Malume
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 1,016
- 1,886
Sasa ukibaki na kitu chako utakifanyia nini, wape wengine wafaidi[emoji23][emoji23] kila mtu abaki na kitu chake basi
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ukibaki na kitu chako utakifanyia nini, wape wengine wafaidi[emoji23][emoji23] kila mtu abaki na kitu chake basi
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Hapa ndio tatizo huanziakumpa mwanamke hela siyo Tatizo , mimi huwa nachukia mtu nimechukua namba hata lisaa halijapita ,nywele zimefumuka,njaa inauma ,birthday yake ni leo,kodi imeisha ,gesi imekata, anaumwa anataka dawa...
mtu hata timing ya kumlia mwanaume hela hana khaaa aiseee!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Na wewe toa helaaa[emoji23][emoji23]Sasa ukibaki na kitu chako utakifanyia nini, wape wengine wafaidi
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ndiyo umeamua hivyo?Nakupenda pia dada, naomba hela[emoji7][emoji7]
Na hela ya Baby ilivyo nzuri na ya kupendeza[emoji28]Ameeeen! Yaani wabarikiwe hadi washangae. Haya maalshabab sasa yaendelee tu kulipata joto la jiwe, na bado!!
Ila na wewe unatoa kama hela unapewa?Ndio mkuu Napenda
Weka namba[emoji28][emoji28]
SitoiIla na wewe unatoa kama hela unapewa?
Naaam!!!! Ukijifanya king'ang'aKwahio “bby naomba hela ya kununulia simu hii yangu imeharibika” ndio neno mbadala la “sikutaki”?
Ubovu upo machoni pa mtu, unaweza kuwa unawaona pisi kumbe wengine wakaona kiazi....Nikutonye;
Huwaga sina mzuka na demu mbovu.
Siwezi hata kujilazimisha kumtongoza wala kumla
Kuteleza unapenda lakini?! Si ndio?Kwangu mm kuombwa ela n moja ya kero nayochukia ata awe mpenz Wang mnatakiwa msubir mpewe wenyew boro mtu utoe kwa hiar yako
Kuteleza s wajibu wake anipe chakulaKuteleza unapenda lakini?! Si ndio?
Wajibu wa nani?kuteleza s wajibu wake anipe chakula
Halafu hela hazitoshag tu mm kwangu mm sipendi kumzoesha mwanamke ela huwa natoaga kwa hiar yang Yan labda apate matatizo yanayompasa awe na ela nayeye ananielewaKuteleza unapenda lakini?! Si ndio?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ndiyo umeamua hivyo?
Umepata...