Wanaume huwa mnafikiria hatari zinazoweza kuletwa na mchepuko?

Mwaka na nusu hujamtomb@ mkeo?!!!! au sijaelewa vizuri labda!
 
Sheria no1. Mchepuko asikupikie. Itisheni chakula kutoka vilikoandaliwa tayari.

Sheria no2. Mchepuko hafuatwi kwake, nendeni gest tena za mbali kabisa.

Sheria no3. Usinywe pombe ukiwa nae anaweza kukubashite kwenye glas.

Sheria no4. Hana mamlaka ya kukupigia cm wala text mathalani umtafute wewe.

Sheria no5. Michepuko ni mitamu askwambie mtuuu!!!!!
 
Dada angu enzi na enzi michepuko ipo wala haitakaaga kupotea tena chakushanganza michepuko ni nduguzo,marafiki zako napia watu wako wakaribu wanakuja kukuchora kama yuda iskariyote mnakula nawao mnacheka nao ila siku ya mwisho ndio unajua alikuwa snitch maisha ya michepuko haiishi hata kidogo .
Na madhara hayapo kwa maana vyote alijua yatamtokea .
1.magonjwa
2.kuachwa na mke
3.kupata aibu kwa jamii ila kwa sasa vichwa vya watu hata hawajali kama upo au haupo unaishi au hauishi.
 
Kuna mchepuko nimezaa nae mtoto wa kike na mm ninae madume 3 natamani sana nimlete nyumbni kwangu awajue kaka zake
Ila ndio hivyo mchepuko mwenyww ni mke wa mtu

But nimemnunulia plot huko bagamoyo as her feture asset
Mku huyo binti itakuwa zawad ya baba mlezi
 
Mchepuko anakuwa na mali zake kugombaniana kunatoka wapi? Nikizaa tuu naanza kumuqndalia mtoto huyo vya kwake
 
Ss hio ni starehe ama mateso?.!

hakikisha tu unapendana na huyo mtu
Mtu akikupenda hakufanyii ubaya
 
Ngoja niwazue kwanza sababu hawa madume wangu wananitoa roho na ada za shule
Na mchepuko ndio anazidi kunipa mshawasha wa kuzaa nae mtoto mwingine
Unazaa na mke wa mtu alafu unajimwambafai kua una vidume 3 kwa mke wako. Siyo heshima nzuri kufanya jambo kama hilo hapa diniani. Achana na mwanamke huyo ndugu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…