Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,171
- 34,394
Si lazima ufate kila kitu kinachochangiwa humu akiwa mpumbavu wewe unawashwa wapi??Huyo atakuwa BABA mpumbavu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si lazima ufate kila kitu kinachochangiwa humu akiwa mpumbavu wewe unawashwa wapi??Huyo atakuwa BABA mpumbavu
😅😅😅😅we jamaa nimefurahi comment yakoMaisha yamebadika shetani ame-advance sana. Usimpe mke hela chumbani ya kuhudumia familia
Toa pesa wazi wazi
Watoto wajue wewe ndie unayehudumia mgodi
Tunapofeli mara nyingi ni kukosa kuongea na watoto, mtoto wako ana uwelewa mkubwa. Siku mojamoja msaidie kusafisha chumba chake na umueleweshe kuwa kuna wakati unakua ma majukumu mengine huwezi kumsaidia kila siku.Hizo tabia mbaya za hivyo Mungu kanieousha.
👍👍well noted and taken by MenTunapofeli mara nyingi ni kukosa kuongea na watoto, mtoto wako ana uwelewa mkubwa. Siku mojamoja msaidie kusafisha chumba chake na umueleweshe kuwa kuna wakati unakua ma majukumu mengine huwezi kumsaidia kila siku.
Muda wa maongezi na watoto uwe unautenga na muda wa kuongea majukumu na mama yao wadahamishe kuwa hawahusiki waendelee kucheza michezo yao.
Bro nakuelewa Sana...NAKAA NA WATOTO WANGU...NAWAPA KILA HITAJI WATAKALO...KUPITIA KWA MAMA YAO...JE HII ITANIFANYA WATOTO WAONE SIWAJALI?KWAKUA TU MAMA YAO ANAWAPA KILE NINACHOWAHUDUMIA?HUO NI WAJIBU WANGU...WAPENDE WASIPENDE MIMI NI BABA YAO...NATOA HUDUMA PIA WAKATI HUOHUO NAJIHUDUMIA...SITAWATEGEMEA...Inadumisha upendo si zaidi ya hivyo
Ni ngumu Sana labda mwanamke awe mwelewa Sana ambao ni wachache Sana. Ndio maana ule msemo wa hakuna kama mama umeeenea sana.Inasemekana baadhi ya Wamama wako hivyo. Sisi Wababa tuna wajibu wa kusaidi kuepukana na kadhia hii.
Sijui kama umeelewa kisa nilichoeleza hapo juu. Nimeeleza kwa manufaa ya mwanaume wenzangu wenye familia kama mimi. Huyo Dogo alikuwa akilalamika kuwa mimi simpi pesa. Lakini ni kweli? Huyu ni wa miaka mitano usidhani hana akili.Bro nakuelewa Sana...NAKAA NA WATOTO WANGU...NAWAPA KILA HITAJI WATAKALO...KUPITIA KWA MAMA YAO...JE HII ITANIFANYA WATOTO WAONE SIWAJALI?KWAKUA TU MAMA YAO ANAWAPA KILE NINACHOWAHUDUMIA?HUO NI WAJIBU WANGU...WAPENDE WASIPENDE MIMI NI BABA YAO...NATOA HUDUMA PIA WAKATI HUOHUO NAJIHUDUMIA...SITAWATEGEMEA...
AsanteNi ngumu Sana labda mwanamke awe mwelewa Sana ambao ni wachache Sana. Ndio maana uke msemo wa hakuna kama mama umeeenea sana.
Shukuru Mungu mwanao kaomba goroli, watoto wa siku hizi mwendo Play Station na Smart Phone nk.Habari za Ijumaa wikenda wapenzi wasomaji wa MMU.
Kwanza napenda nitoe maelezo kuhusu tabia yangu ya kimaisha.
Declaration; Mimi nimeoa mke wangu Mama wa nyumbani. Nimefanya hivi kwa kuwa napenda sana starehe. Yaani napenda ninaporudi nyumbani nikute nyumba imesafishwa, inang'aa, chakula kimeandaliwa cha kifalme. Chumba ninacholala kimewekwa maridadi kama vile Mwana wa Mfalme
Unaweza ukahifadhi hiyo akiba alafu ukatengwa kijamii Mkuu, muhimu ni kuwa karibu na familia yako tu na watoto wako waoneshe upendo na wao wakuoneshe upendo. Hakuna kitu kinafadhaisha uzeeni kama familia yako kukutenga hata ukiwa na hizo pesa utapata tabu sana Mkuu.Jambo la kuzingatia mwanaume yeyote ni kuhakikisha unatunza pesa ztakazo kutunza uzeen,hakksha hukos hela mpaka utakapo kufa panda hata miti iwe kama akiba au fuga mifugo za kutosha kama akiba.
Maana kuna kutengwa uzeen,wanao na mama yao wakawa mbali na wewe
Kuwategemea sio Wakupe Pesa. Hata ile Social support and emotional support inahitajika hasa unapokuwa mzee.NAJIHUDUMIA...SITAWATEGEMEA
Hahahaha Bado mdogi hayo maplay station badoShukuru Mungu mwanao kaomba goroli, watoto wa siku hizi mwendo Play Station na Smart Phone nk.
Good point. Namshauri arudi kwenye comment ya Sky Eclat hapo juuUnaweza ukahifadhi hiyo akiba alafu ukatengwa kijamii Mkuu, muhimu ni kuwa karibu na familia yako tu na watoto wako waoneshe upendo na wao wakuoneshe upendo. Hakuna kitu kinafadhaisha uzeeni kama familia yako kukutenga hata ukiwa na hizo pesa utapata tabu sana Mkuu.
Utataka utembelewe na wajukuu alafu wanao watakataa, utataka kutembelewa na wanao alafu watakupotezea, hii hali sio poa kabisa ni yakuepuka kabisa.
Ukiwa furushi utatengwa ila kama unajitambua na unaelewa maana ya familia basi hautotengwa.Jambo la kuzingatia mwanaume yeyote ni kuhakikisha unatunza pesa ztakazo kutunza uzeen,hakksha hukos hela mpaka utakapo kufa panda hata miti iwe kama akiba au fuga mifugo za kutosha kama akiba.
Maana kuna kutengwa uzeen,wanao na mama yao wakawa mbali na wewe
...SITAWATEGEMEA...
Tatizo kuna umri ukiufikia pesa na mali huwa na nafasi ndogo sana kwako.Jambo la kuzingatia mwanaume yeyote ni kuhakikisha unatunza pesa ztakazo kutunza uzeen,hakksha hukos hela mpaka utakapo kufa panda hata miti iwe kama akiba au fuga mifugo za kutosha kama akiba.
Maana kuna kutengwa uzeen,wanao na mama yao wakawa mbali na wewe
🤦🏾♂️🚶🏿♂️Bro nakuelewa Sana...NAKAA NA WATOTO WANGU...NAWAPA KILA HITAJI WATAKALO...KUPITIA KWA MAMA YAO...JE HII ITANIFANYA WATOTO WAONE SIWAJALI?KWAKUA TU MAMA YAO ANAWAPA KILE NINACHOWAHUDUMIA?HUO NI WAJIBU WANGU...WAPENDE WASIPENDE MIMI NI BABA YAO...NATOA HUDUMA PIA WAKATI HUOHUO NAJIHUDUMIA...SITAWATEGEMEA...
Mkuu ndio tuwe tubatangaza kabisa. Asante kwa kuleta mfano haiDiamond alikuwa anamchukia baba yake hadi kesho nadhani sababu ndizo hizo. Wababa tunapotuma pesa za malezi kwa wazazi wenzetu tuwe makini
Very correct. Ukiwa mtu mzima vipaumbele sio pesa na mapenzi kama ilivyo wakati huu wa ujana. Vipaumbele vinabadilika kabisa. Mifano tunaiona huku field mtaaniTatizo kuna umri ukiufikia pesa na mali huwa na nafasi ndogo sana kwako.
Tatizo ni upweke upweke upweke unaweza kufa huku umelalia ela