miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Kumbe mnanunuagaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ewaaa nani apoteze chake burebureeee hiiiiiiiiiiiiiiiii
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe mnanunuagaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ewaaa nani apoteze chake burebureeee hiiiiiiiiiiiiiiiii
Hehehe waapo wengi sana. Kila saa kujiumbia matatizo ya uongo ili umtip. Wanadangaaa...Shawahi Kuna na mwanaume wa hivi haoni aibu yeye kila siku shida na asivo haya anaomba Hadi hela ya msosi, na alisahau kuwa sio wanawake wote wameumbiwa kuomba ila haimaanishi usihudumie baby wako, maana mtu ka huyo nilimkimbia nikawaza huyu ni mchoyo hata mkiwa na familia hawezi kuhudumia na anakuachia mzigo wote nikasema Cha kufia nini mwanaume mtaka vya bure tena ana kazi nzuri masafari ka yote ila mchoyo wa hatari wallah.
Kuna wanawake hatuombi hela ila tunapenda responsible man anayejiongeza wallah, mikono mitupu hailambwi, na ndio maana watoaji wengi hupendwa na kusamehewa mapungufu mengine
Exactly,wakati mwingine hatupaswi kusubiri mpaka tuombwe, unajiongeza mwenyeweNilikimbia zangu mita mia mbili wallah, so kuna wanaume wapenda mtelezo acha tu waombwe hela maana wengine huwa wanaomba kuwapima au kuwakimbiza real gentleman anahudumia mwanamke wake bila kuombwa.
Pia inaonyesha anaweza kuwa responsible father
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbona imekua ghafla sanaHatununuiii , weee nikikuomba namba yako, nikakuambia twende nikutooooo. ,utakubali ??
Kumbe ndiyo walivyo, no wonder aiseeSio wachoyo mixer viuno feni na mifinyio ya ndani..kula nchi mzee..
Wakijua una maisha utalogwa hadi ufurahi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]asanteWanaume wasiopenda kuombwa pesa tunaomba wauliwe na serikali ya mama Samia
Kwahio “bby naomba hela ya kununulia simu hii yangu imeharibika” ndio neno mbadala la “sikutaki”?Sometimes hii ni mbinu ya kufukuza wakware, kushinda unatuma tuma mameseji tu kwa mtu na ukute mtu mwenyewe hajakuelewa anakukataa unajifanya king'ang'a hapo inabidi uombwe pesa ili kufukuzwa
kumpa mwanamke hela siyo Tatizo , mimi huwa nachukia mtu nimechukua namba hata lisaa halijapita ,nywele zimefumuka,njaa inauma ,birthday yake ni leo,kodi imeisha ,gesi imekata, anaumwa anataka dawa...Ukweli ni kwamba;
Mkibadilishana namba na msichana baada ya muda mfupi yaani ndani ya siku 2 anaomba eidha ya kusuka, umwongezee kodi au utasikia hapa nilipo nina njaa sijala naomba 20k.
Kuomba pesa sio tatizo, tatizo timing, wasichana 80% hawana uvumilivu wala mshipa wa aibu.
Kwambaaaaaa!!!!!Baby i love you kiiila siku bila viambatanisho inachosha jamani. Hata genye haikuji kwakweli, hebu acheni umama bwana!!
Nakusalimia tu dada yangu, habari za asubuhi?Kwambaaaaaa!!!!!
[emoji23][emoji23] kila mtu abaki na kitu chake basikumbe unajua mnachojibu... Mbona unaharaka sana?..kwahiyo shida yako wee ni unitooo mimi? Wewee mimi sio malaya, komaaaaaa
ndo kwa kumpima mtu anakuomba namba haipiti hata lisaa tayari kodi imeishaa WTF!!!!!!Nilikimbia zangu mita mia mbili wallah, so kuna wanaume wapenda mtelezo acha tu waombwe hela maana wengine huwa wanaomba kuwapima au kuwakimbiza real gentleman anahudumia mwanamke wake bila kuombwa.
Pia inaonyesha anaweza kuwa responsible father
Wabarikiwe Wanaume wote wanaowapa Wanawake wao hela bila kuombwa...Baby i love you kiiila siku bila viambatanisho inachosha jamani. Hata genye haikuji kwakweli, hebu acheni umama bwana!!
[emoji28]Nzuri Mdogo wangu Kipenzi... Nakupenda.Nakusalimia tu dada yangu, habari za asubuhi?
Ameeeen! Yaani wabarikiwe hadi washangae. Haya maalshabab sasa yaendelee tu kulipata joto la jiwe, na bado!!Wabarikiwe Wanaume wote wanaowapa Wanawake wao hela bila kuombwa...
Mbinguni mna nafasi yenu..
Nakupenda pia dada, naomba hela[emoji7][emoji7][emoji28]Nzuri Mdogo wangu Kipenzi... Nakupenda.