Wanaume mliopata wake wa maana wa kuoa, mliwezaje? Au mlijitoa tu ufahamu mkaoa

Wanaume mliopata wake wa maana wa kuoa, mliwezaje? Au mlijitoa tu ufahamu mkaoa

Halafu swala la kununua maafisa utamu nlianza nalo sababu nlikuwa curious, hee mwishowe ndo nimekuwa addicted kabisa, maeneo ya Kona baa, malindi, keko Dodoma, shivaz kote nshapita nao, ubungo riverside sijawahi nunua afisa utamu wa pale ingawa nshawahi pita lakini sikuwahi ona mdada anaenivutia pale riverside, sehem iliokuwa na maafisa utamu wazuri zaidi ni sinza Kona baa Lamomy
Upewe tuzo 😂😂😂
Mikoani hujaweka machimbo ya “Maafisa utamu)
Wasaidie wenzio wanaosafiri safiri
 
Ulifichwa wapi my wii
Wifi nimekuota huwezi amini, tena mjamzito umevaa juba ukanifunulia ndio nikaona kitumbo 😍😍😍

Nipo sema pesa hizi kuzitafuta zitanitoa roho, kudanga siwezi na kumuomba pesa mwanaume sipendi hivyo lazima nijichoshe mwenyewe..🤣🤣🤣
 
Wifi nimekuota huwezi amini, tena mjamzito umevaa juba ukanifunulia ndio nikaona kitumbo 😍😍😍

Nipo sema pesa hizi kuzitafuta zitanitoa roho, kudanga siwezi na kumuomba pesa mwanaume sipendi hivyo lazima nijichoshe mwenyewe..🤣🤣🤣
Huu mwaka wa kufos my Wii pambana

Hapo kwenye mimba ndipo napopatka my Wii ndoto Yako iwe kweli 😍
 
Upewe tuzo 😂😂😂
Mikoani hujaweka machimbo ya “Maafisa utamu)
Wasaidie wenzio wanaosafiri safiri
Kiukweli addiction ya kununua maafisa utamu ni addiction ya aibu sana, imagine kidume uko hiyo mitaa una-bargain bei, halafu barabarani anapita mdada unaefanya nae kazi ofisi moja, anakuona umesimama na afisa utamu una-bargain bei, daah Lamomy
 
Habarini,

Niko kwenye umri wa kuoa ila kila nikiangalia sioni mke wa kuoa, binafsi sina standards kubwa ninazotarajia toka kwa mdada, na siko picky kihivyo, shida nikisema huenda huyu ni potential wife, unakuta mdada ni block 41 kikosi cha mizinga, hata kwenye mazingira ninayoishi kuna wanaume wengi tu wako kwenye umri wa kuoa, wana kazi nzuri tu, ila bado wapo single, sawa huenda mimi nina tatizo (personality problem) ndo maana sipati mke, lakini je hata wanaume mabachela naowajua nao pia wote wana tatizo?

Mdada ambaye atakuchukulia kama a friend and a life partner, muanze familia from the scratch hadi mzeeke pamoja, mwanamke ambaye sio lazma awe mzuuuri, awe tu mwenye mwonekano wa kawaida unaoridhisha na tabia inayoridhisha, wanaume wenzangu mliooa wadada wa hivyo, mliwapata wapi?

Huku mtaani all I see ni wadada ambao wanataka ku-suck life out of you wakuache empty, naishia kuona wadada ambao wanataka financial help na sio love.

Mfano imagine unamwita mdada uliezoeana nae tena mnaishi mtaa mmoja, aje barabarani uliposimama mpige tu story, anakuuliza akija utampa nini, na hujamwomba namba na hujawahi mtongoza, u can imagine jinsi wadada wengi walivyo sick kitabia huku mtaani.

Weekend njema
Aseeeeee! Ni neema za MUNGU tu. Pia sio kwamba ndani hakutokoti ila nikuvumiliana tu. Ukitaka MKE mwema undoa mawazo ya shape na sura, hapo utafaulu vizuri sana
 
Mkuu NTAKUPA WA KUFANANA NAE hapa s comedy weng hawajapata hii bahati,,, utuliv wa nafsii,,,iman ya kwel,,,ufaham maarifa,,mungu ATUSAIDIE mkuu hawa viumbe wazuri wapo,,,
 
Habarini,

Niko kwenye umri wa kuoa ila kila nikiangalia sioni mke wa kuoa, binafsi sina standards kubwa ninazotarajia toka kwa mdada, na siko picky kihivyo, shida nikisema huenda huyu ni potential wife, unakuta mdada ni block 41 kikosi cha mizinga, hata kwenye mazingira ninayoishi kuna wanaume wengi tu wako kwenye umri wa kuoa, wana kazi nzuri tu, ila bado wapo single, sawa huenda mimi nina tatizo (personality problem) ndo maana sipati mke, lakini je hata wanaume mabachela naowajua nao pia wote wana tatizo?

Mdada ambaye atakuchukulia kama a friend and a life partner, muanze familia from the scratch hadi mzeeke pamoja, mwanamke ambaye sio lazma awe mzuuuri, awe tu mwenye mwonekano wa kawaida unaoridhisha na tabia inayoridhisha, wanaume wenzangu mliooa wadada wa hivyo, mliwapata wapi?

Huku mtaani all I see ni wadada ambao wanataka ku-suck life out of you wakuache empty, naishia kuona wadada ambao wanataka financial help na sio love.

Mfano imagine unamwita mdada uliezoeana nae tena mnaishi mtaa mmoja, aje barabarani uliposimama mpige tu story, anakuuliza akija utampa nini, na hujamwomba namba na hujawahi mtongoza, u can imagine jinsi wadada wengi walivyo sick kitabia huku mtaani.

Weekend njema
Ukweli ni Kwamba Kuna mambo unaweza kuona ni rahisi ila muda unapofika Sasa na ukawa na hitajio kama kuoa ndipo unapoona kazi ya kupata mke ilivyo ngumu. Yani unakutana na mabint ambao unaona kabisa Hana future. Mi mwenyewe nipo ktk mchakato Hadi sielewiiii
 
It take a time wakt mwingn mwanamke kukaa kwenye mstari yupo ex grl wangu mmoja tulianz huku akiwa na tabia zakimalaya malaya mwisho wa siku alianza kujiweka kwenye mstari kama abiria wa mpigi magohe TIME WILL TELL UMASKINI NA KUKOSA AJIRA NAPO NI TATIZO
 
It take a time wakt mwingn mwanamke kukaa kwenye mstari yupo ex grl wangu mmoja tulianz huku akiwa na tabia zakimalaya malaya mwisho wa siku alianza kujiweka kwenye mstari kama abiria wa mpigi magohe TIME WILL TELL UMASKINI NA KUKOSA AJIRA NAPO NI TATIZO
Duuh
 
Njia hii nakubaliana na wewe sema tu huwa inachukua muda mrefu sana kufanikisha maana hujui itajitokeza lini.
Yaani unakuta kwa mfano kuna kipindi kwenye pitapita zako unakutana na mwanamke na unamkubali kabisa kwamba ni wife material na anakuwa yuko tayari endapo utafuata hatua anazotaka ila unakuta wakati huo bado haujajipanga bado kuanzisha familia kutokana na sababu za kiuchumi na vitu vingine kama kuwa masomoni sasa wakati unajishauri wanatokea watu waliojipanga kimaisha wanamuwahi.
Sasa baadae ukishaanza kujipata na kaumri kamesogea unasema sasa niko tayari kwa ajili ya kutafuta mwenza wa kuishi naye sasa kwa vile una presha ya kumpata kwa haraka kwa kuhofia umri usiende sana ndio hapo kila unapogusa unaangukia kwa waigizaji na wapigaji tu wa tuma na ya kutolea,gesi imeisha,kodi imeisha,mjomba kameza shoka.
Nilizani ni mimi tu napitia hii, , nilikuwa na options nyingi sana kipindi sijawa na habari ya kuoa, wanawake wengi wazuri na tabia safi nilikua sihangaiki kuwapata na wengi walikua tayari kuolewa kwa wakati ule sasa toka wazo linijie ni kama nishachelewa yani woote wa maana ni mwingine keshaolewa, mwingine single mother , mwingine keshakua na mambo mengi , dah! ata sielewi elewi na muda naona ka unasogea kwa kasi
 
Ukishindwa nenda kanisani utapata walau ambaye ana hofu ya Mungu

Binadamu hatujakamilika ila bora ambae pamoja mtasogezana karibu na Muumba kuliko yule ambaye atakuacha unatanga tanga huko kwa mataifa
Huko kwenye makanisa ndio kuna drama kuliko wanawake wa baa,
Unaweza kumuona ana hofu ya mungu kumbe mwenzio kaamua kurudi kanisani baada ya mambo kushindikana mtaani, full mapicha picha.
Kupata mwanamke bora ni game of chance, hakuna kanuni
 
Habarini,

Niko kwenye umri wa kuoa ila kila nikiangalia sioni mke wa kuoa, binafsi sina standards kubwa ninazotarajia toka kwa mdada, na siko picky kihivyo, shida nikisema huenda huyu ni potential wife, unakuta mdada ni block 41 kikosi cha mizinga, hata kwenye mazingira ninayoishi kuna wanaume wengi tu wako kwenye umri wa kuoa, wana kazi nzuri tu, ila bado wapo single, sawa huenda mimi nina tatizo (personality problem) ndo maana sipati mke, lakini je hata wanaume mabachela naowajua nao pia wote wana tatizo?

Mdada ambaye atakuchukulia kama a friend and a life partner, muanze familia from the scratch hadi mzeeke pamoja, mwanamke ambaye sio lazma awe mzuuuri, awe tu mwenye mwonekano wa kawaida unaoridhisha na tabia inayoridhisha, wanaume wenzangu mliooa wadada wa hivyo, mliwapata wapi?

Huku mtaani all I see ni wadada ambao wanataka ku-suck life out of you wakuache empty, naishia kuona wadada ambao wanataka financial help na sio love.

Mfano imagine unamwita mdada uliezoeana nae tena mnaishi mtaa mmoja, aje barabarani uliposimama mpige tu story, anakuuliza akija utampa nini, na hujamwomba namba na hujawahi mtongoza, u can imagine jinsi wadada wengi walivyo sick kitabia huku mtaani.

Weekend njema
Mzee iko hivi issue ya kuoa ni ngumu sana, ujue kabla hujaamua kuoa unaona wanawake ni wengi sana, ila siku ukisema sasa unataka kuoa utabaini wanawake ni wachache sana, nadhani unapitia what am experiencing now, mwingine atakwambia uende kanisani, it's not a guarantee aisee.. mimi nasali na ni mshirika mwema tu , bt you facing the same challenge, Tuzidi kuwa na subira huku tukimtanguliza Mungu
 
Back
Top Bottom