional
For most women u js dont go to bed with a man you dont love...haipoo
Fikiria ukifa mke wako anakua widow lakini mchepuko ni official spincer
Unaonaje tukifanya majaribio? Nakusubiria PM...Kwani ukiwa mwenyekiti wa jumuiya ukiingiza kwa mwajuma haiingii?
Duh wana style nyingi tunaonjeshwaga na vingine ambapo nyumbani kwa wife hutupatagiKaeni nao kwa akili
Duh hatari hii... yani mchepuko wa baba yako au wa baba yake G?G alikua class mate wangu, aliugua, mchepuko wa baba akaleta dawa ili G apewe, mama wa G hakuambiwa hata, yani ilikua ni maagizo from mchepuko hii dawa kampe G atapona baba akaileta akampa....Mambo yalikua mengi ila alifariki.
Mchepuko wa Baba yake na G...Duh hatari hii... yani mchepuko wa baba yako au wa baba yake G?
Isije ikawa G alipewa sumu...
Apumzike kwa amani G wetu...
Mchepuko nikama subsidiary subjects haina effects yoyote kwenye main course unless umekuwa kilaza and by the way ratio iko 1:3 kwa sasa kwaiyo its a favor tunatoa kutembeza pipe.Mchepuko si mrithi wa mali zako, hata uk RIP ni nadra kwa mchepuko kupata chochote labda uwe umezaa nae nae napo pia hutegemea umuhimu wa huyo mtoto kwa familia ya mume.
Mnapo kula chakula kwa mchepuko kuna uwezekano maadaui wako kuulipa mchepuko hela ukuondoe duniani. Mfano wewe unampa mchepuko laki mbili kila mkikutana, wanakuja mahasimu wako ki biashara, wanampa milioni tano akuwekee sumu kwenye chakula. Aweke sumu kwenye chakula na sahani na kijiko ulicholia vitupwe mbali kupoteza ushahidi.
Sio kweli.Mwanamke anapofikia hatua ya kukigawa ujue ndani ni kwa moto.
Akili zako zimenishinda ujanja.Duh!Dunia ina mambo.π€π€π€Kuna mchepuko nimezaa nae mtoto wa kike na mm ninae madume 3 natamani sana nimlete nyumbni kwangu awajue kaka zake
Ila ndio hivyo mchepuko mwenyww ni mke wa mtu
But nimemnunulia plot huko bagamoyo as her feture asset
Mie dini inaniruhusu ila shuguli iko kwenye kumpata huyo mke wa pili .... wanawake wengi hawapendi kuolewa mke wa pili sijui ni kwaniniMchepuko ni hatari ni bora uoe mke wa pili kama dini inaruhusu.
Vipi kama wake wetu wangeruhusiwa kuolewa na waume zaidi ya mmoja?π€π€π€Mie dini inaniruhusu ila shuguli iko kwenye kumpata huyo mke wa pili .... wanawake wengi hawapendi kuolewa mke wa pili sijui ni kwanini
Mjomba wako fala sana ,samahani lakini siwez kuwa adui kwa kusema ukwelimada moto sana!
lakini kweli michepuko ni smoking gun..
nikikumbuka mchepuko alivyosababisha mjomba akanywa ngao ya kidonge!
alimfanyia kila kitu ila kosa moja alifanya ni kwamba lazma arudi kulala nyumbani na kuacha mchepuko peke yake...
akitoka kwa mchepuko kurudi kwa mke wake huku mchepuko anaingiza jamaa wake.
siku vimeumana jamaa alishindwa kuvumilia akanywa ngao ya kidonge na kuacha mke na watoto wadogo!
lile jomba langu sijui lilikuwa linapewa nyoro!
daahh inaskitisha sana
Mseme marehemu kwa upoleππππMjomba wako fala sana ,samahani lakini siwez kuwa adui kwa kusema ukweli
Kinyume chake ni sahihi. Marukio ya kweli ya wake kuua waume zao ni mengi kuliko michepuko kuua wapenzi wao. Samson aliuawa na mke, rais wa kwanza kama sikosei ni wa rwanda anaitwa baba wa taifa lao alitegewa sumu na mke wake ikulu ili ale afe ndo maana sikuwahi kjmwona kwenye ziara zake zote akiambatana na mkewe na mkewe hakuwa anakaa ikulu. Rais huyu ni marehem kwa sasa ila mkewe bado hai, sikumbuki jina lake.Kwa mke risk is 20:80 lakini kwa mchepuko ni 80:20
Mie dini inaniruhusu ila shuguli iko kwenye kumpata huyo mke wa pili .... wanawake wengi hawapendi kuolewa mke wa pili sijui ni kwanini
Ndo tuprove kwamba inaingia au haingii?Unaonaje tukifanya majaribio? Nakusubiria PM...