Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Haki hela zao ni taamu wangejua wangekuwa wanatupatia tuu[emoji12][emoji12]Na hela ya Baby ilivyo nzuri na ya kupendeza[emoji28]
Wabarikiwe kwa kweli...Mbinguni na Duniani..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haki hela zao ni taamu wangejua wangekuwa wanatupatia tuu[emoji12][emoji12]Na hela ya Baby ilivyo nzuri na ya kupendeza[emoji28]
Wabarikiwe kwa kweli...Mbinguni na Duniani..
Unafikir mwanaume unakuwa na mwanamke kwa ajili gan haswa let be realistic mwanamke anahitajika kwa mwanaume Sana Sana n ile amri ya sita tu Kama unabisha olewa alafu ukatae kutoa utaanaa kitakachofataWajibu wa nani?
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Kwa kweli.. Upendo una gharama yake...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tumeambiwa kupendana kufuatane na kupeana pesa, sasa mimi ni mdogo hivyo wewe ndio inatakiwa unipe[emoji85][emoji85][emoji85]
Ni tamu ajabu...Watupatie tu.Haki hela zao ni taamu wangejua wangekuwa wanatupatia tuu[emoji12][emoji12]
Hao napinga hyo kitu ila Kuna Ile mpenzi wako na sio mpita njia, pia wanawake huomba hela kuwakimbiza wanaumendo kwa kumpima mtu anakuomba namba haipiti hata lisaa tayari kodi imeishaa WTF!!!!!!
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Hakika[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Kwa kweli.. Upendo una gharama yake...
Sasa wengine hujifanya hawaoni, in short hao wanafanya wapangwe wengiExactly,wakati mwingine hatupaswi kusubiri mpaka tuombwe, unajiongeza mwenyewe
Na aibu hawana mtu unatakaje vitu vizuri vya bure mwanaume kuwa omba omba tu haipendezi kabisa, vizuri vinahitaji matunzoHehehe waapo wengi sana. Kila saa kujiumbia matatizo ya uongo ili umtip. Wanadangaaa...
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Atleast hyo ,imekaa poaHao napinga hyo kitu ila Kuna Ile mpenzi wako na sio mpita njia, pia wanawake huomba hela kuwakimbiza wanaume
Akizingua hebu utupe taarifa tuone nini cha kufanya 😁Kuna mrembo nampenda huku jamvini, siku akinikubalia naapia hatojuta nitamtunzamkwa kila kitu Whitepanther nimetangaza na dau kabisa
😂😂😂😂😂Wanaume wasiopenda kuombwa pesa tunaomba wauliwe na serikali ya mama Samia
Maneno lainiSisi wanaume, mkitaka kutupatia tukiomba namba hata msiwe na haraka yakuomba pesa we kausha tuu Kama hupendi vile Yani huwa tukiona mwanamke huyu sio mwombaji tunajiongezaga fastaa unakuta na naanza kuwaza na ndoa kabisa nikijua huyu ndio wife material hana tamaa na pesa, najikuta tuu nimekupa laki 5 kwa furaha yakutoombwa mara kwa mara nasema bby kahela ka saloon hako
Unakunywa bia gani bro...Asee umenikumbusha ngoja nimtumie huyu manzi hela jana kaniambia hali yake sio nzuri.
Wadada wa hivi nao wauliweKero inakuja pale ambapo nimekuomba namba kabla sijasema kusudi la kuomba namba unaanza njaa inauma, sijui mchezo nikuongezee kodi gas saloon khaaaa!
Hiyo sio kero ni nini Dada!!
Ni kweli....Wengi msipoombwa hamutoi mna mute tu
😂😂😂😂 Kesho aendelee tena
Utu wenu usipimwe Kwa fedha, japo kupenda fedha sio tatizo. Kuwa na principles ni muhimu zaidi.
Ukiweka fedha mbele, utapelekwa tu na kutumiwa kama fedha yenyewe.
View attachment 1963437