Magdalene_joseph
JF-Expert Member
- Jun 26, 2023
- 231
- 617
- Thread starter
-
- #81
Nikakae kisiwani na mamba?Wewe kwanini ukae karibu na wanauwe kama hutaki kuliwa kimasihara?
Yule wa kwako hana maajabu tushamkwangua sana via vya uzaziWanaume huwa tunavuta bangi za wapi? Unamgonga mke wangu baada ya muda unakuja kuleta uzi....
Bora umesema wewe jirani... yani wadada sijui hua tunakwama wapiTunza papa lako uone km kuna mtu atakutangaza. Sio kila me wa kumvulia nguo.
Heshimu mwili wako.
Funguo inayofungua kila kufuli inaitwa master key
Jichunge usiwe miongoni mwao, sidhani km umetulia na mme wako mmoja afu atokee mwanaume wa kukuita malaya.
Nakuunga mkono dada endeleeni kutuuzia ili tuache kupiga nyetoMichango yenu humu wanawake ni watu wabayaa sana!
Yaani ni wachepukaji, malaya, wapenda hela n.k.
Hivi tukichepuka huwa tunachepuka na mbwa au nyie wanaume mso na maadili?
Tukiuza chini huwa tunawauzia beberu au nyie nyie tamaa ya fisi?
Kazi yenu kujisasibu jinsi mlivyotembea na wanawake dazeni, jinsi mnavyojua kununua malaya, jinsi mnavyojua kula kimasihara....
Mkimaliza raha zenu mnaanza kutopondea umalaya!! Swaini nyie.
Msiwafanye wanawake objects.
Povu ruksa.
Oya Dumuzi wanafuta mafaili kwa kasi, Hama huko Mvuti.nini hichi ? kudeki sebleni au ?
Msimkatae binti wa watu hadharaniNimeshaoa mkuu
Malaya ni mwanamke. Mwanaume anatimiza tu jukumu lake la asiliImagine. Yaani umalaya wafanye watu wawili lawama kwa mmoja! What kind of thinking is that?
Pigeni vizuri hizo nyeto nguvu zikiisha m-anze kulaamu wanawake!Nakuunga mkono dada endeleeni kutuuzia ili tuache kupiga nyeto
KumbeMalaya ni mwanamke. Mwanaume anatimika tu jukumu lake la asili
Tuwekee picha tupate appetitePigeni vizuri hizo nyeto nguvu zikiisha m-anze kulaamu wanawake!
Akae kwa kutulia dawa imuingie sio? 😅Ndo akome sasa,, anajilizaliza nini sasa kama alitaka mwenyewe kuliwa😃😃
Point of the dayNi kweli, wadada wengi kinachotuponza ni tamaa....yani mtu anataka aishi maisha ambayo hata wazazi wake hawajawahi kuishi., matokeo yake ndo tunakuja kusumbua watu kama hivi
Hahahahahaha mambo ninayoyapenda hayaaaaa,Wapumbavuuu
Lijitu linanunua Malaya likishakojoa linaleta thread wanawake wote ma.laya[emoji1787][emoji1787]
Tabia za mbwa dume huwa ni mchafu kwa asili
Yako radhi yakomalie jike moja afu yakishakojoa ndo akili zinarud
Picha ya nnTuwekee picha tupate appetite
YakoPicha ya nn
huyo jamaa ana id kibao, ndo yule mzee wa dislikesKua tu mkweli unashida gani tukusaidie,, huenda ni njaa inakusumbua
jibu swali, kudeki sebleni hakunaga jua wala giza ?Oya Dumuzi wanafuta mafaili kwa kasi, Hama huko Mvuti.