Malume
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 1,016
- 1,886
Na manjua kuzitafuta kweli siku hiziCheers kwa wanaume wabahili duniani bila nyinyi tusingekua na usongo wa kutafuta vyakwetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na manjua kuzitafuta kweli siku hiziCheers kwa wanaume wabahili duniani bila nyinyi tusingekua na usongo wa kutafuta vyakwetu
Hawawezi kujibu hapa, maana hata hao wenyewe hawajuiili uwe na hela unatakiwa kuwa na kiasi gani ?
Huyo mtu sio mimi kweli 😁 hizo sifa zangu kabisaHapana sister, huyo muache tu, hata nikikupa taarifa zake utarudi nyuma maana hana makuu kabisa, mstaarabu sana na akili yake imetulia sana, sijui naanzia wapi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapana, huna sifa yake hata moja, wewe upo kwenye kila mada, yeye huwa haandiki kama hana umuhimu wa kuandika, na akiandika basi anaandika point, kuna uzi mmoja ni kama game, mara nyingi utamkuta kwenye ule uzi, ila kwenye regular threada huju jamvini ni mara chache sanaHuyo mtu sio mimi kweli [emoji16] hizo sifa zangu kabisa
[emoji23]Wanaume wasiopenda kuombwa pesa tunaomba wauliwe na serikali ya mama Samia
Tangu nizaliwe sijawahi ona kahaba akimuombea baraka mwanaume wake, Pia sijaona kahaba akimuombea kifo mwanaume wake na Mungu akajibu hilo ombi.Vilio vya wanaume kuombwa pesa na wapenzi wao, naomba tu niseme wapenzi wenu, kama na wasio wapenzi wanawaomba basi mtasema. Ukipita pita mitandaoni katika post tatu haukosi moja inayolalamikia wanawake kuomba pesa...njaa is real mwokozi tuokoe sa tukamuombe nani....😔
Nnajiuliza kwani hili swala ni geni? Ni jipya? Zamani wanaume walikua hawawapi pesa wapenzi wao? Wanawake walikua hawaombi hela? Hadi sasa iwe ishuuu yani kila kona ni malalamiko tu.....na hawa mnaolalamikia anakua ni mpenzi wako tu mmoja au rundo la wapenzi wote wanakuomba??? Mtu mmoja anaweza kukuomba pesa kiasi hicho hadi ikawa kero? Au ni nyie harakati zenu za pimbi ndio malipo yake haya? Una wapenzi wanne kila mmoja akiishiwa gas manake ni laki mbili hiyo 😁 ungekua na mmoja at least basi 50 sio mbaya, Hebu kuweni wazi NI MPENZI MMOJA TU NDIO KERO KIASI HICHO AU WAPENZI WAKO WENGI????
Mwanamke umekaa zako uko busy na maisha yako, anakuja mtu kavaa suruali anaanza saundi anakuomba omba vitu vyako eti ye ukimuomba chake inakua kero, hutaki kuombwa basi tulia zako nawe usiombe ombe vya watu?!!!! Yani eti utelezeee halafu umalize na ahsante, bro ahsante hailipi bill. Kuna wakulungwa watauliza kwani mnauza??? Hapana haziuzwi na hazitolewi bure.
Naamini mapenzi na pesa ni vitu viwili visivyotenganishwa, asikuambie mtu pesa ikiwepo inaongeza furaha, amsha amsha na nyeg* katika mapenzi, mtabisha tu Ila ndio ukweli.....
Cheers kwenu wanaume mnaotoa bila kinyongo bila maneno maneno, mbarikiwe sana muongezewe zaidi na zaidi, mpewe muda wote mnaotaka tena mpewe vizuri, mnaolialia kuombwa pesa muuliwe tu nyie.
Ladies msimamo ni upi? Tuache au tuendelee...😁😁
Ni mimi huyo 😂😂😂😂 kuanzia leo mimi na wewe tuna uhusiano utake usitake 😂😂😂😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapana, huna sifa yake hata moja, wewe upo kwenye kila mada, yeye huwa haandiki kama hana umuhimu wa kuandika, na akiandika basi anaandika point, kuna uzi mmoja ni kama game, mara nyingi utamkuta kwenye ule uzi, ila kwenye regular threada huju jamvini ni mara chache sana
Af eti hawa watu ndio wameshika nchiNchi ngumu sana hii mkuu
Hahaha ila Evelyn Salt huwa una vituko sanaNi mimi huyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuanzia leo mimi na wewe tuna uhusiano utake usitake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanawake wakibantu wengi ni omba omba.Vilio vya wanaume kuombwa pesa na wapenzi wao, naomba tu niseme wapenzi wenu, kama na wasio wapenzi wanawaomba basi mtasema. Ukipita pita mitandaoni katika post tatu haukosi moja inayolalamikia wanawake kuomba pesa...njaa is real mwokozi tuokoe sa tukamuombe nani....😔
Nnajiuliza kwani hili swala ni geni? Ni jipya? Zamani wanaume walikua hawawapi pesa wapenzi wao? Wanawake walikua hawaombi hela? Hadi sasa iwe ishuuu yani kila kona ni malalamiko tu.....na hawa mnaolalamikia anakua ni mpenzi wako tu mmoja au rundo la wapenzi wote wanakuomba??? Mtu mmoja anaweza kukuomba pesa kiasi hicho hadi ikawa kero? Au ni nyie harakati zenu za pimbi ndio malipo yake haya? Una wapenzi wanne kila mmoja akiishiwa gas manake ni laki mbili hiyo 😁 ungekua na mmoja at least basi 50 sio mbaya, Hebu kuweni wazi NI MPENZI MMOJA TU NDIO KERO KIASI HICHO AU WAPENZI WAKO WENGI????
Mwanamke umekaa zako uko busy na maisha yako, anakuja mtu kavaa suruali anaanza saundi anakuomba omba vitu vyako eti ye ukimuomba chake inakua kero, hutaki kuombwa basi tulia zako nawe usiombe ombe vya watu?!!!! Yani eti utelezeee halafu umalize na ahsante, bro ahsante hailipi bill. Kuna wakulungwa watauliza kwani mnauza??? Hapana haziuzwi na hazitolewi bure.
Naamini mapenzi na pesa ni vitu viwili visivyotenganishwa, asikuambie mtu pesa ikiwepo inaongeza furaha, amsha amsha na nyeg* katika mapenzi, mtabisha tu Ila ndio ukweli.....
Cheers kwenu wanaume mnaotoa bila kinyongo bila maneno maneno, mbarikiwe sana muongezewe zaidi na zaidi, mpewe muda wote mnaotaka tena mpewe vizuri, mnaolialia kuombwa pesa muuliwe tu nyie.
Ladies msimamo ni upi? Tuache au tuendelee...😁😁
Mkuu umeongea point sana, vijana tafuteni pesa ila kazeni kweye kujiongezea thamani. Ukiwa na thamani wanawake watajipendekeza utawala bure mpaka utachoka. Watakuvumilia wakiamini ipo siku watakuwa na wewe. Kuna msemo mzee wangu mmmoja aliniambia '' ukiona unapapatikiwa na wanawake na kila unachowaambia wanaaamini kirahisi,jiangalie uchumi wako utakuwa umetoboa'' mimi nilikuwa siamini.Hata Kama unahela kiasi gan,, mwanaume anampa hela yule mwanamke ambaye tayari ana uhakika wa Umiliki juu yake.( She is mine)
Ndio maana kuna mwanaume anayeweza kukushawishi kwa pesa umpe mbususu kama lengo lake ni mbususu.
Hii kiboko! 😅Ni mimi huyo 😂😂😂😂 kuanzia leo mimi na wewe tuna uhusiano utake usitake 😂😂😂😂
Sio kiboko tu mkuu hii ni tembo kabisa[emoji1][emoji1]Hii kiboko! [emoji28]
Dada Mwajuma akikuomba 50K utampa?Kuna sehemu umesema atilisti 50000[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nmeishia hapo hapo
😅😅😅😅😅😅😅 sasa wao wanafosi uwe moyoni mwao bila kupenda😅!Mabinti lazima mjifunze kwamba, ukiona mwanaume hakupi pesa au anakupa hadi umuombe jua kwamba haupo moyoni mwake kiviiiiiiiiile, atakupa kwa sababu umeomba lakini hakupi kwa sababu haumo kwenye mahesabu yake kiviiiiile, atakupa kama hajakupata lakini akishakupata tu akakutawanya afu ukaona pesa inakata kwako au hadi umuombe basi fahamu kwamba haumo moyoni mwake
Ulishawahi kuwaona wanyama wengine nao wanaombana pesa?Vilio vya wanaume kuombwa pesa na wapenzi wao, naomba tu niseme wapenzi wenu, kama na wasio wapenzi wanawaomba basi mtasema. Ukipita pita mitandaoni katika post tatu haukosi moja inayolalamikia wanawake kuomba pesa...njaa is real mwokozi tuokoe sa tukamuombe nani....[emoji17]
Oyooooo oyoooooo natafuta wa kumuhongaNaamini mapenzi na pesa ni vitu viwili visivyotenganishwa, asikuambie mtu pesa ikiwepo inaongeza furaha, amsha amsha na nyeg* katika mapenzi, mtabisha tu Ila ndio ukweli.....
Nakazia mkuuYeye:Naona bas hela nkachome nywele
Mimi:sh ngapi?
Yeye:15K
Mpaka sahivi nmetulia zangu nawaza maisha yangu
Dada Mwajuma akikuomba 50K utampa??