Wanaume, kuombwa pesa ni jambo kubwa kiasi hiki au mnakuza tu mambo?

Wanaume, kuombwa pesa ni jambo kubwa kiasi hiki au mnakuza tu mambo?

Evelyn Salt

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
70,916
Reaction score
141,437
Vilio vya wanaume kuombwa pesa na wapenzi wao, naomba tu niseme wapenzi wenu, kama na wasio wapenzi wanawaomba basi mtasema. Ukipita pita mitandaoni katika post tatu haukosi moja inayolalamikia wanawake kuomba pesa...njaa is real mwokozi tuokoe sa tukamuombe nani....😔

Nnajiuliza kwani hili swala ni geni? Ni jipya? Zamani wanaume walikua hawawapi pesa wapenzi wao? Wanawake walikua hawaombi hela? Hadi sasa iwe ishuuu yani kila kona ni malalamiko tu.....na hawa mnaolalamikia anakua ni mpenzi wako tu mmoja au rundo la wapenzi wote wanakuomba??? Mtu mmoja anaweza kukuomba pesa kiasi hicho hadi ikawa kero? Au ni nyie harakati zenu za pimbi ndio malipo yake haya? Una wapenzi wanne kila mmoja akiishiwa gas manake ni laki mbili hiyo 😁 ungekua na mmoja at least basi 50 sio mbaya, Hebu kuweni wazi NI MPENZI MMOJA TU NDIO KERO KIASI HICHO AU WAPENZI WAKO WENGI????

Mwanamke umekaa zako uko busy na maisha yako, anakuja mtu kavaa suruali anaanza saundi anakuomba omba vitu vyako eti ye ukimuomba chake inakua kero, hutaki kuombwa basi tulia zako nawe usiombe ombe vya watu?!!!! Yani eti utelezeee halafu umalize na ahsante, bro ahsante hailipi bill. Kuna wakulungwa watauliza kwani mnauza??? Hapana haziuzwi na hazitolewi bure.

Naamini mapenzi na pesa ni vitu viwili visivyotenganishwa, asikuambie mtu pesa ikiwepo inaongeza furaha, amsha amsha na nyeg* katika mapenzi, mtabisha tu Ila ndio ukweli.....

Cheers kwenu wanaume mnaotoa bila kinyongo bila maneno maneno, mbarikiwe sana muongezewe zaidi na zaidi, mpewe muda wote mnaotaka tena mpewe vizuri, mnaolialia kuombwa pesa muuliwe tu nyie.
Ladies msimamo ni upi? Tuache au tuendelee...😁😁
 
Ukweli ni kwamba;

Mkibadilishana namba na msichana baada ya muda mfupi yaani ndani ya siku 2 anaomba eidha ya kusuka, umwongezee kodi au utasikia hapa nilipo nina njaa sijala naomba 20k.

Kuomba pesa sio tatizo, tatizo timing, wasichana 80% hawana uvumilivu wala mshipa wa aibu.
Mfano mdogo. Kuna binti nilikutana naye mkoa flani lkn tumetokea mkoa mmoja, ndio anaanza kazi mpya na maslahi madogo mno.
Nikatamani nimsapoti bila kutarajia ngono wala shukrani, nikampa godoro na pesa kidogo ajikimu.
Yeye ghafla akaanza kuniita mpenzi, kila asubuhi jioni kila siku...ooh sijala nitumie, mara kusuka.
Nami nikaona hapa huyu sio wa kusaidia amezoea kupiga mabomu...nikamlima nyundo ya block
 
Ukweli ni kwamba;
Mkibadilishana namba na msichana baada ya muda mfupi yaani ndani ya siku 2 anaomba eidha ya kusuka, umwongezee kodi au utasikia hapa nilipo nina njaa sijala naomba 20k.
Kuomba pesa sio tatizo, tatizo timing, wasichana 80% hawana uvumilivu wala mshipa wa aibu.
Sometimes hii ni mbinu ya kufukuza wakware, kushinda unatuma tuma mameseji tu kwa mtu na ukute mtu mwenyewe hajakuelewa anakukataa unajifanya king'ang'a hapo inabidi uombwe pesa ili kufukuzwa
 
Sometimes hii ni mbinu ya kufukuza wakware, kushinda unatuma tuma mameseji tu kwa mtu na ukute mtu mwenyewe hajakuelewa anakukataa unajifanya king'ang'a hapo inabidi uombwe pesa ili kufukuzwa
Sio kweli, mwanaume huwa hachat bali vivulana, mimi binafsi ni muhanga wa mambo haya, nikibadilishana contact...very soon uombaji pesa unaanza hata sijasema chochote.
 
Sometimes hii ni mbinu ya kufukuza wakware, kushinda unatuma tuma mameseji tu kwa mtu na ukute mtu mwenyewe hajakuelewa anakukataa unajifanya king'ang'a hapo inabidi uombwe pesa ili kufukuzwa

Ongeza sauti maa.Haiuzwi wala haitolewi bure.Bila pesa hata nyege haziji na pussy hailowi[emoji2957][emoji2957].

Wanaume wanapenda pisi kali halafu kwenye kuzitunza wanaleta kelele[emoji23][emoji23]

I second you.Shobo zikizidi unapiga tu mzinga wanajiondoa wenyewe maana bila hivyo hawaelewi.

After all mi nawakumbusha tu WASIOE.

Haiwezekani unakutana na mdada miaka 20's au 30's ya kutosha eti wajifanya bingwa wa kugharamia na kutaka kuoa kabisaaa.

My fellow men ""wenzako walioanza nae na kubikiri Hawakuona ndoa ila wewe ndio kujifanya unajua sanaaa na kutaka kuoa kabisa..!!""

Tuendelee kuwa single.

Ukipata pisi kali ihudumie vizuri
Ukipata pisi kali kula mzigo tanii yako.

Ukiona imekua TO MUCH FOR YOU brazaa sio ndugu yako huyooo SEPAAAAA.

I salute you all the girls wale ukiwapa pesa basi si WASUMBUFU KUTOA MZIGO.

LOVE MY MONEY.

#YNWA
 
Haha
Screenshot_20211005-042503_Instagram.jpg
 
After all mi nawakumbusha tu WASIOE.

Haiwezekani unakutana na mdada miaka 20's au 30's ya kutosha eti wajifanya bingwa wa kugharamia na kutaka kuoa kabisaaa.

My fellow men ""wenzako walioanza nae na kubikiri Hawakuona ndoa ila wewe ndio kujifanya unajua sanaaa na kutaka kuoa kabisa..!!""

Tuendelee kuwa single.

Ukipata pisi kali ihudumie vizuri
Ukipata pisi kali kula mzigo tanii yako
.

Ukiona imekua TO MUCH FOR YOU brazaa sio ndugu yako huyooo SEPAAAAA.

I salute you all the girls wale ukiwapa pesa basi si WASUMBUFU KUTOA MZIGO.

LOVE MY MONEY.

#YNWA
It's not about marriage things....
Btt: nilipobold ndio penyewe ndio muhimu....tupo pamoja kiongozi.
 
Sijasoma michango ya wengine but binafsi naona kero kubwa kuombwa hela na mwanamke ambae sio mpenzi wako au hajawa mpenzi bado...

Kuna wanawake akikupa namba ya simu
Next ni kuombwa hela tu..hata hamjawi kufahamiana kabisa..no outing ..
Wala Kula na kunywa pamoja...

Hii naona ni kero sana...
Sioni kero kwa wapenzi tayari ..
 
Vilio vya wanaume kuombwa pesa na wapenzi wao, naomba tu niseme wapenzi wenu, kama na wasio wapenzi wanawaomba basi mtasema. Ukipita pita mitandaoni katika post tatu haukosi moja inayolalamikia wanawake kuomba pesa...njaa is real mwokozi tuokoe sa tukamuombe nani....[emoji17]

Nnajiuliza kwani hili swala ni geni? Ni jipya? Zamani wanaume walikua hawawapi pesa wapenzi wao? Wanawake walikua hawaombi hela? Hadi sasa iwe ishuuu yani kila kona ni malalamiko tu.....na hawa mnaolalamikia anakua ni mpenzi wako tu mmoja au rundo la wapenzi wote wanakuomba??? Mtu mmoja anaweza kukuomba pesa kiasi hicho hadi ikawa kero? Au ni nyie harakati zenu za pimbi ndio malipo yake haya? Una wapenzi wanne kila mmoja akiishiwa gas manake ni laki mbili hiyo [emoji16] ungekua na mmoja at least basi 50 sio mbaya, Hebu kuweni wazi NI MPENZI MMOJA TU NDIO KERO KIASI HICHO AU WAPENZI WAKO WENGI????

Mwanamke umekaa zako uko busy na maisha yako, anakuja mtu kavaa suruali anaanza saundi anakuomba omba vitu vyako eti ye ukimuomba chake inakua kero, hutaki kuombwa basi tulia zako nawe usiombe ombe vya watu?!!!! Yani eti utelezeee halafu umalize na ahsante, bro ahsante hailipi bill. Kuna wakulungwa watauliza kwani mnauza??? Hapana haziuzwi na hazitolewi bure.

Naamini mapenzi na pesa ni vitu viwili visivyotenganishwa, asikuambie mtu pesa ikiwepo inaongeza furaha, amsha amsha na nyeg* katika mapenzi, mtabisha tu Ila ndio ukweli.....

Cheers kwenu wanaume mnaotoa bila kinyongo bila maneno maneno, mbarikiwe sana muongezewe zaidi na zaidi, mpewe muda wote mnaotaka tena mpewe vizuri, mnaolialia kuombwa pesa muuliwe tu nyie.
Ladies msimamo ni upi? Tuache au tuendelee...[emoji16][emoji16]
Ukiona mwanaume analalamika kuombwa pesa na mwanamke basibhuyo ni lofa, sasa wanawake wasipotuomba pesa sisi unataka wamuombe nani
 
Ukweli ni kwamba;
Mkibadilishana namba na msichana baada ya muda mfupi yaani ndani ya siku 2 anaomba eidha ya kusuka, umwongezee kodi au utasikia hapa nilipo nina njaa sijala naomba 20k.
Kuomba pesa sio tatizo, tatizo timing, wasichana 80% hawana uvumilivu wala mshipa wa aibu.
Kuna demu mmoja alikua analalamika kwamba yupo kwenye mahusiano na jamaa zaidi ya mwaka, hajawahi kuomba hela au chochote na jamaa amemute hajawahi hata kumwambia chukua hii ikusaidie nauli au kusuka, sasa mwanaume wa design hii si anampa tabu dada etu.

Kuna wanawake hawawezi kuomba pesa kabisa wanajiweza ila hakuna mwanamke asiependa kuhudumiwa na mpenzi wake, hata kama ana pesa za kumtosha ila pesa ya mpenzi ina ladha tofauti na inaonyesha some sense of responsibility, wanaume tujifunze kuwajali hawa warembo na yuache kulalamika kuombwa pesa

Kuna mrembo nampenda huku jamvini, siku akinikubalia naapia hatojuta nitamtunzamkwa kila kitu Whitepanther nimetangaza na dau kabisa
 
Back
Top Bottom