Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeee kabisaNa wanawake wanaotaka kula pesa tu ya mwanaume bila kutoa mbususu nao wajumuishwe kwenye kesi hiyo hiyo
Eeee tunafanya hivyo piaTunapoelekea mtafikia hatua mtakua mnauza namba zenu..
"ukitaka namba yangu nipe elf tano nkupe"
Kama unafanya hivyo wewe ni trashEeee tunafanya hivyo pia
Wewe una lako jambo.Kuna demu mmoja alikua analalamika kwamba yupo kwenye mahusiano na jamaa zaidi ya mwaka, hajawahi kuomba hela au chochote na jamaa amemute hajawahi hata kumwambia chukua hii ikusaidie nauli au kusuka, sasa mwanaume wa design hii si anampa tabu dada etu, kuna wanawake hawawezi kuomba pesa kabisa wanajiweza ila hakuna mwanamke asiependa kuhudumiwa na mpenzi wake, hata kama ana pesa za kumtosha ila pesa ya mpenzi ina ladha tofauti na inaonyesha some sense of responsibility, wanaume tujifunze kuwajali hawa warembo na yuache kulalamika kuombwa pesa
Kuna mrembo nampenda huku jamvini, siku akinikubalia naapia hatojuta nitamtunzamkwa kila kitu Whitepanther nimetangaza na dau kabisa
Nikutonye;Trust me hauwavutii unaowaomba namba.
Shawahi Kuna na mwanaume wa hivi haoni aibu yeye kila siku shida na asivo haya anaomba Hadi hela ya msosi, na alisahau kuwa sio wanawake wote wameumbiwa kuomba ila haimaanishi usihudumie baby wako, maana mtu ka huyo nilimkimbia nikawaza huyu ni mchoyo hata mkiwa na familia hawezi kuhudumia na anakuachia mzigo wote nikasema Cha kufia nini mwanaume mtaka vya bure tena ana kazi nzuri masafari ka yote ila mchoyo wa hatari wallah.Kuna demu mmoja alikua analalamika kwamba yupo kwenye mahusiano na jamaa zaidi ya mwaka, hajawahi kuomba hela au chochote na jamaa amemute hajawahi hata kumwambia chukua hii ikusaidie nauli au kusuka, sasa mwanaume wa design hii si anampa tabu dada etu, kuna wanawake hawawezi kuomba pesa kabisa wanajiweza ila hakuna mwanamke asiependa kuhudumiwa na mpenzi wake, hata kama ana pesa za kumtosha ila pesa ya mpenzi ina ladha tofauti na inaonyesha some sense of responsibility, wanaume tujifunze kuwajali hawa warembo na yuache kulalamika kuombwa pesa
Kuna mrembo nampenda huku jamvini, siku akinikubalia naapia hatojuta nitamtunzamkwa kila kitu Whitepanther nimetangaza na dau kabisa
Wengi msipoombwa hamutoi mna mute tuwanatakiwa wajirekebishe hela haziombwi mtu anatakiwa atoe mwenyewe baada ya kupewa vyote hadi kwa mpalange unadhani wanaume wajinga sisi alaaah , toa vitu upate pesa
SawaKama unafanya hivyo wewe ni trash
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani. Ni barter trade amaNaomba uwe mpenzi wangu kwanza !.
Na wewe unapenda hela mkuu?
Ndio mkuu NapendaNa wewe unapenda hela mkuu?
Huyo anaeomba pesa baada ya kupewa namba ni malaya muuza uchi mkuuWewe una lako jambo.
Hakuna aliyesema hataki kuhudumia.
Hivi:
Mkibadilishana namba za simu tayari mmekuwa wapenzi?
Kama sio wapenzi ujasiri wa kuomba unaupata wapi?
Huyo baharia ametuaibisha sana, wanaume hawana haya kabisa, una demu haombi hela halafu unashindwa tu kujiongeza, ulifanya jambo la maana kumkimbia my sister, huyo ni kansa hata mkiwa na watoto atajifanya hamnazoShawahi Kuna na mwanaume wa hivi haoni aibu yeye kila siku shida na asivo haya anaomba Hadi hela ya msosi, na alisahau kuwa sio wanawake wote wameumbiwa kuomba ila haimaanishi usihudumie baby wako, maana mtu ka huyo nilimkimbia nikawaza huyu ni mchoyo hata mkiwa na familia hawezi kuhudumia na anakuachia mzigo wote nikasema Cha kufia nini mwanaume mtaka vya bure tena ana kazi nzuri masafari ka yote ila mchoyo wa hatari wallah.
Kuna wanawake hatuombi hela ila tunapenda responsible man anayejiongeza wallah, mikono mitupu hailambwi, na ndio maana watoaji wengi hupendwa na kusamehewa mapungufu mengine
Nilikimbia zangu mita mia mbili wallah, so kuna wanaume wapenda mtelezo acha tu waombwe hela maana wengine huwa wanaomba kuwapima au kuwakimbiza real gentleman anahudumia mwanamke wake bila kuombwa.Huyo baharia ametuaibisha sana, wanaume hawana haya kabisa, una demu haombi hela halafu unashindwa tu kujiongeza, ukifanya jambo la maana kumkimbia my sister, huyo ni kanza hata mkiwa na watoto atajifanya hamnazo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka kimakuuHaina shida hii....BOTH TEAMS TO SCORE [emoji16]