Wanaume mliopata wake wa maana wa kuoa, mliwezaje? Au mlijitoa tu ufahamu mkaoa

Wanaume mliopata wake wa maana wa kuoa, mliwezaje? Au mlijitoa tu ufahamu mkaoa

Habarini,

Niko kwenye umri wa kuoa ila kila nikiangalia sioni mke wa kuoa, binafsi sina standards kubwa ninazotarajia toka kwa mdada, na siko picky kihivyo, shida nikisema huenda huyu ni potential wife, unakuta mdada ni block 41 kikosi cha mizinga, hata kwenye mazingira ninayoishi kuna wanaume wengi tu wako kwenye umri wa kuoa, wana kazi nzuri tu, ila bado wapo single, sawa huenda mimi nina tatizo (personality problem) ndo maana sipati mke, lakini je hata wanaume mabachela naowajua nao pia wote wana tatizo?

Mdada ambaye atakuchukulia kama a friend and a life partner, muanze familia from the scratch hadi mzeeke pamoja, mwanamke ambaye sio lazma awe mzuuuri, awe tu mwenye mwonekano wa kawaida unaoridhisha na tabia inayoridhisha, wanaume wenzangu mliooa wadada wa hivyo, mliwapata wapi?

Huku mtaani all I see ni wadada ambao wanataka ku-suck life out of you wakuache empty, naishia kuona wadada ambao wanataka financial help na sio love.

Mfano imagine unamwita mdada uliezoeana nae tena mnaishi mtaa mmoja, aje barabarani uliposimama mpige tu story, anakuuliza akija utampa nini, na hujamwomba namba na hujawahi mtongoza, u can imagine jinsi wadada wengi walivyo sick kitabia huku mtaani.

Weekend njema
Asikudanganye mtu ndoa ni kama tyre za gari lazima moja iweiwe tu ili iendeshwe na nyingine
 
Niwape ushauri vijana wenzangu ama niwaache muangamie? Mimi ya kwangu iliyodumu miaka kumi imevunjika juzi tu
So kama uko single na unahitaji kuoa nikushauri kitu cha msingi na cha maisha
Kama mpo tayari mnitag muda wowote nitarudi hapa kumwaga points.
Toa points mkuu tunasubiria hapa
 
Utakayempata mpe taarifa kabisa unahitaji "Mke Kwanza", mengine ndiyo yafuate.

First thing first, kila mmoja atimize majukumu yake kama mume na kama mke, then integration ije itokee automatic kwenye hizo responsibilities zenu.

Oaneni mkiwa na lengo la ku persue maisha ya ndoa, familia kisha mengine ndiyo yafuate.

Mkiweka personal priorities mbele hamtafika mbali mtaanza kuona maisha ya ndoa ni machungu.
 
Mzee alinambia siku flani uende ukahudhurie harusi kule xxxx dah siku ikafika nikaenda kwa kuchelewa na kukuta watu washaanza kula cha mchana basi nikaenda kujoin kwa waliochelewa ghafla namuona binti mrembo anashughulika kwenye ile harusi nikajisemea ndo huyu huyu na kweli tukijaaliwa in shaa Allah mwezi wa kumi tunafunga ndoa
Dua zenu jamani
Dua za nini wakato wengine hatujapata na hautuombei dua?

Kama vipi muachane tu
 
Habarini,

Niko kwenye umri wa kuoa ila kila nikiangalia sioni mke wa kuoa, binafsi sina standards kubwa ninazotarajia toka kwa mdada, na siko picky kihivyo, shida nikisema huenda huyu ni potential wife, unakuta mdada ni block 41 kikosi cha mizinga, hata kwenye mazingira ninayoishi kuna wanaume wengi tu wako kwenye umri wa kuoa, wana kazi nzuri tu, ila bado wapo single, sawa huenda mimi nina tatizo (personality problem) ndo maana sipati mke, lakini je hata wanaume mabachela naowajua nao pia wote wana tatizo?

Mdada ambaye atakuchukulia kama a friend and a life partner, muanze familia from the scratch hadi mzeeke pamoja, mwanamke ambaye sio lazma awe mzuuuri, awe tu mwenye mwonekano wa kawaida unaoridhisha na tabia inayoridhisha, wanaume wenzangu mliooa wadada wa hivyo, mliwapata wapi?

Huku mtaani all I see ni wadada ambao wanataka ku-suck life out of you wakuache empty, naishia kuona wadada ambao wanataka financial help na sio love.

Mfano imagine unamwita mdada uliezoeana nae tena mnaishi mtaa mmoja, aje barabarani uliposimama mpige tu story, anakuuliza akija utampa nini, na hujamwomba namba na hujawahi mtongoza, u can imagine jinsi wadada wengi walivyo sick kitabia huku mtaani.

Weekend njema
Hakuna mme au mke wa maana au aliyekuwa wa maana bali unayo nafasi ya kumtengeneza unavyotaka awe. Cha msingi
1. Umpende kwa dhati
2. Umfanye akuamini 100%
3. Uwe na nyenzo: uwezo wa kumhudumia kimwili, kihisia na kiuchumi. Hapo utamfanya awe bora
 
Inamaana dunia ya leo imekua ngumu hivyo kupata mke? ..😃😃😃😃😃🤣🤣🤣🤣
 
Nikwambie tu ata tuliowaoa wanatupiga vizinga kama madanga tu usipompa ela ananuna mpaka uumpe, dawa ni kumpa ela tu ndo furaha inarudi ndani.
Sasa kama unaita dem unashindwa ata kumpa chips unasema mpige stori kwani unamiliki kijiwe cha kahawa, wewe ndo auko objective.
Enewei nikonkludi kwa kusema ukitaka kuoa kirahisi tafuta binti mtie mimba utapewa buree.
Usichunguze sana tabia awa raia wanabadilika kila siku. Leo ananuna, kesho anafurai, kesho kutwa anaweuka. Waka kama kinyonga[emoji2].

By mzoefu[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]
Mizinga mnapigwa saana unakuta mtu analipa deni hewa dukani Kwa mha
Hili swala linaniuma saana
 
Habarini,

Niko kwenye umri wa kuoa ila kila nikiangalia sioni mke wa kuoa, binafsi sina standards kubwa ninazotarajia toka kwa mdada, na siko picky kihivyo, shida nikisema huenda huyu ni potential wife, unakuta mdada ni block 41 kikosi cha mizinga, hata kwenye mazingira ninayoishi kuna wanaume wengi tu wako kwenye umri wa kuoa, wana kazi nzuri tu, ila bado wapo single, sawa huenda mimi nina tatizo (personality problem) ndo maana sipati mke, lakini je hata wanaume mabachela naowajua nao pia wote wana tatizo?

Mdada ambaye atakuchukulia kama a friend and a life partner, muanze familia from the scratch hadi mzeeke pamoja, mwanamke ambaye sio lazma awe mzuuuri, awe tu mwenye mwonekano wa kawaida unaoridhisha na tabia inayoridhisha, wanaume wenzangu mliooa wadada wa hivyo, mliwapata wapi?

Huku mtaani all I see ni wadada ambao wanataka ku-suck life out of you wakuache empty, naishia kuona wadada ambao wanataka financial help na sio love.

Mfano imagine unamwita mdada uliezoeana nae tena mnaishi mtaa mmoja, aje barabarani uliposimama mpige tu story, anakuuliza akija utampa nini, na hujamwomba namba na hujawahi mtongoza, u can imagine jinsi wadada wengi walivyo sick kitabia huku mtaani.

Weekend njema
Haha umenikumbusha mchaga mmoja nilikuwa na date naye. sasa tukiwa chumbani mchezo umenoga anaanza kupiga kelele akisema utanipa zawadi gani? Utanipa zawadi gani? Basi utam wote unaishia hapo hapo. Kwa tabia hizo mama baby mama wataongezeka tu.
 
Habarini,

Niko kwenye umri wa kuoa ila kila nikiangalia sioni mke wa kuoa, binafsi sina standards kubwa ninazotarajia toka kwa mdada, na siko picky kihivyo, shida nikisema huenda huyu ni potential wife, unakuta mdada ni block 41 kikosi cha mizinga, hata kwenye mazingira ninayoishi kuna wanaume wengi tu wako kwenye umri wa kuoa, wana kazi nzuri tu, ila bado wapo single, sawa huenda mimi nina tatizo (personality problem) ndo maana sipati mke, lakini je hata wanaume mabachela naowajua nao pia wote wana tatizo?

Mdada ambaye atakuchukulia kama a friend and a life partner, muanze familia from the scratch hadi mzeeke pamoja, mwanamke ambaye sio lazma awe mzuuuri, awe tu mwenye mwonekano wa kawaida unaoridhisha na tabia inayoridhisha, wanaume wenzangu mliooa wadada wa hivyo, mliwapata wapi?

Huku mtaani all I see ni wadada ambao wanataka ku-suck life out of you wakuache empty, naishia kuona wadada ambao wanataka financial help na sio love.

Mfano imagine unamwita mdada uliezoeana nae tena mnaishi mtaa mmoja, aje barabarani uliposimama mpige tu story, anakuuliza akija utampa nini, na hujamwomba namba na hujawahi mtongoza, u can imagine jinsi wadada wengi walivyo sick kitabia huku mtaani.

Weekend njema
Muombe Mungu akuoneshe mkeo halali.
 
Back
Top Bottom