Wanaume, kuombwa pesa ni jambo kubwa kiasi hiki au mnakuza tu mambo?

Wanaume, kuombwa pesa ni jambo kubwa kiasi hiki au mnakuza tu mambo?

Huyo mtu sio mimi kweli [emoji16] hizo sifa zangu kabisa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapana, huna sifa yake hata moja, wewe upo kwenye kila mada, yeye huwa haandiki kama hana umuhimu wa kuandika, na akiandika basi anaandika point, kuna uzi mmoja ni kama game, mara nyingi utamkuta kwenye ule uzi, ila kwenye regular threada huju jamvini ni mara chache sana
 
T
Vilio vya wanaume kuombwa pesa na wapenzi wao, naomba tu niseme wapenzi wenu, kama na wasio wapenzi wanawaomba basi mtasema. Ukipita pita mitandaoni katika post tatu haukosi moja inayolalamikia wanawake kuomba pesa...njaa is real mwokozi tuokoe sa tukamuombe nani....😔

Nnajiuliza kwani hili swala ni geni? Ni jipya? Zamani wanaume walikua hawawapi pesa wapenzi wao? Wanawake walikua hawaombi hela? Hadi sasa iwe ishuuu yani kila kona ni malalamiko tu.....na hawa mnaolalamikia anakua ni mpenzi wako tu mmoja au rundo la wapenzi wote wanakuomba??? Mtu mmoja anaweza kukuomba pesa kiasi hicho hadi ikawa kero? Au ni nyie harakati zenu za pimbi ndio malipo yake haya? Una wapenzi wanne kila mmoja akiishiwa gas manake ni laki mbili hiyo 😁 ungekua na mmoja at least basi 50 sio mbaya, Hebu kuweni wazi NI MPENZI MMOJA TU NDIO KERO KIASI HICHO AU WAPENZI WAKO WENGI????

Mwanamke umekaa zako uko busy na maisha yako, anakuja mtu kavaa suruali anaanza saundi anakuomba omba vitu vyako eti ye ukimuomba chake inakua kero, hutaki kuombwa basi tulia zako nawe usiombe ombe vya watu?!!!! Yani eti utelezeee halafu umalize na ahsante, bro ahsante hailipi bill. Kuna wakulungwa watauliza kwani mnauza??? Hapana haziuzwi na hazitolewi bure.

Naamini mapenzi na pesa ni vitu viwili visivyotenganishwa, asikuambie mtu pesa ikiwepo inaongeza furaha, amsha amsha na nyeg* katika mapenzi, mtabisha tu Ila ndio ukweli.....

Cheers kwenu wanaume mnaotoa bila kinyongo bila maneno maneno, mbarikiwe sana muongezewe zaidi na zaidi, mpewe muda wote mnaotaka tena mpewe vizuri, mnaolialia kuombwa pesa muuliwe tu nyie.
Ladies msimamo ni upi? Tuache au tuendelee...😁😁
Tangu nizaliwe sijawahi ona kahaba akimuombea baraka mwanaume wake, Pia sijaona kahaba akimuombea kifo mwanaume wake na Mungu akajibu hilo ombi.

Nahisi mwisho wa dunia umekaribia 😂
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapana, huna sifa yake hata moja, wewe upo kwenye kila mada, yeye huwa haandiki kama hana umuhimu wa kuandika, na akiandika basi anaandika point, kuna uzi mmoja ni kama game, mara nyingi utamkuta kwenye ule uzi, ila kwenye regular threada huju jamvini ni mara chache sana
Ni mimi huyo 😂😂😂😂 kuanzia leo mimi na wewe tuna uhusiano utake usitake 😂😂😂😂
 
Vilio vya wanaume kuombwa pesa na wapenzi wao, naomba tu niseme wapenzi wenu, kama na wasio wapenzi wanawaomba basi mtasema. Ukipita pita mitandaoni katika post tatu haukosi moja inayolalamikia wanawake kuomba pesa...njaa is real mwokozi tuokoe sa tukamuombe nani....😔

Nnajiuliza kwani hili swala ni geni? Ni jipya? Zamani wanaume walikua hawawapi pesa wapenzi wao? Wanawake walikua hawaombi hela? Hadi sasa iwe ishuuu yani kila kona ni malalamiko tu.....na hawa mnaolalamikia anakua ni mpenzi wako tu mmoja au rundo la wapenzi wote wanakuomba??? Mtu mmoja anaweza kukuomba pesa kiasi hicho hadi ikawa kero? Au ni nyie harakati zenu za pimbi ndio malipo yake haya? Una wapenzi wanne kila mmoja akiishiwa gas manake ni laki mbili hiyo 😁 ungekua na mmoja at least basi 50 sio mbaya, Hebu kuweni wazi NI MPENZI MMOJA TU NDIO KERO KIASI HICHO AU WAPENZI WAKO WENGI????

Mwanamke umekaa zako uko busy na maisha yako, anakuja mtu kavaa suruali anaanza saundi anakuomba omba vitu vyako eti ye ukimuomba chake inakua kero, hutaki kuombwa basi tulia zako nawe usiombe ombe vya watu?!!!! Yani eti utelezeee halafu umalize na ahsante, bro ahsante hailipi bill. Kuna wakulungwa watauliza kwani mnauza??? Hapana haziuzwi na hazitolewi bure.

Naamini mapenzi na pesa ni vitu viwili visivyotenganishwa, asikuambie mtu pesa ikiwepo inaongeza furaha, amsha amsha na nyeg* katika mapenzi, mtabisha tu Ila ndio ukweli.....

Cheers kwenu wanaume mnaotoa bila kinyongo bila maneno maneno, mbarikiwe sana muongezewe zaidi na zaidi, mpewe muda wote mnaotaka tena mpewe vizuri, mnaolialia kuombwa pesa muuliwe tu nyie.
Ladies msimamo ni upi? Tuache au tuendelee...😁😁
Wanawake wakibantu wengi ni omba omba.
 
Hata Kama unahela kiasi gan,, mwanaume anampa hela yule mwanamke ambaye tayari ana uhakika wa Umiliki juu yake.( She is mine)

Ndio maana kuna mwanaume anayeweza kukushawishi kwa pesa umpe mbususu kama lengo lake ni mbususu.
Mkuu umeongea point sana, vijana tafuteni pesa ila kazeni kweye kujiongezea thamani. Ukiwa na thamani wanawake watajipendekeza utawala bure mpaka utachoka. Watakuvumilia wakiamini ipo siku watakuwa na wewe. Kuna msemo mzee wangu mmmoja aliniambia '' ukiona unapapatikiwa na wanawake na kila unachowaambia wanaaamini kirahisi,jiangalie uchumi wako utakuwa umetoboa'' mimi nilikuwa siamini.

Ila nilipitia maisha hayo nikachakata mbususu za kutosha kwa sasa nimetulia ni hilo tu. Vijana jiongezeeni thamani mfano mdogo ni kumiliki ghetto, kijana anaemiliki ghetto ana urahisi wa kuchakata mbususu nyingii kuliko ambae kila siku anaenda lodge. Mwanamke anafika pale ghetto anaona hapa ni kwa kidume wake kwa nini ndege asiingie tunduni.Hawa viumbe usiwawazie we jiongezee thamani, utawala bila stress.
 
Mabinti lazima mjifunze kwamba, ukiona mwanaume hakupi pesa au anakupa hadi umuombe jua kwamba haupo moyoni mwake kiviiiiiiiiile, atakupa kwa sababu umeomba lakini hakupi kwa sababu haumo kwenye mahesabu yake kiviiiiile, atakupa kama hajakupata lakini akishakupata tu akakutawanya afu ukaona pesa inakata kwako au hadi umuombe basi fahamu kwamba haumo moyoni mwake
 
Mabinti lazima mjifunze kwamba, ukiona mwanaume hakupi pesa au anakupa hadi umuombe jua kwamba haupo moyoni mwake kiviiiiiiiiile, atakupa kwa sababu umeomba lakini hakupi kwa sababu haumo kwenye mahesabu yake kiviiiiile, atakupa kama hajakupata lakini akishakupata tu akakutawanya afu ukaona pesa inakata kwako au hadi umuombe basi fahamu kwamba haumo moyoni mwake
😅😅😅😅😅😅😅 sasa wao wanafosi uwe moyoni mwao bila kupenda😅!

Kuomba pesa ni kuzuri ila inategemea unaomba wakati gani ndio ita determine upewe au unyimwe! Ukiomba mda ambao sio sahihi lazma utawaona wanaume wabaya! Mwanaume mvizie siku ana hela ndio mtie kizinga sio wewe kila ukimuona tu unaomba hela! Jibebishe mwisho wa mwezi huko ukijua anavuta mawe soon hapo haina kipengele.

Wanaotuharibia ni wanaume wapiga dili wale ambao mda wote wana mzunguko wa noti chafu ndio wanahonga honga hovyo kiasi kwamba imeonekana mwanamke kuhongwa ni haki yake ya msingi hata kama hajaolewa! Sie wa hela za tarehe maalum tunaishia kuonekana vigwasi tu!
 
Vilio vya wanaume kuombwa pesa na wapenzi wao, naomba tu niseme wapenzi wenu, kama na wasio wapenzi wanawaomba basi mtasema. Ukipita pita mitandaoni katika post tatu haukosi moja inayolalamikia wanawake kuomba pesa...njaa is real mwokozi tuokoe sa tukamuombe nani....[emoji17]
Ulishawahi kuwaona wanyama wengine nao wanaombana pesa?
 
Back
Top Bottom