Wanaume: Kosa dogo linaweza kutufanya tusipendwe na watoto wetu hapo baadaye. Mwanangu wa miaka mitano amenistua leo

Wanaume: Kosa dogo linaweza kutufanya tusipendwe na watoto wetu hapo baadaye. Mwanangu wa miaka mitano amenistua leo

KAMA UNA MPANGO WA WATOTO WAKO WAJE KUKUKUMBUKA BAADAYE SAWA....ILA TIMIZA WAJIBU WAKO ...wape wanachohitaji..WATOTO WAKIMPENDA MAMA YAO KWASABABU HIYO SAWA..ILA KUMBUKA UKWELI WEWE NDIO UMEWALEA...cha msingi ninachokushauri kuwa na akiba yako akiba ya kukufanya usikose BIA NA NYAMA CHOMA mpaka unakufa
Mambo ya Bia Tamu?
 
Pia sio vibaya siku moja moja baada ya kukimbizana na mihangaiko yako ya kutafuta maisha, kumbuka kuwatoa out familia yako, wapeleke sehemu waagize vinywaji na vyakula wapendavyo then jumuika nao, na wakuone unavyolipia. Inajenga imani kwao kuwa unawajali japo mara moja kwa mwezi!
You will thank me later!
 
Punguza umwinyi, siku moja moja watengenezee kifungua kinywa ukae ule nao. Hata kuwaogesha hizi ndiyo njia za kujenga attachment na mtoto.
Sky Eclat hapo kuna Umwinyi gani? Ni namna tu tulivyogawana Majukum.
 
Sijasoma uzi wako ila niseme tu wamama wanachamgaia Sana watoto wachukue baba zao. Msinibishie huu ni ukweli
Inasemekana baadhi ya Wamama wako hivyo. Sisi Wababa tuna wajibu wa kusaidi kuepukana na kadhia hii.
 
Pia sio vibaya siku moja moja baada ya kukimbizana na mihangaiko yako ya kutafuta maisha, kumbuka kuwatoa out familia yako, wapeleke sehemu waagize vinywaji na vyakula wapendavyo then jumuika nao, na wakuone unavyolipia. Inajenga imani kwao kuwa unawajali japo mara moja kwa mwezi!
You will thank me later!
Huu ni ushauri mzuri Wanaume tuuchukue.
 
Sky Eclat hapo kuna Umwinyi gani? Ni namna tu tulivyogawana Majukum.
Kama unataka kuwa na attachment na watoto wako ni kuwa nao physically, wanapoumwa na kutapika, kuwaogesha, kuwalisha, kushika nao kalamu.

Ni mzazi gani anakugusa zaidi ukikumbuka utoto wako? Baba aliyekuwa anakunywa bia akirudi nyumbani mmelala!
 
Kama unataka kuwa na attachment na watoto wako ni kuwa nao physically, wanapoumwa na kutapika, kuwaogesha, kuwalisha, kushika nao kalamu.

Ni mzazi gani anakugusa zaidi ukikumbuka utoto wako? Baba aliyekuwa anakunywa bia akirudi nyumbani mmelala!
Hizo tabia mbaya za hivyo Mungu kanieousha.
 
Mimi nafikiri ni ubinafsi tu wa baadhi yetu wanawake, unajua fika kabisa “BABA” anapambana mchana na usiku ili familia yake iwe na furaha kwa kupata kila inachohitaji inagharimu nini kuwaeleza watoto kuwa “BABA” haonekani nyumbani muda mwingi kwasababu anawatafutia pesa ya ubwabwa na ada ya shule!!!

Ingawa pia wazazi wa kiumeni muwe mnatenga muda angalau siku 2 tatu za kukaa nyumbani na familia.
Tutaendelea kuwa wababa Bora. Ushauri huu wanaume wameuchukua
 
Back
Top Bottom